Tumia akili Yako vizuri!hakuna anaekulazimisha ila tukukumbusha babu zako waliupiga vita ukolon mwanzon mwa 1900s mpk mid 1900 wakawq huru ila ww kima leo unaushabikia Ukolon unaorudishwa na Urusi , Jitafakar mara mbili kama kichwan zimo
The withdrawal of Russian forces from Kherson doesn't effect the legal status of the region, Moscow insisted on Friday, as it was officially incorporated into Russia last month after a public referendum.
Speaking to journalists, Kremlin Spokesman Dmitry Peskov stated that “Kherson Region remains part of the Russian Federation, and this status is legally fixed and defined, and there can be no changes to this status.”
His comments come after the Defense Ministry announced that Russian forces had completed their redeployment to the left bank of the Dnieper River on Friday without suffering any loss of personnel, weapons, or vehicles
Kwani mmezuiwa ongelea advancement ya Warusi?Media zimekua ban kutangaza ishu za Russia. Ndio maana tangu vita inaanza tulikua tunasikia Russia anatembezewa moto si wa kitoto, at the same time unasikia Russia amenyakua majimbo mengine zaidi.
Huenda habari zitokazo Russia kuhusu hii vita ni tofauti kabisa na mnazotuletea humu.
Vyanzo vyote vya habari za vita hii ni kutoka Magharibi. Unadhani kutakua na usawa wa habari?
Mzee wa trapKherson will be a graveyard for Ukraine solders and their mercenaries from the US and NATO--- the trap is being set by Russia, let's wait and see the would be manslaughter, the time will tell.
Tetesi nilizosoma jana ni kwamba Putin haongei na yoyote katika makamanda wake walioko vitani na huenda akaji kill, ule mpango wa ku-withdraw yeye hakubaliano nao anataka mapambano tu vyovyote iwavyoJameni wazalendo wa Ukraine wanatembeza moto hadi naumwa aki ya nani, Warusi wameona ili kupunguza kasi ya kufukuziwa, wamelipua daraja na kutoroka.
Ukrainian armed forces have retaken another part of the Kherson region — the village of Tyahinka, near the strategic town of Nova Kakhovka — despite Russian forces destroying bridges on their way out.
A video circulating on social media Friday, geolocated and authenticated by CNN, shows Ukrainian troops being greeted by residents on the main highway in Tyahinka. The village is just 20 kilometers (about 14 miles) west of the hydroelectric dam and bridges that stretch across the Dnipro River at Nova Kakhovka.
A number of photos, also geolocated and authenticated by CNN, show that the Ukrainian forces were able to make their way into the village despite the main highway's bridge and a pedestrian bridge being destroyed by the Russians as they withdrew.
Those bridges cross the Tyahinka River, which flows into the Dnipro River.
Russia is pulling its troops back to the Dnipro's eastern bank, allowing the Ukrainians to reclaim territory west of the river.
Russian ministry reiterates all troops and equipment were withdrawn from west bank of Kherson
In a major setback for the Kremlin, Russian forces have withdrawn from Ukraine's Kherson region west of the Dnipro River, its defense ministry said. Follow live updates here.edition.cnn.com
Ujumbe hu unanza jitokeza nilicho kisema, msome Mkuu wa majeshi anaomba Ukraine waombe peace kushinda vita hio haiwezekani. Ujuwe Biden na national security adviser wanajidai tu kama wanampinga huo ndio mchezo mzima Ukraine kisha uzwa na US 😂Comment nzima mwanzo mwisho kumbe ni 'inasemekana' basi sawa [emoji3][emoji3]
Kwa mtogole analyst!
Ujumbe hu unanza jitokeza nilicho kisema, msome Mkuu wa majeshi anaomba Ukraine waombe peace kushinda vita hio haiwezekani. Ujuwe Biden na national security adviser wanajidai tu kama wanampinga huo ndio mchezo mzima Ukraine kisha uzwa na US 😂
https://edition.cnn.com/2022/11/11/...ations-biden-administration-debate/index.html
Alipo ingia vita alisema inaotaka Kyiv au alisema Ukraine asijiunge na Nato na wanao ongea kirusi wapewe haki zao hayo yote kisha timiza mchezo umeisha.Aliyevamia nchi ya watu ndiye mwenye dhamana ya kushinda, anapaswa asimike uongozi wake pale Kyev, vinginevyo ni makelele tu.
Alipo ingia vita alisema inaotaka Kyiv au alisema Ukraine asijiunge na Nato na wanao ongea kirusi wapewe haki zao hayo yote kisha timiza mchezo umeisha.
Nakuelezeni US kisha muza Ukraine hio pull out aliyo ifanya Mrusi upande wa Kherson ndio itakuwa border ya Ukraine na Urusi Kherson imeisha bugiwa na Mrusi
Ha ha ha haaaa supa pawa wa mcongo ha ha haaHawakutegemea wanachokiona na kukisikia. Putin amewaangusha sana na usupa pawa wake wa mchongo haha
Unatuletea maoni binafsi ya mmoja wao,mbona hujaongelea kuwa hayo maoni yake hayasapotiwi na sehemu kubwa ya Security Council including Biden mwenyewe au hiyo sehemu huioni? Pro Russia mmechanganyikiwa na kipigo cha Kherson mpaka mnakuja na assumptions zenu kichwani[emoji3][emoji3]Ujumbe hu unanza jitokeza nilicho kisema, msome Mkuu wa majeshi anaomba Ukraine waombe peace kushinda vita hio haiwezekani. Ujuwe Biden na national security adviser wanajidai tu kama wanampinga huo ndio mchezo mzima Ukraine kisha uzwa na US [emoji23]
https://edition.cnn.com/2022/11/11/...ations-biden-administration-debate/index.html
Ni wapi US imesema imeiuza Ukraine kwenye hiyo source uliyotuletea hapa au ni matamanio ya serikali ya kichwa chako [emoji3][emoji3]
Huo siongei kama wewe nakuja na source zinazo thibitisha point zangu huwa siotagi kama nyie [emoji23]
wanaomba na msaada kwa mzee wa kiduku North Korea supa pawaaaa ha ha haa.jipime akili mkuu , marekan inatoa msaada wala sio vita yake ila inajitoa kias hicho ila mzee wa SMO wanaomba msaada kwa Iran
Wewe umeamua kuwa comedian kwa hii comment yakoAlipo ingia vita alisema inaotaka Kyiv au alisema Ukraine asijiunge na Nato na wanao ongea kirusi wapewe haki zao hayo yote kisha timiza mchezo umeisha.
Nakuelezeni US kisha muza Ukraine hio pull out aliyo ifanya Mrusi upande wa Kherson ndio itakuwa border ya Ukraine na Urusi Kherson imeisha bugiwa na Mrusi
Labda atumie nuclear weapons kulipua mji wote, Russia ameshachemka kwenye hii vitaNionavyo Russian Army wameamua kuwatoa uraian hawa Ukrainian army ili wafanye tukio la kijeshi kwa wanajeshi tu!
Kiu ya kukomboa mpaka wa shamba lako insongezeka jirani anapoamua kurudi nyuma! Sasa hii kiu isije kuwa kiu ya mauti kwa hawa Ukrainian army!
We tuliza ball hao Ukraine wameisha ingia kwenye mtego wa Putin, Ukraine walikuwa wanapigana wamejificha nyuma ya majumba na Putin kawavuta wamejikusanya hapo Kherson sa ndio wataipataUnatuletea maoni binafsi ya mmoja wao,mbona hujaongelea kuwa hayo maoni yake hayasapotiwi na sehemu kubwa ya Security Council including Biden mwenyewe au hiyo sehemu huioni? Pro Russia mmechanganyikiwa na kipigo cha Kherson mpaka mnakuja na assumptions zenu kichwani[emoji3][emoji3]
Mtego kwa kulipua madarja? Kwani wasingeweza kuwatega kwa kurudi nyuma bila kulipua madaraja?Kherson will be a graveyard for Ukraine solders and their mercenaries from the US and NATO--- the trap is being set by Russia, let's wait and see the would be manslaughter, the time will tell.