Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Duuuh kenge tenaWewe ni kenge mkubwa, hata jina lako ukikosea herufi kidogo tu linatokea boooonge la kenge.
[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh kenge tenaWewe ni kenge mkubwa, hata jina lako ukikosea herufi kidogo tu linatokea boooonge la kenge.
[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Mods watasema nawe..😅Wewe ni kenge mkubwa, hata jina lako ukikosea herufi kidogo tu linatokea boooonge la kenge.
[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Mkuu wewe wasema ngoja nikuorodheshee sifa zangu halafu utachambua mwenyewe.. kwanza Domo zege!,Nina Kibamia,Jana tu nilijikwaa nikaanguka badala nipewe pole ndo nasikia sauti inaniambi kaka wa watu tafuta hela si unaona hata mawe hayakupendi yanakuangusha tu!.. mwishowe yaje yakuuwe..😅kila mmoja anabeba dhima ya umuhimu kwa wengineo, usijidharau kiasi hicho hata kwa njia ya utani........
Sifa na utukufu ziwaendee Yesu na Mungu.
Mkuu I'm humbled, ila nikupe pongezi pia kwa tafiti,simulizi na taarifa unazomwaga kule JF Intelligence.zitto junior I appreciate you too brother. Unaandikaga madini sana. Long live Jamiiforums
The Bold ni a.k.a ila jina lake la Habibu ni halisi lile la shuleniHuyu mshkaji naskia alisilimu nikweli mkuu? The bold, and now anaitwa Habibu.
Alaa kwahiyo wewe ni kenge au mamba?Hongera kwake.. kazi nzuri.
Sijui hiyo kazi yake huwa anatafuta hela tu au anamengine maana anafahamu vitu si mchezo..
Jamaa ana passion na kazi yake.
Tumebaki sasa makomamanga ambao huwa hata hatutwajwi si kwenye lolote..[emoji28]
Nimeamini kwenye msafara wa mamba na kenge wamo..[emoji23]
🙄Alaa kwahiyo wewe ni kenge au mamba?
Haujambo lakini?
Leo kuna uzi nimekuta uliandika bonge la point sema nimeusahau acha kujidharau bhana kila mtu ana kipaji alichojaaliwa na Mola.[emoji849]
Tayari nishajitanabaisha..
Mi mzima sijui wewe..?
Kweli kabisa.Yuko vzuri Sana the bold Mungu ampe maisha marefu Ana kipaji kikubwa
😂😂Leo kuna uzi nimekuta uliandika bonge la point sema nimeusahau acha kujidharau bhana kila mtu ana kipaji alichojaaliwa na Mola.
Mimi sijambo.