Hadi bajeti ya Tanzania, Uganda na Rwanda ziunganishwe ndio zifikie ya Kenya

Hadi bajeti ya Tanzania, Uganda na Rwanda ziunganishwe ndio zifikie ya Kenya

Kenya leads region in construction projects
Share this story:
China Road and Bridge Corporation workers use cranes to lay T-beams over the Standard Guage Railway line at Kyulu Bridge flyover near Mtito Andei. SGR is Kenya‘s biggest infrastructure project. [PHOTO: GIDEON MAUNDU/STANDARD]
Kenya leads the East African region in terms of mega construction projects. The country has 20 ongoing large projects followed by Ethiopia at 12.
East Africa holds 20 per cent of all construction projects in Africa and 15 per cent in dollar value at $57.5 billion (Sh 5.8 trillion) in 2015, which is a slight fall from $60.7 billion (Sh6.2 trillion) in 2014.
Basic infrastructure projects, transport and energy, are top on the Kenyan development agenda, with transport taking the lion's share of 51 per cent and energy at 30 per cent.
The figures were released yesterday by consultancy firm Deloitte East Africa in a report titled Africa Construction Trends 2015.
Kenya's standard railway project (SGR) is the fourth most expensive project in the region, gobbling up $3.8 billion (Sh386 billion at current rates), with Tanzania's port at Bagamoyo coming top at a cost of $11 billion (Sh1.119 trillion).
The report also indicates Kenya is experiencing growth in the retail sector, where hotel space, modern office parks, entertainment and lifestyle facilities are experiencing a boom due to expansion of towns and cities and a growing middle class.
East African projects are predominantly financed by International Development Finance Institutions (DFIs), followed by funding from the governments.
Local firms are involved in the construction of 36 per cent of these projects, followed by China at 21 per cent. It is therefore not surprising that 85 per cent of the projects are in the public domain, 13 per cent in private-public partnerships and 2 per cent in the private domain.
"Big international financiers are favouring Kenya as a destination for their investment, among other countries in the region," said Mark Smith, Head of Infrastructure and Capital Projects, Deloitte East Africa. "...this interest might however plummet given the uncertainties surrounding the next election, and the current global liquidity issues."
The report cites donors previously preferred to fund projects with a social impact, channeling their funds through Non-Governmental Organisations (NGOs), but now are more inclined to fund projects that have a purely economic end.
Ethiopia continues to be hot on Kenya's heels as the regional economic powerhouse, with its rapid growth engineered by mega infrastructure projects attracting investors who traditionally preferred Kenyan shores to Addis Ababa.
However, Ethiopia's lack of a rejuvenated middle class, unlike Kenya, and a closed currency due to its past protectionist policies make it lag behind Kenya in development, the report indicates.
Download Free Standard Digital News App for faster news updates, alerts and live videos
Share this story:
Comment Policy
Business
Home / Business
By Lee Mwiti | Thursday, Feb 18th 2016 at 00:00






-----------
infrastructure bado tuko, hata Ethiopia ambao wako more likely to overtake Kenya if Kenya sleeps bado hawatoshi mboga .
Bagamoyo ni ndoto tu.huku lamu port ikianza mwendo..😀
 
Mie uzalendo kwangu ni kukosoa ili wahusika wafanye kweli.Hiyo mambo ya kusema sijui gesi mara bomba "ita" wakati hata ujenzi haujaanza sio realistic points,tunaoshindana nao wanaweka on going projects na sio itarajiwayo
 
Wanajamvi heshima sana.

Naomba tujikite katika hoja kwanza badala ya kukimbuilia kurushiana madongo pasipo sababu za msingi.

Ni kweli bajeti ya Kenya ni kubwa ukilinganisha na nchi zote za Afrika Mashariki.Hilo halina ubishi hata kidogo.Kenya ina uchumi mkubwa ukilinganisha na nchi zingine za Afrika Mashariki.

