Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Na ihitaji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mhhh
 
Kusema ule ukweli, Habibu B. Anga ni kati ya mafundi ninaowaamini katika uandishi.
Napemda namna anavyojenga taswira katika maandishi yake kiasi kwamba ukiwa unasoma utajikuta kama vile nawe ni character.

Huyu jamaa namheshimu sana kwakweli.
 
Ni mwandishi mmoja mahiri sana kama uliwahi kusoma moja kati ya vitabu vya Mkimbizi, mtuhumiwa, sniper nk.. hizo ni baadhi ya kazi zake.
 
Ni mwandishi mmoja mahiri sana kama uliwahi kusoma moja kati ya vitabu vya Mkimbizi, mtuhumiwa, sniper nk.. hizo ni baadhi ya kazi zake.
Sawa mkuu, ngoja nitafanya juhudi za kutafuta makala zake nizisome ili nimjue zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…