Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #161
Man-in-the-Middle(MitM) can do it with Aircrack-ngWifi password 🔑 🔑 😞 😞
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man-in-the-Middle(MitM) can do it with Aircrack-ngWifi password 🔑 🔑 😞 😞
Ukimpa code baadae anaiteka akaunti yako ya whatsapp anaimiliki yeye,hiyo code anayosema itakuja kwako itakuwa ni ya kurequest from whatsapp alijifanya anacreate whatsapp account kwa kutumia number yako ukishampa code akiingiza baadae anaonekana yeye ndio mmiliki wa hiyo whatsapp number yako kisha ataanza kuwasiliana na watu wako na kuwaomba hela na watu wako watajua ni wewe.Kuna mtu aliniambia atanizawadia GB 30 nikijibu swali fulani ilikuwa whatsapp,nilipojibu akaniambia kuwa kuna code itaingia inatakiwa nimtumie yeye ili animation hiyo 30GB lakini,kuna mtu akaniambia nisimpe code yoyote ni hacker
Je ni kweli
Hapo usiclick kama huja login popoteIlikuwa ni whatsapp verification code
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!Ukimpa code baadae anaiteka akaunti yako ya whatsapp anaimiliki yeye,hiyo code anayosema itakuja kwako itakuwa ni ya kurequest from whatsapp alijifanya anacreate whatsapp account kwa kutumia number yako ukishampa code akiingiza baadae anaonekana yeye ndio mmiliki wa hiyo whatsapp number yako kisha ataanza kuwasiliana na watu wako na kuwaomba hela na watu wako watajua ni wewe.
Juzi kuna mtu ameishikilia number yako ya whatsapp sina access nayo tena ikanibidi nifungue akaunti mpya na kuwatangazia watu wangu
Network hah... Hapa ndio kwenyewe sioYeah hacking is about understanding how things worls including network
OkHapo usiclick kama huja login popote
Hapo ndio watu wanapakimbia na programmingNetwork hah... Hapa ndio kwenyewe sio
Nadhani ilikuwa ni OTP ya kawaida, kuna muda hata facebook walitumia namba kama ya mtu instead ya kutumia alphanumeric sender ID yenye jina la kampuni yao...Kuna siku nilikuwa najiunga na mtandao flani, kama kawaida nikaambiwa nitatumiwa code niijaze na kweli punde nikatumiwa hiyo code
Lakini kabla sijajaza hiyo code ghafla,ikaingia sms kwenye siku imeandikwa namba ambazo zipo sita kama tu zinavyokuwa za code halafu na maneno haya kwa mbele
"Please proceed with this,tumia busara"
Namba ilikuwa ngeni
Je hapo kuna nini
Whatsapp verification code haiji kutoka kwa personal number huyo ni hacker ukitumia hiyo code baadae anakuwa na access na akaunti yako ya whatsapp.Ilikuwa ni whatsapp verification code
Hatari yani, ila ili uwe hacker Bora lazima uyajue hayo maeneo kwa uzuri zaidiHapo ndio watu wanapakimbia na programming
Mimi ilikuwa inatoka kwa wenyewe whatsapp ila yeye ndo sijui alikuwa anafanyaje ndo hiyo code inakuja kwanguWhatsapp verification code haiji kutoka kwa personal number huyo ni hacker ukitumia hiyo code baadae anakuwa na access na akaunti yako ya whatsapp.
Hata mimi juzi kuna mtu alinitumia kitu kama hicho nimekuwekea screenshot uone
Lakini hiyo namba iliyonitumia hiyo sms kuna siku ilinipigia ikidai imeona missed calls zangu nilipoiambia kuwa sijaipigia ikadai kuwa si vibaya kufahamiana ikaniuliza ninaishi wapiNadhani ilikuwa ni OTP ya kawaida, kuna muda hata facebook walitumia namba kama ya mtu instead ya kutumia alphanumeric sender ID yenye jina la kampuni yao...
Haya makampuni kama X, facebook na google wanatozwa pesa ndefu sana kulipia hizo OTP alphanumeric sender IDs, kuna kipindi twitter walitaka kuacha hizo huduma za OTPs na walipunguza sana kwa sababu makampuni mengi Africa hususani Tz walifanya udanganyifu...
Kila OTP sms moja twitter walikuwa wanalipa, makampuni yakawa yanafanya fraud kuonyesha sms nyingi zimetumwa hali ya kuwa si kweli, twitter wakaona upuuzi...
Hivyokwa hio app kutumia nama ya simu labda pia ni njia yao kupunguza gharama..
Mkuu au ni hizi app za kibongo?Lakini hiyo namba iliyonitumia hiyo sms kuna siku ilinipigia ikidai imeona missed calls zangu nilipoiambia kuwa sijaipigia ikadai kuwa si vibaya kufahamiana ikaniuliza ninaishi wapi
Sifahamu ila niliogopa sanaMkuu au ni hizi app za kibongo?
Hio code ulikuwa unajiunga na account ya whatsapp? ina maana alifahamu vipi muda huo unajiunga na whatsapp?Whatsapp verification code haiji kutoka kwa personal number huyo ni hacker ukitumia hiyo code baadae anakuwa na access na akaunti yako ya whatsapp.
Hata mimi juzi kuna mtu alinitumia kitu kama hicho nimekuwekea screenshot uone
Hio kutumiwa na namba ya mtu ilishanitokea, na niliweka ikafanya kazi,tena kama si facebook basi ni google...Sifahamu ila niliogopa sana
IkawajeHio kutumiwa na namba ya mtu ilishanitokea, na niliweka ikafanya kazi,tena kama si facebook basi ni google...
Lazima huwezi kuwa hacker hujui izo areas na most hackers today are programmers wanajua mifumo kulikoHatari yani, ila ili uwe hacker Bora lazima uyajue hayo maeneo kwa uzuri zaidi
Ni kama wale tu wanaotengeneza virus na antivirusHackers huwa wanaweza yote black and white
Alikuwa ameshahack tayari akaunti yangu na anaitumia hadi profile photo ameweka sasa wakati najaribu kuregister upya ili nipate access ndio ikaja code kwa namba yake.Hio code ulikuwa unajiunga na account ya whatsapp? ina maana alifahamu vipi muda huo unajiunga na whatsapp?