Wakati Jumuiya ya Afrika Mashariki inafufuliwa tena na Marais Ali Hassan Mwinyi wa Tanzania,Daniel Arap Moi wa Kenya na Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda bajeti ya Kenya ilikuwa kubwa mara nne zaidi ya bajeti ya Tanzania.Kenya ilikuwa ikiuza bidhaa katika soko la EC huku nchi nyingine zikibaki kama soko la bidhaa za Kenya,ukiangalia sekta ya utalii Kenya ilikuwa ikipokea watalii mara mbili hadi tatu zaidi ya watalii walikuokuja Tanzania.Kwa ujumla kila sekta Kenya ilikuwa imetawala na kuziacha nchi nyingine mbali sana.

Bajeti ya mwaka 2016/17 pengo baina ya Kenya na Tanzania limezidi kupungua sana,bajeti ya Kenya ni 22.62 bilion na Tanzania 13.51 bilion dollar ya USA. Ukitazama hili pengo ni U$ 9 billion litazidi kupunguzwa kila mwaka mfano tukichukua sekta ya gas pekee yake inatarajiwa kuingiza taifa zaidi ya u$ 2.5 billion kila mwaka.Usafirisha wa mafuta ya Uganda unatarajiwa kuliingizia taifa (Tanzania) u$ 1.022 billion hapo bado sijaguza mipango ya Tanzania kuuza umeme nje ya nchi na sekta ya utalii inayotarajiwa kukua hadi kufikia watalii 2 million.Kenya bado ina kimbembe cha Alshabab bajeti yake itajikita zaidi katika masuala ya ulinzi na usalama.Isitoshe mradi wake wa Lapsset uliobuniwa na Rais Kenyatta upo katika hali mbaya baada ya nchi washirika katika maradi huo kuukimbia.Mfano Ethiopia imekimbilia Djibuti,Uganda,Rwanda na Congo DRC zimetorokea Tanzania ambayo ina ukomavu wa siasa ukilinganisa na Kenya inayotarajiwa kufanya uchaguzi wake 2017.

Naomba kuwasilisha kwa mjadala wa afya na hoja zenye maana si viroja.
Ukanena vyema kaka, ila wacha nikukosoe kwa masuala mawili au matatu. Mradi wa LAPSSET hata kabla haujabuniwa, taifa la Uhabeshi lilikua latumia djibuti kwa usafiri wake wote na mradi huu ulikua uwezeshe Uhabeshi kutotegemea djibuti kwa usafiri wake wote ilivyo sasa hivi. Mataifa ya kongo, Uganda na Rwanda hata hayakua katika mipangilio ya LAPSSET kwa hivyo kuwepo au kutokuwepo kwao si pigo kubwa kwa mradi huu. Taifa ambalo likijiuzulu huenda mradi huu ukaumia ni Sudan Kusini, na sioni hilo likifanyika kwani hata Tanzania na djibuti ziko mbali sana na pia mali yao itapitia nchi mingi na kuongeza zigo la matumizi ya hela. Labda waitumie Sudan Kaskazini na twajua uhusiano baina yao.

Kisha ukiangalia matumizi ya bajeti kwa kila sekta, miradi yagubia 34.6%, na masomo 20.4%, zaidi ya nusu ya bajeti kwa hizi mbili huku usalama ukipewa 7.4% tu. Alshabab wenyewe nguvu ishawaishia kwani sijasikia wakishambulia kenya kwa karibu mwaka mzima hivi
 
Tatizo S/Sudan haisomeki ni kama DRC na Somalia,miaka nenda rudi wanagombanaga tu sasa sijui watatulia lini ili wajenge uchumi yao ili na sie wenye sea access tufaidi.But hatari kubwa inaikabiri LAPSSET endapo S/Sudan wata opt kuunga bomba na Uganda via TZN au wakaunga na Ethiopia via Djibout
 
Livale Unasahau kwenye Jumuiya za kiuchumi umbali sio kitu wala tatizo! Uganda wana miundombinu bora kuelekea Sudan Kusini kuliko Kenya na kingine ni uhakika wa kuwa na mtambo wa kuchuja mafuta Uganda na bomba kuelekea Pwani ya Afrika Mashariki ukilinganisha na Kenya. Ukiangalia jinsi ramani ilivyo umbali toka Juba mpaka Hoima si zaidi ya km 400 na mdogo kuliko umbali toka Juba au Unit state (kwenye visima vya mafuta) mpaka Lokichar kunapopangwa kujengwa mtambo wa kuchuja mafuta ghafi. Halafu kutoka Lokichar kwenda Lamu huko kote kutokana na bonde la Ufa kuna mabonde na miinuko ukiacha kutowepo miundombinu, umeme na maji.

