Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

Mbona China hakuna hapo kwenye orodha?!
 
Najaribu kuwaza. Sasa hao wanawasaka au wanajitokeza wenyewe na kupakizwa kwenye ndege.
 
Respect! Best wishes
 
Kwenye hiyo orodha Mange Kimambi yumo?
 
Na siku zote masikini ndo huongoza kwa chuki.
 
Wabongo ndo maana hauwaambii kitu kuhusu usa
 
Hii inaharibu haki za binadamu kuishi popote ili mradi havunji sheria, hawa wageni wamekaa miaka mingi huko inakuwaje wanarudishwa nchi zao?
Utetezi wa kibwege huu

Illegal ni illegal tu

Waje tulime maparachichi

Napongeza sana miamba iliyoweza kuweka sawa documentation
 
Kuna wimbi la wasanii wa bongo kukimbilia huko kuishi haya warudi nyumbani sasa
 
Wapeni heshima, hao ni wapambanaji walichungulia fursa beyond your level of thinkung.
Ila bahati mbaya ni kwamba, wale mnaotarajia watarudishwa si miongoni mwa waliomo kwenye hiyo list.
Msije mkashangaa hao 301 na wenyewe wakawa ni wakenya.
 
Hii inaharibu haki za binadamu kuishi popote ili mradi havunji sheria, hawa wageni wamekaa miaka mingi huko inakuwaje wanarudishwa nchi zao?
Hata sisi tunakurupushaga Wageni haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