Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ni tech sio uchawi bossHackers kama wachawi tu
Hao ni biggest in the world ila hata bongo Kuna wahuni wapo kitaa wanakula deal mdogomdogo tu dark web huko utawakuta wengi wanapiga Cardinglevel za kina
-4Chan
-Anonymous
-Lazarus group
-T505
Ni hatare
Black hackers ndio ambao wanaandika hizo exploit coz kiethical kufanya hivyo ni kinyume na Sheria... Ndio maana ethical iko na limitations hata kwenye kujifunza.😂😂😂Duh most hackers wanatumia tools made by other great hackers
Dah! wana potential ni vile resources za kujiendeleza wanakosa au wenyewe wanaamua tu kukata tamaa.Tanzania Computer Scientist,IT na wengi related wanaishia studio tu na stationary
Yeah una kuwa limited ethical hacking unafundishwa how to protect people from vulnerable threats,fraud, hackingBlack hackers ndio ambao wanaandika hizo exploit coz kiethical kufanya hivyo ni kinyume na Sheria... Ndio maana ethical iko na limitations hata kwenye kujifunza.
Kbs & ur prepared to work on system to make sure their safe ila hufundishwi ugaidiDah! wana potential ni vile resources za kujiendeleza wanakosa au wenyewe wanaamua tu kukata tamaa.
NdioHivi??? Python ni chatu??
Ndio nini hichoIla wanapiga mpunga mrefu mno Kuna kitu kinaitwa Carding aise kinawalipa
😂😂😂 Unahack 60k unaenda kulipa 15M polisiHackers wa bongo wachovu tu.mnashindwa hata kuhack miamala ya simu.itume hela kwa wateja.
Ndio hivyo mkuu, kwahiyo hata hiyo tool unayotaka huwezi kuipata kirahisi na ukiwa nayo utaiambia mamlaka umeipataje😂😂😂... Tutakuchukulia Sheria mkuu, kwasababu tutakuweka kwenye kundi la waharifu na waharifu huwa ni black.Yeah una kuwa limited ethical hacking unafundishwa how to protect people from vulnerable threats,fraud, hacking
Kitendo Cha kutumia taarifa za kadi zilizopatikana kinyume Cha Sheria ili kufanya miamala kwa faida ya kifedha.Ndio nini hicho
Hamnaa.unakorofisha miamala itoke yenyewe kwa wateja😂😂😂 Unahack 60k unaenda kulipa 15M polisi
😂😂 Ila itasaidia watu mtaani watu wanapigwa wanalia sanaNdio hivyo mkuu, kwahiyo hata hiyo tool unayotaka huwezi kuipata kirahisi na ukiwa nayo utaiambia mamlaka umeipataje😂😂😂... Tutakuchukulia Sheria mkuu, kwasababu tutakuweka kwenye kundi la waharifu na waharifu huwa ni black.
Wanaiba credits card details halafu wanafanya kama laundering flani kupitia njia tofauti ili wapate ile pesa..Ndio nini hicho
Aise mitandao ina ma cyber wazito you can't even try to enter in their systemHamnaa.unakorofisha miamala itoke yenyewe kwa wateja
Hiyo ujanja mdogo sana hata wewe unaweza kufanya wanakuzubaisha na maneno tu anakwambia andika *150*00#,kisha bonyeza 1 ila ambayo ni tuma hela,ikifika kwenye kuweka namba ya simu wanaitoa sifuri ya kwanza ili usijue kwa mfano andika 69375054- wewe utaandika,na kwenye kuandika kiasi atakwambia uanze na sifuri ili usijue kwamba ni pesa kwa mfano atakwambia andika 0550000 hii ni laki tano na hamsini hiyo sifuri ya nyuma haina kazi yoyote ukishaandika hivyo anakwambia bonyeza okay kisha weka namba ya siri kisha bonyeza okay utakuwa umemtumia hela tena kizembe kabisaNi kweli, ila kuna wanaojua mbinu chache za hacking, mfano anatuma sms kuwa kuna mtu kakosea kakutumia hela so ubonyeze hivi na vile then ukibonyeza hela yote wanakomba.
Waende tu polisi hamna namna😂😂😂😂😂 Ila itasaidia watu mtaani watu wanapigwa wanalia sana