Kingine ni kuwa Kampuni ya Total wanamilika zaidi ya km za mraba 120,000 za vitalu vya mafuta na viko kwenye njia ambapo bomba la kwenda Kenya litapita (kama litajengwa) yaani upande wa kusini mwa Sudan Kusini! Mbali na hilo, Total wanamiliki vitalu vya mafuta Ziwa Albert upande wa Kongo Kinshasa (vyenye mafuta yaliyohakikiwa) na pia Ziwa Tanganyika Tanzania upande wa Kigoma (uchunguzi ukiendelea). Hii ina maana punguzo kubwa sana kama wakigawana gharama pamoja hizi nchi tatu na pia hata na Rwanda kama ikigundulika uwepo wa mafuta.

Ukiacha hayo yote kuna suala la siasa Rais Museveni ana ushawishi kwa Kiir zaidi ya Rais Uhuru. Kumbuka wanajeshi yaani JWUG walizuia jaribio la Mapinduzi la Serikali ya Sudan Kusini na wapo mpaka sasa Juba kuzuia fujo zozote. Sidhani kama Museveni huyohuyo atashindwa kumshawishi Kiir kusafishia mafuta yake Hoima na kuyasafirisha Bandari ya Tanga. Ukiachilia mbali uwepo wa Sudan ya Kusini katika Shirikisho unaipa nafasi ya punguzo la tozo kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Zaidi ya hayo Ushawishi wa CCM unakua siku hadi siku kuanzia usuluhisho, muafaka na uundaji wa serikali ya muungano ya Kiir na Marchar yote yalichorwa Arusha kwa kupitia CCM kama Chama tena kwa baraka za Museveni. Ubalozi wa Sudan upo Dar sasa na mara nyingi mshauri wa Kiir anaonekana Ikulu!

Haya yote tukiacha hali legelege ya usalama kaskazini mwa Kenya. Kutoka kwa tishio hai la Al Shaabab na pia fujo za kikabila zitokanazo na migogoro ya Ardhi na wizi wa mifugo.

Ukiacha hayo kuna Mgogoro unafukuta Umoja wa Kimataifa kuhusu eneo la pembe tatu la Ilemi ambalo linagombaniwa kati ya Kenya na Sudan ya Kusini. Kiukweli, sioni nafasi ya Kenya katika kufaidi rasilimali za Juba naongelea haya kama mtu ninayejua kinachoendelea, tukiachia mbali uwezo wa Kenya kupata ufadhili wa Bomba na ujenzi wa Bandari Lamu.

Zaidi kiutaalam, Kina cha Lamu ni kifupi na chenye mikoko na viumbe haba na vile vyenye hatari kutoweka majini, kinahitaji kuongezwa kupokea meli za mafuta na gharama ni zaidi ya dola milioni 800, ukiachilia mbali uharibifu wa mazingira. Zaidi ya hayo uendeshaji wa Lamu unaathiriwa na Pepo za Monsoon zinazodumu kwa mwezi mzima kila mwaka tatizo ambalo halipo Tanga inayokingwa na visiwa vya Pemba. Kelele za Kenya zisikutishe utaona katika uzinduzi wa bomba na wa upanuzi wa bandari ya Tanga tena na jinsi viongozi wa Jubilee Wakikuyu wanavyomchafua Kiir. Nina uhakika Sudan Kusini watakuja Tanga.


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Mwanakijiji, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Nchi zingine zimeamka na bado Kenya ipo macho bado hivyo basi sioni mabadiliko yeyote, Kenya bado inaongoza ukanda huu na mambo hayatabadilika hivi karibuni na yakibadilika labda Kenya iongoze Africa nzima.
influence ya kenya inazidi kupungua katika ukanda huu na hilo halihitaji elimu ya PHD kulijua...

Siombi na wala sintoiombea kenya kushuka kwa sababu hili halitokuwa vyema kwa nchi za ukanda wetu maana yatupasa kunyanyuana na kutumiana
 
influence ya kenya inazidi kupungua katika ukanda huu na hilo halihitaji elimu ya PHD kulijua...

