Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

Wow nimependa style ya uandishi wako! Hongera kwa kubaki mwepesi hiyo lazima ilikua wet dream!


Finally ambae tupo in the same line. Hili swala la jini mahaba wapo kunitisha hawa wadau.
 
Mwali sasa kama we hutaki kumwambia unategemea nini? Erry hapa ni mtaalamu wa ku-flirt ndo maana unaona kama kashamuweka kona vile.

Erotica. . . hahahahaha. . .punguza uchokozi wewe, ntakuchapa!!


teh teh teh. labda uniambie utanichapia nini ili nitishike kweli.
 
Mwali sasa kama we hutaki kumwambia unategemea nini? Erry hapa ni mtaalamu wa ku-flirt ndo maana unaona kama kashamuweka kona vile.

Erotica. . . hahahahaha. . .punguza uchokozi wewe, ntakuchapa!!
Mi nashindwa sasa, naona kama I am too blond for him.
Ila leo nimesoma post yake anasema kichwa sio muhimu
Nimepata nguvu ghafla, labda nitafunguka nikimuona tena.
 
Mi nashindwa sasa, naona kama I am too blond for him.
Ila leo nimesoma post yake anasema kichwa sio muhimu
Nimepata nguvu ghafla, labda nitafunguka nikimuona tena.
Acha hizo bana. . .besides, hata kama ungekua blond + 'kichwa' chake kwa kiasi kikubwa matokeo yangekua 'KICHWA' kingine. Embu changamka kabla sijakukuwadia nianzishiwe thread.
 
Acha hizo bana. . .besides, hata kama ungekua blond + 'kichwa' chake kwa kiasi kikubwa matokeo yangekua 'KICHWA' kingine. Embu changamka kabla sijakukuwadia nianzishiwe thread.

Lizzy mimi hata sisome comment za Mwali, ananiboa. naona anataka niingilie kati

ili aone to what lengths she can make to keep what she thinks hers to be truly hers.

Mie namvutia tu hapa. ngoja ataona!
 
Last edited by a moderator:
Topic: Had SEX with a
stranger!!! Please help, Have
I cheated?!

Jamani WHAT IS THE DIFFERENCE between CHEATING and MARITAL INFIDELITY, or sexual infidelity?
 
Acha hizo bana. . .besides, hata kama ungekua blond + 'kichwa' chake kwa kiasi kikubwa matokeo yangekua 'KICHWA' kingine. Embu changamka kabla sijakukuwadia nianzishiwe thread.
Don't do that. I'll run away from JF or change my ID. lol
 
Topic: Had SEX with a
stranger!!! Please help, Have
I cheated?!

Jamani WHAT IS THE DIFFERENCE between CHEATING and MARITAL INFIDELITY, or sexual infidelity?

Cheating katika mahusiano ni sleeping with another person who is not your partner while in a relationship.
Marital Infedility is doing the cheating while married.
Sexual infedility si sawa tu na cheating iwe mmeoana au hamjaoana. Ok,

sasa tell me have i cheated?
 
Duh nimecheka sana kama Kibela vile......hivi mpenda threesome kama wewe una boyfriend na unaconcious ya kufeel guilty una cheat........unajitahidi kwa topic za kuchitchat:rockon:





Naona hii week hii ni yangu!! Baada ya kupita majaribu na boyfie mambo yamenigeukia tena.
Kwanza inabidi mjue kua alikua hayupo kasafiri karibu miezi miwili na tukajeruhiwa kabla
ya kuridhisha nafsi ma miili yetu. Alipokuja ndio hapo alipokuja
na style ya kuumiza viungo na kutufanya hamu yote iishe. Jana nimejisikia Uchovu mwili mzima
nikapumzika kwenye sofa sebuleni huyoo nikapitiwa na usingizi. Nilipoamka ghafla nikanyanyuka
huyo hadi chumbani, nikavua nguo , nikaenda kuoga na kuamua nitoke Out yap eke yangu kwa
nikapate mbili tatu kwa ajili ya kupoteza mawazo na maumivu tokana na style bubu.

Mungu si Juma wala si Athumani baada ya kunywa akajitokeza kaka na kusogea karibu yangu pale
kuomba aninunulie kinywaji, nikamwambia nimetosheka kama anaweza twende on the dance floor tucheze
muziki. Aka Smile na kukubali, aliposmile ndio nikaona wazi kua he is cute in a mannish way.
Baada ya mazungumzo ya dakika moja kanichekesha vya kutosha hao tukaenda kucheza. Sikumbuki kitu.

Naomba msinijaji, kitu pekee nakumbuka ni kua wakati tunacheza niligundua ana strong arms. I like that.
Lililofuata hapo ni kua najishtukia tupo nae kitandani tupo Kokrochi death na ndio kwanza nimepandisha mlima na
cumming like neva b4. Mwili wote hauna nguvu, I feel like a baby na mwepesiiiii. Mara mlango unafunguliwa kwa Nguvu!
Boyfie kaingia na kutukuta hivo ndio kwanza hata kuachiana bado.. Nampenda sana, najishangaa
imekuaje nimemsaliti??!! Roho inanilipuka!! Nakurupuka kama vile nimetoka usingizini! Roho inaenda mbio!!

