Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
Hiyo ipo bado sindio phishing?Njia ya kizamani hii, sku hizi hawapo huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ipo bado sindio phishing?Njia ya kizamani hii, sku hizi hawapo huko
Na mpaka Sasa wahindi wanatumia japo siku hizi phishing ndio main method ya hacking na kina DDos attackNjia ya kizamani hii, sku hizi hawapo huko
Sasa kama mwenyewe anajua hayo mambo akikunasa vipiKuna software/tool ipo kwenye linux jina , unatengeneza access point inafanana na hio hio wi-fi halafu unafanya de-auth, yaani una kata connection kati ya hio wi-fi na devices zote zilizopo hayo maeneo, access point yako inabaki active, halafu wataona wi-fi yako wakidhani ni ya kwao, hivyo mwenye password ataingia kwenye wi-fi yako na kueka password, then utaziona kwenye dashboard password zilizowekwa...
nikupatie hio tool?
Jamaa ajajua tu sema hapa kwenye surface web mara nyingi tupo safe kwa kiasi ila huko deep unaibiwa bila kujuaHiyo ipo bado sindio phishing?
Hauna mbinu nyingineMkuu nahsi itakusumbua tu, inatumia command mwanzo mwisho na inabidi uwe na linux distribution kama kali au ubuntu i think...
Sasa hayo madini au notes za kusoma networking nayatoa wapi mkuu, nipe mwongozo hapoMost hackers best programmers were self taught soma network kwanza uielewa kama unataka kujifunza hacking
Kuna app fulani kwenye simu sikumbuki jina ilikuwa inatumika pia jifunze termuxHauna mbinu nyingine
Kuna mtu aliniambia atanizawadia GB 30 nikijibu swali fulani ilikuwa whatsapp,nilipojibu akaniambia kuwa kuna code itaingia inatakiwa nimtumie yeye ili animation hiyo 30GB lakini,kuna mtu akaniambia nisimpe code yoyote ni hackerUnakutana na website ili u view content zao please add your credit card number password wamemaliza au unapokea email umeshinda pesa ukituma tu taarifa wamemaliza
Au iPhone 16 inauzwa 150k unataka kununua umeenda
Mkuu nikufundishe kufanya nini?and 100 others nifundishe na mimi
Sure mkuu, na njia za hacking ni zile zile tu, mtu anachagua kulingana na pahala anapotaka kukabiliana nako.Jamaa ajajua tu sema hapa kwenye surface web mara nyingi tupo safe kwa kiasi ila huko deep unaibiwa bila kujua
YouTube unajifunza network unaielewa, programming kama Python na C programming lazima ujue unahamia kwenye Operating system the Tools na namna ya kuzitumiaSasa hayo madini au notes za kusoma networking nayatoa wapi mkuu, nipe mwongozo hapo
Basi ndio hivyo, lakinini trick flani kutumia public wi-fi kama una uhitaji..Sasa kama mwenyewe anajua hayo mambo akikunasa vipi
Na most hacking kama phishing hacker hucheza na psychology tuSure mkuu, na njia za hacking ni zile zile tu, mtu anachagua kulingana na pahala anapotaka kukabiliana nako.
Yeah huwa ni wazuri sana kwenye hilo eneo, kwasababu wanajua Kila mtu huwa anatamaa na tamaa ya Kila mtu huwa inazidi kwenye eneo na eneo so wanatumia huu udhaifu, na wanafanikiwa sana tu.Na most hacking kama phishing hacker hucheza na psychology tu
Wazee wa metasploit, sqlmap,John the ripper/ Air Crack ng
Na hao black hackers wanajifunza wapi hayo mautundu yao?je kuna taasisi maalumu wanapokwenda kujifunza hiyo taaluma?Yeah una kuwa limited ethical hacking unafundishwa how to protect people from vulnerable threats,fraud, hacking
Hapana Kuna Vitabu unasoma ila sanasana hacking it about tools na ukijua network & programming basi hamna kingine na hizo methodsNa hao black hackers wanajifunza wapi hayo mautundu yao?je kuna taasisi maalumu wanapokwenda kujifunza hiyo taaluma?
🔥🔥🔥Wazee wa metasploit, sqlmap,