Siombi na wala sintoiombea kenya kushuka kwa sababu hili halitokuwa vyema kwa nchi za ukanda wetu maana yatupasa kunyanyuana na kutumiana
After 2017 there will be no Catching up with Kenya!
 
Livale unasahau kwenye jumuiya za kiuchumi umbali sio kitu! Uganda wana miundombinu bora kuelekea Sudan Kusini kuliko Kenya na kingine ni uhakika wa kuwa na mtambo wa kuchuja mafuta Uganda na bomba kuelekea Pwani ya Afrika Mashariki ukilinganisha na Kenya. Ukiangalia jinsi ramani ilivyo umbali toka Juba mpaka Hoima si zaidi ya km 400 na mdogo kuliko umbali toka Juba au Unit state (kwenye visima vya mafuta) mpaka Lokichar kunapopangwa mtambo wa kuchuja mafuta ghafi. Halafu kutoka Lokichar kwenda Lamu huku kote kuna mabonde na miinuko ukiacha kutowepo miundombinu, umeme na maji.

Kingine ni kuwa Total wanamilika zaidi ya km za mraba 120,000 za vitalu vya mafuta na viko kwenye njia bomba la kwenda Kenya litapita yaani upande wa kusini mwa Sudan Kusini! Mbali na hilo, Total wanamiliki vitalu vya mafuta ziwa Albert upande wa Kongo Kinshasa (vyenye mafuta) na pia Ziwa Tanganyika Tanzania upande wa Kigoma (uchunguzi ukiendelea). Hii ina maana punguzo kubwa sana kama wakigawana gharama pamoja hizi nchi tatu na pia hata na Rwanda kama kuna mafuta.

Ukiacha hayo yote kuna suala la siasa Museveni ana ushawishi kwa Kiir zaidi ya Uhuru. Kumbuka wanajeshi yaani JWUG walizuia jaribio la Mapinduzi na wapo mpaka sasa Juba kuzuia fujo. Sidhani kama Museveni huyohuyo atashindwa kushawishi Kiir kusafishia mafuta yake Hoima na kuyasafirisha Tanga. Ukiachilia mbali uwepo wa Sudan ya Kusini katika Shirikisho unaipa nafasi ya punguzo la tozo kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Zaidi ya hayo Ushawishi wa CCM unakua siku hadi siku kuanzia usuluhisho, muafaka na uundaji wa serikali ya muungano ya Kiir na Marchar yote yalichorwa Arusha kwa kupitia CCM kama Chama tena kwa baraka za Museveni. Ubalozi wa Sudan upo Dar sasa na mara nyingi mshauri wa Kiir anaonekana Ikulu!

Haya yotee tukiacha hali legelege ya usalama kaskazini mwa Kenya. Kutoka kwa tishio hai la Al Shaabab na pia fujo za kikabila zitokanazo na migogoro ya Ardhi na wizi wa mifugo.

Ukiacha hayo kuna Mgogoro unafukuta Umoja wa Kimataifa kuhusu eneo la pembe tatu la Ilemi ambalo linagombaniwa kati ya Kenya na Sudan ya Kusini. Kiukweli, sioni nafasi ya Kenya katika kufaidi rasilimali za Juba naongelea haya kama mtu ninayejua kinachoendelea, tukiachia mbali uwezo wa Kenya kupata ufadhili wa Bomba na ujenzi wa Bandari Lamu.

Zaidi kiutaalam, Kina cha Lamu ni kifupi na chenye mikoko na viumbe haba wa majini, kinahitaji kuongezwa kupokea meli za mafuta na gharama ni zaidi ya dola milioni 800, ukiachilia mbali uharibifu wa mazingira. Zaidi ya hayo uendeshaji wa Lamu unaathiriwa na Pepo za Monsoon zinazodumu kwa mwezi mzima kila mwaka tatizo ambalo halipo Tanga inayokingwa na visiwa vya Pemba. Kelele za Kenya zisikutishe utaona katika uzinduzi wa bomba na wa upanuzi wa bandari ya Tanga tena na jinsi viongozi wa Jubilee Wakikuyu wanavyomchafua Kiir. Nina uhakika Sudan Kusini watakuja Tanga.

