Tetesi: Hadhi (status) ya VODACOM imeshuka hapa nchini. Wanahama kutoka Mlimani City kwenda Kinondoni

Tetesi: Hadhi (status) ya VODACOM imeshuka hapa nchini. Wanahama kutoka Mlimani City kwenda Kinondoni

Kampuni kubwa kama VODACOM wameshindwa kujenga jengo lao wenyewe mpaka wapange kila siku? Wanapeleka wapi hela zetu?
Unashangaa voda,shangaaa chadema chama kikuu na taswira ya upinzani Tanzania wanakaa kwenye makao makuu ni vyumba vitatu na sebule
 
Kuna haja gani ya kukimbilia kuandika kitu ambacho hata uhakika nacho huna? Hujui kuwa status iliyojengwa kwa miaka mingi unaweza kuiharibu bila ushahidi kwa sekunde tu? Tusicheze na kazi za watu.
Hili linazidi kuwa tatizo kubwa la Jamii forum. Mtu anaandika mambo mengi sana juu ya hisia au uongo wa kutunga.
Ukichunguza kwa undani tatizo hili linatokana na propaganda za kisiasa. Watu wanaandika ili kutaka kuonyesha utawala Fulani una mapungufu yanayosababisha matatizo mengi katika Jamii. Kwa hiyo matatizo haya yanakuzwa hata kwa kutafutwa au kulazimishwa.
 
Wateja wa Vodacom wameongezaka sana ukilinganisha na mitandao mingine taarifa ya TCRA.

Ingawaje watumiaji wa simu wamepungua kwa ujumla wake.
 
Na badoooo march 1 tutawahamaaaaa....wamezidiiii kutufanya chumaulete
 
wacha kampuni ife tu maana ni wanafiki sana na hawana lolote wiz mtupu
 
Kodi mchezo wanakukadiria kama sifa kupeana presha tu [emoji21][emoji21]
 
Tupe picha ya jengo la kinondoni wanapohamia maana akili zenu wabongo ,mbavu za mbwa iliyopo Dslam ni bora kuliko nyumba zuri iliyo Songea
 
Sidhani... We ukihama nyumba kutoka sinza na G'mboto tukutizamaje? Acha maneno ya ajabu boss
 
Mlimani city watahama wengi sana , huwezi kulazimisha wapangaji kuweka picha ya Makonda .
 
Ila voda nyie iacheni tu..nikiwa nahitaj internet yenye kas naenda voda..nikiwa na pesa nying naweka voda...uku kwingine hakuna uhakika sana kama voda..kwahyo voda inakahadhi kake apa Nchini
 
Makampuni hayo,.yote ya simu yapo along new bagamoyo road, wanaanza Airtel pale morocco,wanafuata voda, wanafuata halotel, wanaguata tigo na TTCL. Naona ni mkakati
 
Nimeaamza kutumia Vodacom tangi mwaka 2000 baada ya kuzinduliwa hapa nchini na aliyekuwa rais Big Ben Mkapa, sijawahi kuijutia hadi Leo. Ni mmoja wa watumiaji wa Vodacom wenye namba ile ile tangu 2000 licha ya kubadilika mara kadhaa code namba zao.
 
Back
Top Bottom