Hackers wadukua IG ya Chaumbea Soudybrown na kufichua Sura yake huku wakimtishia kutoa Mamilioni ya pesa ili wasifichue siri zake

Hackers wadukua IG ya Chaumbea Soudybrown na kufichua Sura yake huku wakimtishia kutoa Mamilioni ya pesa ili wasifichue siri zake

_20240301_160924.JPG
 
Duh hatari hii... Leo ndiyo nimeijua sura ya Soudy Brown, kumbe ni Huyo!!! Wahuni hatari hao, lakini kama ni Hackers wa Kampala nadhani wana ushirika na wabongo. Maana chats zao zimekaa kibongo bongo.

Pia, wao wana akili. Wanaweza wakasema kuwa ni wa Kampala au Nigeria ili kuhamisha attention. Kuanza kujidirect moja kwa moja kuwa ni wabongo wa hapahapa ni hatua moja wapo ya kuanza kumpa ushindi adui yako na kumpa code mapemaa.

Tupo na hii movie hadi tuone mwisho wake... Hatari.

Tunawasubiri wamdukue Kigogo, maana sa hivi yupo hadi Instagram. Wakifanikiwa kwa Kigogo nitaamini kweli hawa jamaa ni Hatari. 😀
 
Wazee wa kazi au kule Nigeria tunawaita Yahoo Boys wame-hack account ya Soudybrown, mtangazaji wa kamapuni ya utangazaji ya Clouds Media Group, na Chaumbea namba mmoja nchini TANZANIA.

View attachment 2921432

Hata hivyo vinara hao wa udukuzi hawakuishia ku-hack tu account yake, pia walimpa na masaa ya kuwalipa pesa ili warudishie account yake, kiasi cha dollar 10,000 ambayo ni zaidi ya Shilling Millioni 25 za kitanzania. Huku kwenye background wakiweka nyimbo ya Rayvanny-Money. Huku wakitaka pesa hizo zilipwe kwa mfumo wa Sarafu Mtandao wa Bitcoin. Hili isiwe rahisi kwao kugundulika.

Baada ya Soudybrown kushindwa kufikia Makubaliano, yani deadline ya saa nane mchana, wazee hao wa ngwasuma yani wazee wa kazi wakaamua kumkomoa kwa kufichua sura yake ambayo kwa muda mrefu amekuwa akiificha kwa kuvaa mask usoni.

View attachment 2921438

Huku caption ikisomeka kama ifuatavyo;

"Umekuja Dm Unatia tia huruma gangamara mwanaume usijirize sisi tunataka Pesa Dola 10,000 tu tutakuludishia takataka zako
hatutaki maneno ona sasa tunakuumbua tunakuvua maksi, na hizi ni lasha lasha tu kibwengo wahed tutaachia chati zako zote mpaka vyeti vya hospitali. Hee marehemu kumbe alikua hajambo kwa kukupa maumbea ya wenzake. Fanyia kaz maelekezo tuliyokupa sivyo tutakuweka wa mnyama Tunaitwa Panya wa Kampala usituchezee"


Mpaka hivi sasa bado ufumbuzi wa tukio hili haujafahamika.
Unalike hadi pg za umbea? Mwana una balaa weeee!!
 
Mi natamani niione konekshen ya batuli naona watu wanadai wameiona imevuja nasikia mtoto anakata mauno huyo full kulia utamu
 
Back
Top Bottom