Geza sidhani kama Sudan wataincur gharama kujenga bomba na vile uchumi wao ulivo sasa hivi baada ya vita, na wanayapitisha N Sudan mind you, na N Sudan wamewapunguzia hadi bei ya kusafirisha nilisoma mahala.
 
Livale unasahau kwenye jumuiya za kiuchumi umbali sio kitu! Uganda wana miundombinu bora kuelekea Sudan Kusini kuliko Kenya na kingine ni uhakika wa kuwa na mtambo wa kuchuja mafuta Uganda na bomba kuelekea Pwani ya Afrika Mashariki ukilinganisha na Kenya. Ukiangalia jinsi ramani ilivyo umbali toka Juba mpaka Hoima si zaidi ya km 400 na mdogo kuliko umbali toka Juba au Unit state (kwenye visima vya mafuta) mpaka Lokichar kunapopangwa mtambo wa kuchuja mafuta ghafi. Halafu kutoka Lokichar kwenda Lamu huku kote kuna mabonde na miinuko ukiacha kutowepo miundombinu, umeme na maji.

Kingine ni kuwa Total wanamilika zaidi ya km za mraba 120,000 za vitalu vya mafuta na viko kwenye njia bomba la kwenda Kenya litapita yaani upande wa kusini mwa Sudan Kusini! Mbali na hilo, Total wanamiliki vitalu vya mafuta ziwa Albert upande wa Kongo Kinshasa (vyenye mafuta) na pia Ziwa Tanganyika Tanzania upande wa Kigoma (uchunguzi ukiendelea). Hii ina maana punguzo kubwa sana kama wakigawana gharama pamoja hizi nchi tatu na pia hata na Rwanda kama kuna mafuta.

Ukiacha hayo yote kuna suala la siasa Museveni ana ushawishi kwa Kiir zaidi ya Uhuru. Kumbuka wanajeshi yaani JWUG walizuia jaribio la Mapinduzi na wapo mpaka sasa Juba kuzuia fujo. Sidhani kama Museveni huyohuyo atashindwa kushawishi Kiir kusafishia mafuta yake Hoima na kuyasafirisha Tanga. Ukiachilia mbali uwepo wa Sudan ya Kusini katika Shirikisho unaipa nafasi ya punguzo la tozo kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Zaidi ya hayo Ushawishi wa CCM unakua siku hadi siku kuanzia usuluhisho, muafaka na uundaji wa serikali ya muungano ya Kiir na Marchar yote yalichorwa Arusha kwa kupitia CCM kama Chama tena kwa baraka za Museveni. Ubalozi wa Sudan upo Dar sasa na mara nyingi mshauri wa Kiir anaonekana Ikulu!

Haya yotee tukiacha hali legelege ya usalama kaskazini mwa Kenya. Kutoka kwa tishio hai la Al Shaabab na pia fujo za kikabila zitokanazo na migogoro ya Ardhi na wizi wa mifugo.

Ukiacha hayo kuna Mgogoro unafukuta Umoja wa Kimataifa kuhusu eneo la pembe tatu la Ilemi ambalo linagombaniwa kati ya Kenya na Sudan ya Kusini. Kiukweli, sioni nafasi ya Kenya katika kufaidi rasilimali za Juba naongelea haya kama mtu ninayejua kinachoendelea, tukiachia mbali uwezo wa Kenya kupata ufadhili wa Bomba na ujenzi wa Bandari Lamu.

Zaidi kiutaalam, Kina cha Lamu ni kifupi na chenye mikoko na viumbe haba wa majini, kinahitaji kuongezwa kupokea meli za mafuta na gharama ni zaidi ya dola milioni 800, ukiachilia mbali uharibifu wa mazingira. Zaidi ya hayo uendeshaji wa Lamu unaathiriwa na Pepo za Monsoon zinazodumu kwa mwezi mzima kila mwaka tatizo ambalo halipo Tanga inayokingwa na visiwa vya Pemba. Kelele za Kenya zisikutishe utaona katika uzinduzi wa bomba na wa upanuzi wa bandari ya Tanga tena na jinsi viongozi wa Jubilee Wakikuyu wanavyomchafua Kiir. Nina uhakika Sudan Kusini watakuja Tanga.

