Hackers tukutane hapa!

Hackers tukutane hapa!

Black hackers ndio ambao wanaandika hizo exploit coz kiethical kufanya hivyo ni kinyume na Sheria... Ndio maana ethical iko na limitations hata kwenye kujifunza.
Yeah una kuwa limited ethical hacking unafundishwa how to protect people from vulnerable threats,fraud, hacking
 
Hackers wa bongo wachovu tu.mnashindwa hata kuhack miamala ya simu.itume hela kwa wateja.
 
Yeah una kuwa limited ethical hacking unafundishwa how to protect people from vulnerable threats,fraud, hacking
Ndio hivyo mkuu, kwahiyo hata hiyo tool unayotaka huwezi kuipata kirahisi na ukiwa nayo utaiambia mamlaka umeipataje😂😂😂... Tutakuchukulia Sheria mkuu, kwasababu tutakuweka kwenye kundi la waharifu na waharifu huwa ni black.
 
Ndio hivyo mkuu, kwahiyo hata hiyo tool unayotaka huwezi kuipata kirahisi na ukiwa nayo utaiambia mamlaka umeipataje😂😂😂... Tutakuchukulia Sheria mkuu, kwasababu tutakuweka kwenye kundi la waharifu na waharifu huwa ni black.
😂😂 Ila itasaidia watu mtaani watu wanapigwa wanalia sana
 
Ni kweli, ila kuna wanaojua mbinu chache za hacking, mfano anatuma sms kuwa kuna mtu kakosea kakutumia hela so ubonyeze hivi na vile then ukibonyeza hela yote wanakomba.
Hiyo ujanja mdogo sana hata wewe unaweza kufanya wanakuzubaisha na maneno tu anakwambia andika *150*00#,kisha bonyeza 1 ila ambayo ni tuma hela,ikifika kwenye kuweka namba ya simu wanaitoa sifuri ya kwanza ili usijue kwa mfano andika 69375054- wewe utaandika,na kwenye kuandika kiasi atakwambia uanze na sifuri ili usijue kwamba ni pesa kwa mfano atakwambia andika 0550000 hii ni laki tano na hamsini hiyo sifuri ya nyuma haina kazi yoyote ukishaandika hivyo anakwambia bonyeza okay kisha weka namba ya siri kisha bonyeza okay utakuwa umemtumia hela tena kizembe kabisa
 
Back
Top Bottom