China wao juzi hawakuwa na ambukizi hata moja, , , hizi vitu vinategemea na immunities za jamii husika, inaonekana kwa hapa bongo, wananchi wengi wametengeneza immunity dhidi ya covid kwa kiasi kikubwa, wala tusimsingizie sijui mungu ndo anaepusha, baada ya watanzania eti kusali sana, , sala haziondoi ugonjwa, ,
Utakuta kila wave nyingine ikija, kwa TZ haimalizi miezi mitatu watu wanakua wameshajenga resistant dhidi ya strain husika, , lakini haina maana kuwa watu hawaugui ana kufa kwa covid nchi hii