All well and good kaka, ila kwenye analysis yako umehold all scenarios constant for Kenya bila kufanya the same for Tanzania. There are always two sides to a coin. Hapo kwenye red kuna mambo mengi sana ambayo huenda yakabadilika depending on so many unpredictable events. E.g. Any of these scenarios changes the landscape.

1. Kenya kupata mafuta zaidi kwenye prospecting zones zao.
2. Regime change in Nairobi/Juba/Uganda/Ethiopia.
3. Kenya kupata ufadhili wa LAPPSET e.t.c.

The opposite is also true,
1. UG wakipata mafuta zaidi na ku-fast track ujenzi wa pipeline.
2. Uchaguzi wa Kenya kuwa na vurugu/machafuko
3. Vitalu vya mafuta kuchange hands. Kwa mfano from Total to CNOOC n.k.

Mwisho wa siku haya yote yanabakia kuwa predictions tu, with a varying degree of probability. Siasa (especially za Africa) haitabiriki na mfano mzuri ni TZ. kama kuna yeyote alipanga yake kule RW/Kenya/UG/DRC e.t.c akitarajia Membe atakuwa Rais sasa hivi atakuwa amelazwa ICU na pressure kwa sababu ilikula kwake. 🙂
 
All well and good kaka, ila kwenye analysis yako umehold all scenarios constant for Kenya bila kufanya the same for Tanzania. There are always two sides to a coin. Hapo kwenye red kuna mambo mengi sana ambayo huenda yakabadilika depending on so many unpredictable events. E.g. Any of these scenarios changes the landscape.

1. Kenya kupata mafuta zaidi kwenye prospecting zones zao.
2. Regime change in Nairobi/Juba/Uganda/Ethiopia.
3. Kenya kupata ufadhili wa LAPPSET e.t.c.

The opposite is also true,
1. UG wakipata mafuta zaidi na ku-fast track ujenzi wa pipeline.
2. Uchaguzi wa Kenya kuwa na vurugu/machafuko
3. Vitalu vya mafuta kuchange hands. Kwa mfano from Total to CNOOC n.k.

Mwisho wa siku haya yote yanabakia kuwa predictions tu, with a varying degree of probability. Siasa (especially za Africa) haitabiriki na mfano mzuri ni TZ. kama kuna yeyote alipanga yake kule RW/Kenya/UG/DRC e.t.c akitarajia Membe atakuwa Rais sasa hivi atakuwa amelazwa ICU na pressure kwa sababu ilikula kwake. 🙂
Mafuta ya Uganda yanatosha wana zaidi ya 6 bln barrels (1.6 bln recovable) kwa kuanzia na Total wame-commit tayari ufadhili! Hiyo fasttrack unayoongelea ni ipi au unathani itakuwa kama ile yenu iliyochukua miaka mitatu? we upo Dunia gani? Au maumivu ya kukosa mradi yanakufanya kufikiri negative! As a matter of fact kuanzia July safari za uzinduzi zitaanza. Hayo mafuta ya Kenya si rahisi kuwa mengi karibuni maana makampuni mengi yanajitoa baada ya kuingia hasara ya kuchimba visima bila mafuta! Hata Tullow oil yenyewe ipo kwenye hatihati za kufilisika! hizi habari zote zipo online kama unajisumbua kutafuta!

Kuanza kufikiria uwezekano wa mradi kukwama kutokana na regime change ni kutokuwa realistic! Sioni uwezekano wa kubadilika kwa uongozi kwa Ethiopia, Uganda na Juba labda Kenya! Otherwise kama unamaanisha kupitia coup na sponsor wakiwa Kenya! Kenya hawana ujanja huo maana kufanya hivyo ina maana kutoa greenlight kwa wengine kufanya the same kwenu! Msimjaribu Museveni maana kufanya hivyo ni kutuchokoza Tanzania pia! Na kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo tete Kenya msithubutu kujaribu! Bakieni hukohuko Somalia na Al Shaabab wenu...
 
