Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #101
He still has timeUlishaga chelewa😎
He's a master of course kuzidi Infantry SoldierNimekuwa mwanachama mfu wa JF kwa miaka kadhaa,ila huyu bwana HB.Anga ndio alinifanya nifungue Id....big up brother
Big up sana kwakeNimekuwa mwanachama mfu wa JF kwa miaka kadhaa,ila huyu bwana HB.Anga ndio alinifanya nifungue Id....big up brother
Kwa kweli...ila na wewe nitakufungulia Uzi wa kukupongeza,hauko nyuma kwenye kutuelimisha mkuuBig up sana kwake
Asante sana dada. Kuniambia tu ya kuwa sipo nyuma kuwaelimisha kwangu inatosha sana ndugu yangu. I appreciate that.Kwa kweli...ila na wewe nitakufungulia Uzi wa kukupongeza,hauko nyuma kwenye kutuelimisha mkuu
Ninapenda sana mtu mwenye shukrani na ambaye huangalia mambo kwa positive wayzitto junior I appreciate you too brother. Unaandikaga madini sana. Long live Jamiiforums
Naomba soft copy mkuuAnaehitaji soft copy ya Prisoner X aniambie maana naona jamaa ni bingwa wa kunakiri na kutafasiri kazi za watu na kuzileta humu ndani.
Baada ya wanazengo kugundua janja yake katokomea kusikojulikana na kuna kipindi alijinasibu ana taarifa nyeti za nchi kumbe janja janja tu hana lolote.
Ila ninachomkubali ni mzuri wa kucheza na google kupata taarifa zaidi ya matukio mbalimbali anazokuja kusimulia humu.
Tuko pamoja sana.Asante sana dada. Kuniambia tu ya kuwa sipo nyuma kuwaelimisha kwangu inatosha sana ndugu yangu. I appreciate that.
Kwani unamlipa, una roho ya kutu sanaTuko pamoja sana. Tatizo la rafiki yako ni mlaghai mno tofouti na wewe, unaweza kuwa mdogo kwake ila una ustaraabu kiasi fulani tofouti na yeye ajifunze kwako hili.
Huwa nakuona ukianzisha simulizi zinaisha vizuri tena kwa wakati tofouti na yeye, amefanya stori zake kuwa chuma ulete kwa baadhi ya member's humu ndani..
Sijaona umuhimu wa yeye kuanzisha simulizi kama hii halafu atokomee kusikojulikana akisubilia michango ya wadau.
Hata kunakili ni kipaji, ukipewa kazi ya kunakili na usimulie hapa hutamfikia, kubali tu jamaa anaweza na ana mvuto.Anaehitaji soft copy ya Prisoner X aniambie maana naona jamaa ni bingwa wa kunakiri na kutafasiri kazi za watu na kuzileta humu ndani.
Baada ya wanazengo kugundua janja yake katokomea kusikojulikana na kuna kipindi alijinasibu ana taarifa nyeti za nchi kumbe janja janja tu hana lolote.
Ila ninachomkubali ni mzuri wa kucheza na google kupata taarifa zaidi ya matukio mbalimbali anazokuja kusimulia humu.
Pia hata wewe mkali br endeleeni kutupa madiniShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Ndugu zangu Watanzania huyu Habibu B. Anga (The Bold) Mungu ampe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate his writings here on JF. I wish him all the best.
Ninapenda kutumia wasaa huu kutuma salama zangu za pongezi pamoja na heartfelt appreciation kwa ndugu yangu Habibu B. Anga kwa makala zake nzuri sana humu JF ambazo honestly nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana mema na mazuri ambayo nilikuwa sijawahi kuyafahamu hapo kabla.
Mimi pia ni mwandishi wa makala kule jukwaa la Jamii Intelligence ila Habibu B. Anga anajua sana kusimulia na kupangilia story zake. Kwa kweli ananikosha sana. Ona hii sasa;
Christiano Ronaldo (CR7) alipokuwa bado anachezea Real aliwahi kuwapiga hat trick Atletico Madrid katika uwanja wa nyumbani wa Santiago Bernabeu kwenye mechi ya kwanza ya league kuu wa Spain (La Liga)
Kwenye mechi ya Round ya Pili katika uwanja wa nyumbani wa Atletico Madrid wa Estadio Metropolitano Ronaldo akapiga tena hat trick.
Baada ya kuona vile mashabiki woooote wa Atletico Madrid kwa heshima kubwa wakaamua kunyanyuka juu ya viti vyao na wote kwa pamoja kuanza kumpigia makofi CR7 baba lao.
Habibu ndio CR7 wa Jamiiforums kwa sasa.
Mkuu, endelea kutupa ladha pasipo kuchoka.
Long live Habibu. Long live JamiiForums.
Mzee baba ni ya Kiswahili au ni ya kiingereza ?Anaehitaji soft copy ya Prisoner X aniambie maana naona jamaa ni bingwa wa kunakiri na kutafasiri kazi za watu na kuzileta humu ndani.
Baada ya wanazengo kugundua janja yake katokomea kusikojulikana na kuna kipindi alijinasibu ana taarifa nyeti za nchi kumbe janja janja tu hana lolote.
Ila ninachomkubali ni mzuri wa kucheza na google kupata taarifa zaidi ya matukio mbalimbali anazokuja kusimulia humu.
Mimi nina bifu naye, kwa uandishi huo huo alinizidi kete kwa Nifah... sema haina noma.
Cheers [emoji1635]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninaona ameamua kugoma kukujibu mkuuMzee baba ni ya Kiswahili au ni ya kiingereza ?
Nalog off
Kah! Kwani Yesu si ndio Mungu ama?Sifa na utukufu ziwaendee Yesu na Mungu.
Mimi nina bifu naye, kwa uandishi huo huo alinizidi kete kwa Nifah... sema haina noma.
Cheers [emoji1635]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]