Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Acha kelele sisi tumewatwanga na majimbo 5 tumetachukua nyie mmechukua nini kutokana Urusi?Wale ma-pro fashisti humu siku hizi nao wamepoteana hadi aibu! Why are you supporting Russia in this saga? Mbona Marekani iliivamia Iraq? Eti hilo ndio jibu!
Kwani wewe nia yako unataka achikue Ukraine nzima ndio uone Urusi amefanikiwa?View attachment 2414112Marekani kununua ammunition rounds kutoka South Korea kunaisaidia nini Russia? Ukraine si anapewa silaha kutoka popote, sio superpower kama mnavyojiita nyinyi.
Russia alianza kutoroka Kyiv, Snake island na hadi leo anatimua mbio kuachia maeneo wewe bado unatoa sijui kuna kipigo anaandaa. Kwani hao wanajeshi aliotuma uko anaorudisha sasa hivi walienda kucheza rede ama namna gani.
Sawa mmeufyeka msafara,mmegain nini baada ya kuufyeka??Tangu lini Warusi wakajali raia, hawa Warusi wanaopiga mabomba ya maji mabomu ili wananchi wateseke...
Kila siku mnatuambia hiki mnatuambia kile, yaani hamkosi vijisababu, imekua hizi stori tangu msafara ulivyofyekwa Kyev.....na Warusi wanaendelea kufukuziwa balaa belua...
jipime akili mkuu , marekan inatoa msaada wala sio vita yake ila inajitoa kias hicho ila mzee wa SMO wanaomba msaada kwa IranWe tulizana uone kipigo atakacho pewa Ukraine huyo kaingizwa hapo Kherson wakitoka wazima washukuru.
Hivi we Huna habari US ananua silaha za mizinga toka South Korea ili apeleke Ukraine au bado umelala. Afu mnamuita Superpower [emoji23]
US intends to buy 100,000 rounds of artillery ammunition from South Korean arms manufacturers to provide to Ukraine.
Yani hi vita mwenye akili mbovu ndio anadhani Ukraine kashinda.US plans to buy 100,000 rounds of artillery ammo from South Korea for Ukraine | CNN Politics
The US intends to buy 100,000 rounds of artillery ammunition from South Korean arms manufacturers to provide to Ukraine, a US official said, as part of a broader effort to find available weaponry for the high-intensity battles unfolding in Ukraine.edition.cnn.com
Mrusi klicho mungiza Ukraine niku iuwa Ukraine kiuchumi, kinguvu ya jeshi na kuwazuia kuingia Nato na hayo kisha yafanya.
Nyie oteni ndoto eti Ukraine anashinda vita.
kwann haki jitoa mapema ili wauweke huo mtegoWewe akili yako ni ya ushabiki tu hujui kitu, anachofanya Russia ni hiki wenye akili wamegundua[emoji1313]
View attachment 2414023
Kwa mtogole analyst!We tulizana uone kipigo atakacho pewa Ukraine huyo kaingizwa hapo Kherson wakitoka wazima washukuru.
Hivi we Huna habari US ananua silaha za mizinga toka South Korea ili apeleke Ukraine au bado umelala. Afu mnamuita Superpower 😂
US intends to buy 100,000 rounds of artillery ammunition from South Korean arms manufacturers to provide to Ukraine.
Yani hi vita mwenye akili mbovu ndio anadhani Ukraine kashinda.US plans to buy 100,000 rounds of artillery ammo from South Korea for Ukraine | CNN Politics
The US intends to buy 100,000 rounds of artillery ammunition from South Korean arms manufacturers to provide to Ukraine, a US official said, as part of a broader effort to find available weaponry for the high-intensity battles unfolding in Ukraine.edition.cnn.com
Mrusi klicho mungiza Ukraine niku iuwa Ukraine kiuchumi, kinguvu ya jeshi na kuwazuia kuingia Nato na hayo kisha yafanya.
Nyie oteni ndoto eti Ukraine anashinda vita.
Comment nzima mwanzo mwisho kumbe ni 'inasemekana' basi sawa [emoji3][emoji3]Hivi we utamka lini Ukraine unadhani ataingia Nato.