Woi... Stop talking about your dreams.. More than half of Tzs least ve below the poverty line... Your GDP per capita speaks for itself.
Ndiyo maana tunawaambia elimu yenu hiyo ya kukariri. GDP, per capita income doesn't give the real distribution of the National cake. This is why your GDP sounds great, but the poverty is widely spread. Only kikuyu & Co are the ones who enjoy the Kenya's chow.
 
Geza umefanya uchanganuzi mzuri na wa kina wa hoja zako but umesahau kuweka "at ceteris paribus" especially geopolitics ya eneo letu hili
 
Geza umefanya uchanganuzi mzuri na wa kina wa hoja zako but umesahau kuweka "at ceteris paribus" especially geopolitics ya eneo letu hili
geopolitics imefanya nn? Kenya ana ubavu wa ku-sabotage Mfaransa? Uganda? Rwanda? Tanzania? Alogwe ajaribu na jinsi walivyo divided kiubali waisthubutu!
 
Mafuta ya Uganda yanatosha wana zaidi ya 6 bln barrels (1.6 bln recovable) kwa kuanzia na Total wame-commit tayari ufadhili! Hiyo fasttrack unayoongelea ni ipi au unathani itakuwa kama ile yenu iliyochukua miaka mitatu? we upo Dunia gani? Au maumivu ya kukosa mradi yanakufanya kufikiri negative! As a matter of fact kuanzia July safari za uzinduzi zitaanza. Hayo mafuta ya Kenya si rahisi kuwa mengi karibuni maana makampuni mengi yanajitoa baada ya kuingia hasara ya kuchimba visima bila mafuta! Hata Tullow oil yenyewe ipo kwenye hatihati za kufilisika! hizi habari zote zipo online kama unajisumbua kutafuta!

Kuanza kufikiria uwezekano wa mradi kukwama kutokana na regime change ni kutokuwa realistic! Sioni uwezekano wa kubadilika kwa uongozi kwa Ethiopia, Uganda na Juba labda Kenya! Otherwise kama unamaanisha kupitia coup na sponsor wakiwa Kenya! Kenya hawana ujanja huo maana kufanya hivyo ina maana kutoa greenlight kwa wengine kufanya the same kwenu! Msimjaribu Museveni maana kufanya hivyo ni kutuchokoza Tanzania pia! Na kwa jinsi hali ya kisiasa ilivyo tete Kenya msithubutu kujaribu! Bakieni hukohuko Somalia na Al Shaabab wenu...

SMH. You see that fast disappearing thin line in the horizon? That was the point on my comment and you missed it by miles. Forgive my intrusion, please carry on...
 
Livale unasahau kwenye jumuiya za kiuchumi umbali sio kitu! Uganda wana miundombinu bora kuelekea Sudan Kusini kuliko Kenya na kingine ni uhakika wa kuwa na mtambo wa kuchuja mafuta Uganda na bomba kuelekea Pwani ya Afrika Mashariki ukilinganisha na Kenya. Ukiangalia jinsi ramani ilivyo umbali toka Juba mpaka Hoima si zaidi ya km 400 na mdogo kuliko umbali toka Juba au Unit state (kwenye visima vya mafuta) mpaka Lokichar kunapopangwa mtambo wa kuchuja mafuta ghafi. Halafu kutoka Lokichar kwenda Lamu huku kote kuna mabonde na miinuko ukiacha kutowepo miundombinu, umeme na maji.

Kingine ni kuwa Total wanamilika zaidi ya km za mraba 120,000 za vitalu vya mafuta na viko kwenye njia bomba la kwenda Kenya litapita yaani upande wa kusini mwa Sudan Kusini! Mbali na hilo, Total wanamiliki vitalu vya mafuta ziwa Albert upande wa Kongo Kinshasa (vyenye mafuta) na pia Ziwa Tanganyika Tanzania upande wa Kigoma (uchunguzi ukiendelea). Hii ina maana punguzo kubwa sana kama wakigawana gharama pamoja hizi nchi tatu na pia hata na Rwanda kama kuna mafuta.

