Habari zilizonifikia muda huu zinasema kwamba.....

Habari zilizonifikia muda huu zinasema kwamba.....

Mkishamaliza hekaheka zenu kama kawaida tupeni kombe letu kwa msimu wa 4 mfululizo,"safari ya simba ni kama ya chizi........"
FIFA rufaa pia iwe kipaumbele kama msimu uliopita.
 
HABARI HIZI ZIMEZAGAA SANA SIJAJUA UKWELI AU UHALISIA WAKE
 
Ndani ya Saa chache au siku mbili au tatu tu zijazo Mchezaji mahiri wa Kiungo wa Yanga FC Haruna Niyonzima anategemea Kusaini kandarasi ya kuichezea Klabu ya Simba SC kwa miaka miwili ( 2 ) kwa ada ambayo itavunja rekodi nchi nzima.

Nawasilisha.
Tuliwahi kuwauzia na mwingine anaitwa Kiiza na sisi tukachukua Tambwe, hivi bado yuko hai?
 
Mtu ambaye akiondoka Yanga ntalia ni KAMUSUKO NA CANAVARO TU.
Hawa wengine waache waende tu tunataka kujenga timu yenye Nidhamu Kwanza Pamoja na Pesa ila Nidhamu iwe ya Kwanza.

David Beckham,Christiano Ronaldo waliondoka Man utd ila Timu bado mpaka leo ipo.

Na hawa wachezaji mnaosajili ni kocha kapendekeza au kisa alikua Yanga kesho na keshokutwa akimpa pasi adui akafunga kauza mechi

Ushauri Kwa Yanga ni bora tupite kwenye Kipindi cha mpito kwa kuwekeza hata kwa Vijana na kubana matumizi kuliko kufanya usajili wa kufurahisha watu na mwishowe ndani ya msimu mchezaji kaachwa.

Simba Chukueni wote ila mwakani hatutaki kusikia mkianza kukimbilia FiFa tena
hahahahah duh mkuu hao hata bure hatuwataki, ,canavaro Huyu huyu mwenye miaka 50
 
Mikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa


View attachment 523524
Wanafanya mashabiki wao wasahau khs FIFA, Maana mikia kusahau ni faster
 
Nakumbuka Ile breaking news yako uliyoleta barua ya FIFA iliyoletwa mpaka leo haijasomwa
Habari zake nyingi huwa ni hivyo hivyo.

Kuna wakati nilidhani kesho yake Malinzi atawekwa ndani
 
Mikia hawana akili hata siku moja. Badala ya kutulia wajenge timu kila siku kusajili wachezaji wapya tu, wengine wanaozea benchi wengine wanaachwa ndani ya msimu mmoja. Wendawazimu hawa wanadhani kusajili wachezaji lukuki ndio siri ya mafanikio. Hawana habari kwamba wachezaji wakizoeana ni faida kwa timu. Upuuzi mtupu, wala hawafiki kokote Malimbukeni wakubwa


View attachment 523524
Povuuu
 
Ninyi mikia fc a. K. A FIFA tupeni point 3
Hata mngesajili Nani hamwezi kuchukua ubingwa bara

Nendeni kwenye kaburi LA James agrey siang, a mkaombe msamaha
Maana amekufa anawadai hela yake
Vumilia kaka maumivu maana naona sindano imefika
 
Ndani ya Saa chache au siku mbili au tatu tu zijazo Mchezaji mahiri wa Kiungo wa Yanga FC Haruna Niyonzima anategemea Kusaini kandarasi ya kuichezea Klabu ya Simba SC kwa miaka miwili ( 2 ) kwa ada ambayo itavunja rekodi nchi nzima.

Nawasilisha.
Huku tushasainisha ajib,huko kwenu vp khs niyonzima?
 
Back
Top Bottom