Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wamepiga kambi kwa Kabendera wanapambana na adui yao Magufuli subiri kwanza wakimaliza 2030 mapambano wataanza kufikiri Tanganyika.MATANGANYIKA MAPUMBAVU YALIYOAMUA KUUZA NCHI KWA TENDE NA HALUWA....🤣🤣🤣 Ningekuwa mimi ndo Samia ningetumia asilimia 10 ya mapato ya bara bya kila mwezi kuijenga Zanzibar!!
Samia anastahili pongezi kwa ajili ya wajinga waliolala usingizi wa pono na kuimba sifa eti Mama anaupiga mwingi.
Samia chota noti hazina jenga Zanzibar, MAPUMBAVU BARA yamelala usingizi!!!
Ongeza kabla ya uchaguzi teua IGP, Director wa TISS,Jaji Mkuu, Kamishna General wa Uhamihaji wote kutoka Zanzibar!!
Tunyooshe,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE MAMA!!
🙏🙏🙏🙏🙏🚴🚴
Hapo juu...Tanganyika tuko 60+ million,ila kule Kuna watu 1.5 million,ila wametuzidi akili😂
Dubai unaijua au unaisikia kwenye TikTok. Dubai na Zanzibar ni mbingu na ardhi. Labda Zanzibar inawezajitahidi kuifukuzia Mwanza na si Dubai
Mama ameongeza mgao wa pesa za mkopo na misaada yote kutoka nje, toka 4% mpaka 19%. Lakini mlipaji wa mikopo yote ni Tanganyika.Wanapata wapi fedha????
Wanauza madini Gani?
Wanahifadhi za wanyama?
Wanalima kilimo Gani?
Zanzibar ni sehemu ya Muungano!! What's wrong?Safi sana Hii ni salamu kwa MATANGANYIKA MAPUMBAVU YALIYOAMUA KUUZA NCHI KWA TENDE NA HALUWA....🤣🤣🤣 Ningekuwa mimi ndo Samia ningetumia asilimia 10 ya mapato ya bara bya kila mwezi kuijenga Zanzibar!!
Samia anastahili pongezi kwa ajili ya wajinga waliolala usingizi wa pono na kuimba sifa eti Mama anaupiga mwingi.
Samia chota noti hazina jenga Zanzibar, MAPUMBAVU BARA yamelala usingizi!!!
Ongeza kabla ya uchaguzi teua IGP, Director wa TISS,Jaji Mkuu, Kamishna General wa Uhamihaji wote kutoka Zanzibar!!
Tunyooshe,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE MAMA!!
🙏🙏🙏🙏🙏🚴🚴
Uko shallow sanaTanganyika tuko 60+ million,ila kule Kuna watu 1.5 million,ila wametuzidi akili😂
Tanganyika Iko wapi🫢Zanzibar ni sehemu ya Muungano!! What's wrong?
Huenda ni dubai ya makabeLabla Dubai ya Mbalizi - Mbeya
Tumepigwa na kitu kizito🤣Katiba yetu sijui ikoje - yaani una marais wawili afu wote wanatoka upamde mmoja wa muungano...laah
MATANGANYIKA MAPUMBAVU YALIYOAMUA KUUZA NCHI KWA TENDE NA HALUWA....🤣🤣🤣 Ningekuwa mimi ndo Samia ningetumia asilimia 10 ya mapato ya bara bya kila mwezi kuijenga Zanzibar!!
Samia anastahili pongezi kwa ajili ya wajinga waliolala usingizi wa pono na kuimba sifa eti Mama anaupiga mwingi.
Samia chota noti hazina jenga Zanzibar, MAPUMBAVU BARA yamelala usingizi!!!
Ongeza kabla ya uchaguzi teua IGP, Director wa TISS,Jaji Mkuu, Kamishna General wa Uhamihaji wote kutoka Zanzibar!!
Tunyooshe,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE,TUNYOOSHE MAMA!!
mkuu umefika mbali🙏🙏🙏🙏🙏🚴🚴
Dubai unapajua?
Ili cease mwaka 1964Tanganyika Iko wapi🫢
Pesa za Tanganyika hiyo. Huyu mama atauvunja muunganoAnajikatia minyama tu..
Ni Tsh ngapi za. TANGANYIKA zimekwenda kujenga ZNZ?Pesa za Tanganyika hiyo. Huyu mama atauvunja muungano