Ukiacha hayo yote kuna suala la siasa Museveni ana ushawishi kwa Kiir zaidi ya Uhuru. Kumbuka wanajeshi yaani JWUG walizuia jaribio la Mapinduzi na wapo mpaka sasa Juba kuzuia fujo. Sidhani kama Museveni huyohuyo atashindwa kushawishi Kiir kusafishia mafuta yake Hoima na kuyasafirisha Tanga. Ukiachilia mbali uwepo wa Sudan ya Kusini katika Shirikisho unaipa nafasi ya punguzo la tozo kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Zaidi ya hayo Ushawishi wa CCM unakua siku hadi siku kuanzia usuluhisho, muafaka na uundaji wa serikali ya muungano ya Kiir na Marchar yote yalichorwa Arusha kwa kupitia CCM kama Chama tena kwa baraka za Museveni. Ubalozi wa Sudan upo Dar sasa na mara nyingi mshauri wa Kiir anaonekana Ikulu!

Haya yotee tukiacha hali legelege ya usalama kaskazini mwa Kenya. Kutoka kwa tishio hai la Al Shaabab na pia fujo za kikabila zitokanazo na migogoro ya Ardhi na wizi wa mifugo.

Ukiacha hayo kuna Mgogoro unafukuta Umoja wa Kimataifa kuhusu eneo la pembe tatu la Ilemi ambalo linagombaniwa kati ya Kenya na Sudan ya Kusini. Kiukweli, sioni nafasi ya Kenya katika kufaidi rasilimali za Juba naongelea haya kama mtu ninayejua kinachoendelea, tukiachia mbali uwezo wa Kenya kupata ufadhili wa Bomba na ujenzi wa Bandari Lamu.

Zaidi kiutaalam, Kina cha Lamu ni kifupi na chenye mikoko na viumbe haba wa majini, kinahitaji kuongezwa kupokea meli za mafuta na gharama ni zaidi ya dola milioni 800, ukiachilia mbali uharibifu wa mazingira. Zaidi ya hayo uendeshaji wa Lamu unaathiriwa na Pepo za Monsoon zinazodumu kwa mwezi mzima kila mwaka tatizo ambalo halipo Tanga inayokingwa na visiwa vya Pemba. Kelele za Kenya zisikutishe utaona katika uzinduzi wa bomba na wa upanuzi wa bandari ya Tanga tena na jinsi viongozi wa Jubilee Wakikuyu wanavyomchafua Kiir. Nina uhakika Sudan Kusini watakuja Tanga.
Kwa analysis yako kuna ukweli hapa na pale lakini pia hoja zipo. Ni kweli Hoima ikaribu na unity state kuiliko Lokichar lakini tofauti si kubwa vile, takriban 900km kwa zote (punguza kiasi kwa hoima ukiongeza kiasi kwa Lokichar) kwa hivyo hela za kujengea bomba hazijatofautiana kwa umbali sana. Kisha kuhusu Alshabaab, hawajawahi shambulia eneo lolote kilomita kama 500 hivi kutoka Lokichar. Na pia shambulizi lao la mwisho Kenya ni karibu mwaka mzima uliopita kumaanisha nguvu zawaishia hao. Mizozo ya na vita vya kikabila kuhusu lishe na maji eneo hilo na punje dogo ukilinganisha na mizozo Sudan Kusini, na mizozo hii ni mda pia tangu niiskie na nikidhani ni juu ya serikali ya majimbo k

Uliyonena kuhusu upepo na wimbi ni kweli, lakini vivyo hivyo ndivyo Mombasa ilivyo ila imenawiri katika biashara ya usafirishaji bandarini na pia ipo mtambo wa kuchuja mafuta ghafi usioathiriwa na mawimbi. Lakini hapo Tanga ina bahati kibiashara.

Lipo jambo pia watu wengi husahau, LAPSSET sio kuhusu mafuta tuu, hata mwanzoni ilibuniwa ili iwezeshe kaskazini mwa Kenya kunawiri kiuchumi kwa kuiunganisha na bandari. Karibu 700km za barabara zishajengwa na zimeleta mabadiliko makubwa kwa wakaazi wa huko ingawa bado kazi kubwa ipo. Ndio, mafuta ni ya maana sana kwa mradi huu lakini kama ingekua kuhusu mafuta tu basi bomba la kusafirisha mafuta na mtambo ma kughuja mafuta pekee zingetosha. Barabara, reli, majiji, viwanja vya ndege na kadhalika havingehitajika hapa.
 
Back
Top Bottom