Akijiunga Nato unikumbushe basi inawezekana kweli mimi nikawa na ota [emoji23]
Dunia nzima inajua kuna mawili hapo ama US kisha muza Ukraine au Mrusi kamuingiza chambo Ukraine.
Sehemu alio ondoka Mrusi ni ndogo sana inasemekana kuna uwezekano wame deal na US ili ndio uwe mpaka kati ya Mrusi na Ukraine ili hapo US na Mrusi kila mmoja aonekane Kashinda
Yani kiujumla huo ndio utakuwa mpaka wa Ukraine na Mrusi yani Mrusi kajichukulia vipandwe vyote na atampa kimfupa Ukraine hicho alicho pull out alambe.
Yani hivi na vile mchezo umeisha Mrusi amepata alicho kitaka na US atajisifia kakomboa kile kipande alicho wachiwa.
Kama una akili ungefahamu hio ndio deal imefanyika kati ya US na Mrusi.
We huoni US wanasema hakuna vita yatatu ya dunia [emoji23] Yani Ukraine ndio kahasirika hangii Nato na kachukuliwa vipande vinne kasoro kama kilometers flani tu za Kherson.
Ile pull out ya Mrusi inasemekana ndio kawachiwa Ukraine kama ndio sehemu ya mpaka wake mpya.
Hizo ndio point za kuzingatia zikiwa tofauti utanijulisha, ya kwanza Ukraine kaingizwa chambo au kuna deal kati US na Mrusi, ni kwamba Mrusi awachie badhi ya sehemu ili na US aonekane mshindi kwa kiasi flani [emoji23]
Kherson will be a graveyard for Ukraine solders and their mercenaries from the US and NATO--- the trap is being set by Russia, let's wait and see the would be manslaughter, the time will tell.
Nasikia putin kasilimu[emoji23]hawa jamaa wavaa msuli bhana!Mlisema Kyev will be graveyard, leo mnakimbia kimbia takbirr
Ndiyo tunamjua kaamua kukimbiza majeshi yake kutoka jiji la KhersonView attachment 2414129
Mnamjua vizuri
Kuna watu wana akili ndogo sana dunia hii. Mtu mzima kuwa upande wa Russia eti kwa sababu USA waliivamia Iraq, Afghanistan etc ni ujinga wa kiwango cha juu. Kuna mmoja nilimwelewesha hapa akaelewa vizuri kabisa; tunawapinga Russia kama tulivyowapinga kwa nguvu zote USA kipindi kile wanazivamia nchi nyingine kwa uonevu mkubwa.Wale ma-pro fashisti humu siku hizi nao wamepoteana hadi aibu! Why are you supporting Russia in this saga? Mbona Marekani iliivamia Iraq? Eti hilo ndio jibu!
The withdrawal of Russian forces from Kherson doesn't effect the legal status of the region, Moscow insisted on Friday, as it was officially incorporated into Russia last month after a public referendum.
Speaking to journalists, Kremlin Spokesman Dmitry Peskov stated that “Kherson Region remains part of the Russian Federation, and this status is legally fixed and defined, and there can be no changes to this status.”
hakuna anaekulazimisha ila tukukumbusha babu zako waliupiga vita ukolon mwanzon mwa 1900s mpk mid 1900 wakawq huru ila ww kima leo unaushabikia Ukolon unaorudishwa na Urusi , Jitafakar mara mbili kama kichwan zimoMnataka mtulazimishe tumsupport nani? Russia mpaka mwisho!
Wauaji wanawajali raia?russia wanaiba kila kitu wanachoweza kubeba na wakishindwa wanakiharibu,hiyo huruma kwa raia inatoka wapi,angalia hata mobilized army yao yaani kama wameokotwa vile.Nionavyo Russian Army wameamua kuwatoa uraian hawa Ukrainian army ili wafanye tukio la kijeshi kwa wanajeshi tu!
Kiu ya kukomboa mpaka wa shamba lako insongezeka jirani anapoamua kurudi nyuma! Sasa hii kiu isije kuwa kiu ya mauti kwa hawa Ukrainian army!