Kuangalia vizuri na pale pembeni nakuta boyfie bado kalala hana habari nan i usiku wa manane.
Kumbe nilikua naota labda tokana na genye nyingi nilizo nazo. Lakini najisikia kabisaaa kama vile nimetoka
kufanya na nimeamka lakini bado najisikia mwepesi na nimeshiba. I touch myself naona kama vile nimetoka
kufanya hakuna ubishi. I look at my boyfie, I feel guity.

I feel guilty sababu kwa kweli yule stranger wa usingizini was good, nilitamani ndoto isiishe iwe milele.
Nisaidieni jamani hio sawa na Kucheat?


No mwaaaah, am confused. :decision:
 
Naona hii week hii ni yangu!! Baada ya kupita majaribu na boyfie mambo yamenigeukia tena.
Kwanza inabidi mjue kua alikua hayupo kasafiri karibu miezi miwili na tukajeruhiwa kabla
ya kuridhisha nafsi ma miili yetu. Alipokuja ndio hapo alipokuja
na style ya kuumiza viungo na kutufanya hamu yote iishe. Jana nimejisikia Uchovu mwili mzima
nikapumzika kwenye sofa sebuleni huyoo nikapitiwa na usingizi. Nilipoamka ghafla nikanyanyuka
huyo hadi chumbani, nikavua nguo , nikaenda kuoga na kuamua nitoke Out yap eke yangu kwa
nikapate mbili tatu kwa ajili ya kupoteza mawazo na maumivu tokana na style bubu.

Mungu si Juma wala si Athumani baada ya kunywa akajitokeza kaka na kusogea karibu yangu pale
kuomba aninunulie kinywaji, nikamwambia nimetosheka kama anaweza twende on the dance floor tucheze
muziki. Aka Smile na kukubali, aliposmile ndio nikaona wazi kua he is cute in a mannish way.
Baada ya mazungumzo ya dakika moja kanichekesha vya kutosha hao tukaenda kucheza. Sikumbuki kitu.

Naomba msinijaji, kitu pekee nakumbuka ni kua wakati tunacheza niligundua ana strong arms. I like that.
Lililofuata hapo ni kua najishtukia tupo nae kitandani tupo Kokrochi death na ndio kwanza nimepandisha mlima na
cumming like neva b4. Mwili wote hauna nguvu, I feel like a baby na mwepesiiiii. Mara mlango unafunguliwa kwa Nguvu!
Boyfie kaingia na kutukuta hivo ndio kwanza hata kuachiana bado.. Nampenda sana, najishangaa
imekuaje nimemsaliti??!! Roho inanilipuka!! Nakurupuka kama vile nimetoka usingizini! Roho inaenda mbio!!

Kuangalia vizuri na pale pembeni nakuta boyfie bado kalala hana habari nan i usiku wa manane.
Kumbe nilikua naota labda tokana na genye nyingi nilizo nazo. Lakini najisikia kabisaaa kama vile nimetoka
kufanya na nimeamka lakini bado najisikia mwepesi na nimeshiba. I touch myself naona kama vile nimetoka
kufanya hakuna ubishi. I look at my boyfie, I feel guity.

I feel guilty sababu kwa kweli yule stranger wa usingizini was good, nilitamani ndoto isiishe iwe milele.
Nisaidieni jamani hio sawa na Kucheat?


No mwaaaah, am confused. :decision:

Hapa si ndoto wala nini...mtu kafika bei sehemu anajiuliza mara mbili mbili inakuwaje....mhhh kweli mpaka tufike tunakokwenda tunaona mambo mengi sana.
 
Duh nimecheka sana kama Kibela vile......hivi mpenda threesome kama wewe una boyfriend na unaconcious ya kufeel guilty una cheat........unajitahidi kwa topic za kuchitchat:rockon:

Laigwanan hio 3some ni fantasy papito. hata hivo nisha

kuona bila kunikorofisha huna raha. teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Hapa si ndoto wala nini...mtu kafika bei sehemu anajiuliza mara mbili mbili inakuwaje....mhhh kweli mpaka tufike tunakokwenda tunaona mambo mengi sana.

Ndahani nikuulize kitu utaweza kua na ubavu wa kunijibu? au muoga?
 
Last edited by a moderator:
Lizzy mimi hata sisome comment za Mwali, ananiboa. naona anataka niingilie kati

ili aone to what lengths she can make to keep what she thinks hers to be truly hers.

Mie namvutia tu hapa. ngoja ataona!

Erry, Mwali kasema he is no HERS bana, atleast not yet. . . kwahiyo anaumia tu ndani kwa ndani mnavyojiachia. Mpotezee basi yule nae nikutafutie hotties wa ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom