Hadi aibu, Warusi kwa uwoga wao walipua daraja huku wakitoroka

Uko ndoto ya ngapi sasa hivi?
Vaa mabomu kajitoe muhanga upate wale bikra 72 ujilie maisha peponi
 
Jamaa anaperekewa moto,mpaka basi,Putin/KGB anatia huruma balaa,
 
Acha kelele sisi tumewatwanga na majimbo 5 tumetachukua nyie mmechukua nini kutokana Urusi?
Mmehamisha magoli sasa sio kushinda vita ni kuchukua majimbo ya urusi?
Hii vita itaishia kremlin muda si mrefu
 
Unajua Russia jeshi limekwisha na hadi sasa wanaopigana ni jkt na wale walevi wa vodka waliopelekwa kwa nguvu vitani.

Up to this stage Russia is a spent force.
 
Kwa taarifa yako nchi mpaka sasa ipo mikononi mwa NATO. Na ndio maana huyo Russia mpuuzi anavurugwa na tumbo kila dakika na kurudi nyuma. Pale USA na Baba ake England washaweka ngome kibabe. Russia washaligundua ilo na ndio maana anachanganyikiwa na matamko matamko ya ajabu
 
Wewe pumbavu kabisa
 
Hivi Ukraine na maela yote Yale wanapigana na conscripts wa miaka 18-21 wanajisifu, mnashangilia Vita ambayo imegeuka kuwa ni Money laundering scam..Fuatilieni vizuri uhusiano wa FTX,serikali ya Marekani na Serikali ya Ukraine..
 
Hivi Ukraine na maela yote Yale wanapigana na conscripts wa miaka 18-21 wanajisifu, mnashangilia Vita ambayo imegeuka kuwa ni Money laundering scam..Fuatilieni vizuri uhusiano wa FTX,serikali ya Marekani na Serikali ya Ukraine..
Kubali mmepigwa
 
wale warusi wa Kherson wamelindwa sio ?
 
... wanatamani supa pawa afyatue nuke as per fashisti threats roho zao zisuuzike! Unfortunately, fashisti military activities are the mostly monitored activities under the Sun currently! Makomunisti wana ujinga sana.

And this is the fact, all satellite’s currently are close to fascist military
 
Hio ya NATO tunajua siku nyingi wanapigana na Mrusi sio US na Muingereza peke yao NATO yote ipo pale lakini Mrusi hi vita kushinda atashinda tu na Ukraine hawezi kuwa members of NATO hata siku moja time will tell.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…