Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

Had SEX with a stranger!!! Please help, Have I cheated?!

blv it o not, ts jst a dream lik any othr drims, othrwise perhaps ur phycological mind wishes a stranger 4 sex motivation......it nomaly hapens to pplz
 
Ndahani njoo ujibu hapa usijikaushe.
Nimeona nikuulize hivo hivo. Katika post zako katika thread zangu upo so sacarstic
as if the world revolves around you na wewe ni mtukufu kuliko mimi. Ni ajabu kua watu
mwa define utakatifu tokana na attitude ya mtu dhidi ya Sex. Mimi ndio Erotica and SEX
is my brand name hapa jf upende usipende. Unaweza niona kicheche, unaweza ona natafuta wapenzi,
unaweza niona ni CD Uko huru. Ila kile ambacho defines me ni kile kiko nyuma ya pazia. Usijifanye
wanifahamu sana only to find at the end mie ni mwanamke wako, yule ambae hata sex kwenye
mwanga anaona ni dhambi na anaogopa sababu tu kua utamjudge. taratiiibu papito.
ukinifuatilia sana unanifanya tu niwe interested in you na nikajikuta najitongozesha kwako.
We don't want that au sio? Mwaaah. :A S kiss:
 
Last edited by a moderator:
Kuna PJ, MTM, Jmush1 na wengine wengi
ila usiwaambie nimetaja mie.

Kongosho, Mwali na Lizzy. Mie ni mwanamke mwenzenu bado sijawapata nyie
kutaka kunimwagia tindikali. Niliwauliza siku ile. nikawaambia hapa jf wanaume wanaonivutia
ni wengi tajeni wenu kabisa nijikwepeshe mkavunga. Leo hii ndio mko mbele kunitishia tindikali.
yaani kwa akili zenu nitakua tu nimetulia tuli nawaangalia tu?? Kumbukeni am erotic kila kitu sio Sex pekee.
 
Last edited by a moderator:
Erry, Mwali kasema he is no HERS bana, atleast not yet. . . kwahiyo anaumia tu ndani kwa ndani mnavyojiachia. Mpotezee basi yule nae nikutafutie hotties wa ukweli.


teh teh teh. nipeni kazi ya ukuwadi. Mradi mnilipe vema.
 
Ndahani njoo ujibu hapa usijikaushe.
Nimeona nikuulize hivo hivo. Katika post zako katika thread zangu upo so sacarstic
as if the world revolves around you na wewe ni mtukufu kuliko mimi. Ni ajabu kua watu
mwa define utakatifu tokana na attitude ya mtu dhidi ya Sex. Mimi ndio Erotica and SEX
is my brand name hapa jf upende usipende. Unaweza niona kicheche, unaweza ona natafuta wapenzi,
unaweza niona ni CD Uko huru. Ila kile ambacho defines me ni kile kiko nyuma ya pazia. Usijifanye
wanifahamu sana only to find at the end mie ni mwanamke wako, yule ambae hata sex kwenye
mwanga anaona ni dhambi na anaogopa sababu tu kua utamjudge. taratiiibu papito.
ukinifuatilia sana unanifanya tu niwe interested in you na nikajikuta najitongozesha kwako.
We don't want that au sio? Mwaaah. :A S kiss:

Haahaaa! Ntakuonaje mtu nisijekujua ni CD? Mi sio mtakatifu ila post zako zimekaa kichokozi...halafu wewe kufika bei kwa mtu sio dhambi...mbona ni sehemu ya maisha ya mwanadamu? Angalia usijaribu kunitongoza maana ukiona mikono yangu utaishia jumla jumla,lol!
 
Cheating katika mahusiano ni sleeping with another person who is not your partner while in a relationship.
Marital Infedility is doing the cheating while married.
Sexual infedility si sawa tu na cheating iwe mmeoana au hamjaoana. Ok,

sasa tell me have i cheated?

I thought you committed sexual infidelity coz I used to know cheating as pretending to have reached the orgasm while in actual fact not reached that peak.
 
Kuna PJ, MTM, Jmush1 na wengine wengi
ila usiwaambie nimetaja mie.


hata kama nipo desperate hio ni 2 much! No introz?

Kongosho acha kunifanyia roho mbaya! teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Haahaaa! Ntakuonaje mtu nisijekujua ni CD? Mi sio mtakatifu ila post zako zimekaa kichokozi...halafu wewe kufika bei kwa mtu sio dhambi...mbona ni sehemu ya maisha ya mwanadamu? Angalia usijaribu kunitongoza maana ukiona mikono yangu utaishia jumla jumla,lol!


