Na ihitajiAnaehitaji soft copy ya Prisoner X aniambie maana naona jamaa ni bingwa wa kunakiri na kutafasiri kazi za watu na kuzileta humu ndani.
Baada ya wanazengo kugundua janja yake katokomea kusikojulikana na kuna kipindi alijinasibu ana taarifa nyeti za nchi kumbe janja janja tu hana lolote.
Ila ninachomkubali ni mzuri wa kucheza na google kupata taarifa zaidi ya matukio mbalimbali anazokuja kusimulia humu.
sawa mkuuNa ihitaji
AbsolutelyTo the infinity and beyond
mhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habibu ni fundi mzuri sana...Kusema ule ukweli, @Habibu B. Anga ni kati ya mafundi ninaowaamini katika uandishi.
Napemda namna anavyojenga taswira katika maandishi yake kiasi kwamba ukiwa unasoma utajikuta kama vile nawe ni character.
Huwa namfananisha na Tuwa Hussein kwa uandishi wakeHabibu ni fundi mzuri sana...
Daah kweli kabisa, hivi Hussein Tuwa mbona kawa kimya sana?Huwa namfananisha na Tuwa Hussein kwa uandishi wake
Huyu jamaa ndio nani?Hussein Tuwa
Ni mwandishi mmoja mahiri sana kama uliwahi kusoma moja kati ya vitabu vya Mkimbizi, mtuhumiwa, sniper nk.. hizo ni baadhi ya kazi zake.Huyu jamaa ndio nani?
Sawa mkuu, ngoja nitafanya juhudi za kutafuta makala zake nizisome ili nimjue zaidi.Ni mwandishi mmoja mahiri sana kama uliwahi kusoma moja kati ya vitabu vya Mkimbizi, mtuhumiwa, sniper nk.. hizo ni baadhi ya kazi zake.