Hadhi ya kuitwa ‘Balozi’ huwa ina faida gani kwa mtu asiyetumikia tena ubalozini?

Dr.slaa ameshitakiwa akiwa bado anahadhi ya ubalozi na alilala rupango na ubalozi wake

Kwahyo hiyo point ni dhaifu
 
Mwalimu Nyerere,alikuwa hawachekei wanaotaka kuvuruga amani,hata kama walitafuta uhuru pamoja.Kambona alikimbia nchi,akiwa waziri,na wengine wengi chamoto walikiona.

Huyo aliyekuwa hawachekei watu sasa hivi yu wapi?

Juhudi zote alizofanya kuna msingi wowote wa uadilifu uliojengeka hadi leo kwamba watu wanaufuata?
 
Kama hadhi haikupatii pesa mengine hayana maana
 
Hizo ni hasira tu baada ya madalali wa mauzo kusagiwa kunguni
 
Wala sishangai, sikuwahi kuutambua huo ubalozi, alipewa ubalozi "KIHUNI" kavuliwa ubalozi "KIHUNI"
 
Niweke sawa zaidi ni baba mkubwa wa Cardinal.
Ukisema baba mkubwa na Cardinal unamaanisha watu wawili yaani kuna baba mkubwa na kuna cardinal, au mtu mmoja mwenye sifa hizo mbili. Unamaanisha huyo ni baba mkubwa na pia huyo huyo ni Cardinal.
Mother tongue ina akisi sentenso tunazotunga katika Kiswahili hasa sisi wachanga! Niwie radhi bwashee
 
Niweke sawa zaidi ni baba mkubwa wa Cardinal.
Ukisema baba mkubwa na Cardinal unamaanisha watu wawili yaani kuna baba mkubwa na kuna cardinal, au mtu mmoja mwenye sifa hizo mbili. Unamaanisha huyo ni baba mkubwa na pia huyo huyo ni Cardinal.
Kiswahili hicho. Wengi husema ni ndugu na fulani badala ya ndugu yake fulani.
 
'mabalozi wa nchi kavu' ndio wapoje ?...Au ni wale hawajaripoti/hawajapangiwa vituo vya kazi ?
 
'mabalozi wa nchi kavu' ndio wapoje ?...Au ni wale hawajaripoti/hawajapangiwa vituo vya kazi ?
Hawa ni wale wanaopewa hadhi ya ubalozi bila kupangiwa kituo mfano bashiru. Wako pia wizarani ambao wana hiyo hadhi au cheo lakini hawana vituo vya kibalozi nje ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…