#COVID19 Hadi 07/10/2021 wananchi wa Marekani waliochanja ni 65%. Lakini maambukizi mapya ni 102,000 na vifo kwa jana ni 1,709!

unachokiongea unakijua au unakulupuka tyu mkuu. tupe ushahidi na utuambie hyo mipango ya ibilisi umeijuaje??????? au we ndio ibilisi mwenyewe?????
 
Mazingira ya Kenya hayana tofauti na yetu.ila wao wanapigwa.vipi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…