Too late. I like you already. Stage inayofuata ni kujitongozesha. @Ndhahani Kufika bei is an insult.
pale uliposema kwenye thread uliisema kwa namna ya kunikejeli na sikupenda. ni kweli wanawake tunatongozwa na
kuvutiwa na wanaume ambao wana uwezo, lakini haina mana kua ni kila mara hicho ndio kigezo.
Mnasababisha nyie wenyewe wanaume na roho mbaya zenu. Inapotekea umependa for what he is
mara kadhaa ukaumizwa na still unaempenda haku appreciate dili inakua kuna na ambae analipa.
sijui inakuje, ukiwa a hard arse, hujali wala hu appreciate na wamuendesha ndio anakuona wa maana.
 
Hakua stranger bali ni mimi omba uonane na mimi ili utimize malengo yako ya ku do tena na safari ijayo ntakufikisha ambako hawajawahi kufikishwa wanawake wengi. Ohhh samahani!!!!!??? huja cheat hiyo ni ndoto tu ila angalia usije ukawa umezindua uhusiano na majini.
 
I thought you committed sexual infidelity coz I used to know cheating as pretending to have reached the orgasm while in actual fact not reached that peak.


Nzowa Godat kwa hio hapo nimefanya sexual infidelity? alafu cheating ipo forms nyingi basi.

mtaani kwetu huku ukisema cheating ni kumsaliti mwenzio na kutoka nje ha mahusiano.

mie papito sifekishi orgasm. kama hujanifikisha utajua tu! sipo hapo kwa ajili ya fulfillment yako tu, nipo na yangu pia.
 
Hakua stranger bali ni mimi omba uonane na mimi ili utimize malengo yako ya ku do tena na safari ijayo ntakufikisha ambako hawajawahi kufikishwa wanawake wengi. Ohhh samahani!!!!!??? huja cheat hiyo ni ndoto tu ila angalia usije ukawa umezindua uhusiano na majini.


teh teh the. nimeshindwa kujizuia kucheka GITWA.
 
Last edited by a moderator:
Too late. I like you already. Stage inayofuata ni kujitongozesha. @Ndhahani Kufika bei is an insult.
pale uliposema kwenye thread uliisema kwa namna ya kunikejeli na sikupenda. ni kweli wanawake tunatongozwa na
kuvutiwa na wanaume ambao wana uwezo, lakini haina mana kua ni kila mara hicho ndio kigezo.
Mnasababisha nyie wenyewe wanaume na roho mbaya zenu. Inapotekea umependa for what he is
mara kadhaa ukaumizwa na still unaempenda haku
appreciate dili inakua kuna na ambae analipa.
sijui inakuje, ukiwa a hard arse, hujali wala hu appreciate na wamuendesha ndio anakuona wa maana.

Interesting...unakumbuka uliniambia Eng nikakuuliza ni abbreviation ya nini? Sorry kama ilionyesha kuwa nakudharau..imagine somebody behind the screen, unknown to me! Why do I think that is an insult and not a reality or a joke?? Sorry hata hivyo...
 
Too late. I like you already. Stage inayofuata ni kujitongozesha. @Ndhahani Kufika bei is an insult.
pale uliposema kwenye thread uliisema kwa namna ya kunikejeli na sikupenda. ni kweli wanawake tunatongozwa na
kuvutiwa na wanaume ambao wana uwezo, lakini haina mana kua ni kila mara hicho ndio kigezo.
Mnasababisha nyie wenyewe wanaume na roho mbaya zenu. Inapotekea umependa for what he is
mara kadhaa ukaumizwa na still unaempenda haku appreciate dili inakua kuna na ambae analipa.
sijui inakuje, ukiwa a hard arse, hujali wala hu appreciate na wamuendesha ndio anakuona wa maana.

Mhhh! ntasemaje sasa?
 
Interesting...unakumbuka uliniambia Eng nikakuuliza ni abbreviation ya nini? Sorry kama ilionyesha kuwa nakudharau..imagine somebody behind the screen, unknown to me! Why do I think that is an insult and not a reality or a joke?? Sorry hata hivyo...


Ulipo niuliza eng nilijua ulimaanisha na kweli hukujua. Kuna koment moja uliniumiza nayo nikapotezea sredi iliyopita.

Na leo sikuipenda ile post yako ya kufika bei hali nimekwambia ni ndoto. hata hivo acha kupotezea.

kama nilivo sema ni too late. nitakua nakutembelea mara kwa mara. teh teh teh.
 
Mhhh! ntasemaje sasa?


teh teh teh. Rohoni utasema si ndio haya haya ambayo namfikiria alafu anabisa??!!

Kwenye post hapa unafikiria sijui niseme/nipost nini nisimkwaze sabb kisha onekana wa ku mind.
 
hakuna kupotezana hapa huyo ni jini mahaba tafuta namna ya kuombewa na aamka kutoka ndotoni sasa na uwe na utamaduni wa kusali zaidi hali hatarishi hiyo ukiendekeza next time atakuja kuchukua roho yako
 
Back
Top Bottom