Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Kama ana refer kwenye google tatizo liko wapi,humu kila mtu ana level yake ya kielimu,wengine kingereza kinapanda,wengine cha kuungaunga,wengine cha kuombea maji na wengine hawajui kabisa kingereza ,sasa kama anatokea mtu anawasimulia maswala kama haya sioni makosa.
Hakika umenena vema@
 
Hata kama ukiwa mtu wa kusoma sana,ila huwezi ukasoma kila kitu so kupitia watu kama kawa wanakuongezea kitu hata kama kacopy kutoka kwenye Google.Ila si shangai hii ndio JF kuna watu wapo kwa ajili ya Ku-discourage watu cha msingi ni kuwapuuza kama WAPUUZI wengine.
Haaswaaaa mkuu upo sahihi
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Ndugu zangu Watanzania huyu Habibu B. Anga (The Bold) Mungu ampe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate his writings here on JF. I wish him all the best.

Ninapenda kutumia wasaa huu kutuma salama zangu za pongezi pamoja na heartfelt appreciation kwa ndugu yangu Habibu B. Anga kwa makala zake nzuri sana humu JF ambazo honestly nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana mema na mazuri ambayo nilikuwa sijawahi kuyafahamu hapo kabla.

Mimi pia ni muandishi wa makala kule jukwaa la Jamii Intelligence ila Habibu B. Anga anajua sana kusimulia na kupangilia story zake. Kwa kweli ananikosha sana.

Mkuu, endelea kutupa ladha pasipo kuchoka.

Long live Habibu. Long live JamiiForums.
Amekuruhusu lakini kutoa jina lake?
 
Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.

Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.

Cheers Comrade.
 
Naunga mkono hoja,,, hakika huyu jamaa ni mmoja kati ya members walionifanya niipende JF,,nilikuwa msomaji na mfuatiliaji mzuri wa JF kabla sijawa member,,,ilikuwa nikikuta Uzi wa huyu the bold na members wengineo ambao sitowataja hapa nitawavimbisha kichwa,,,,ilikuwa ni lazima nisome,,tena mwanzo hadi mwisho..,,kuanzia thread hadi comments
 
Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.

Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.

Cheers Comrade.
Mkuu tunakushukuru sana sana Kwa kutuamsha na kutufunza bila kujali haters wanaongea nini.Be blessed comrade.
 
Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.

Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.

Cheers Comrade.
Amen comrade 🙏 🙏
 
Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo.
Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra.

Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu.
Naamini siku moja mbegu tunayoipanda itamea maua mema sana kwenye jamii yetu.

Cheers Comrade.
Cheers. One love.
Christiano Ronaldo (CR7) alipokuwa bado anachezea Real aliwahi kuwapiga hat trick Atletico Madrid katika uwanja wa nyumbani wa Santiago Bernabeu kwenye mechi ya kwanza ya league kuu wa Spain (La Liga)

Kwenye mechi ya Round ya Pili katika uwanja wa nyumbani wa Atletico Madrid wa Estadio Metropolitano Ronaldo akapiga tena hat trick.

Baada ya kuona vile mashabiki woooote wa Atletico Madrid kwa heshima kubwa wakaamua kunyanyuka juu ya viti vyao na wote kwa pamoja kuanza kumpigia makofi CR7 baba lao.

Habibu wewe ndio CR7 wa Jamiiforums kwa sasa.
 
Back
Top Bottom