Hadi leo najiuliza, ilikuwaje tukajenga SGR kwenda Burundi na kuacha kuboresha TAZARA kuwa SGR ambapo tungefika Congo kirahisi sana

Mizuho mingi ya congo yanapitia Katavi na sumbawanga
 

TAZARA ina siasa nyingi sana na haitakaa kuja kufanya biashara ya faida. Sababu kubwa ni kuwa na partnership ya nchi mbili na sidhani kama kwa leo hii interest zinawiana.
Wao wanaenda kule na sisi huku. Haitakaa kuja kukaa sawa unless mambo ya msingi kabosa yabadilishwe. Tazara inaweza kwenda mpaka Namibia na Angola. Sio DRC peke yake
 
Mkuu afu ishu nyingine Zambia na wao WANAOGOPA nafikili kurekebisha coz still wanamadeni makubwa sana dhidi ya wachina , pia Tazara inachukua km zaidi ya 2000 ni pesa NDEFU sana tena defu
 
Wazambia walishaacha kutumia coz ya wizi ulikuwa mkubwa pamoja ba serikali yeti ilikuwa haina time nayo, watu wanamiliki maroli.
 
Mkuu afu ishu nyingine Zambia na wao WANAOGOPA nafikili kurekebisha coz still wanamadeni makubwa sana dhidi ya wachina , pia Tazara inachukua km zaidi ya 2000 ni pesa NDEFU sana tena defu
Tazara ni white elephant. It is not making any good business. Kuna wakati hata wagons na locomotive walikuwa kama hawana. Na kuna watu pale wanalipwa super salaries.
MD ilikuwa lazima atoke Zambia. Sijui kama utaratibu ulibadilika. Kiufupi ni shirika la umma kama mashirika mengine. Na kuna ugumu sababu ni mali ya nchi mbili tofauti. Unafikiri itakuwaje?
 
Reli ya kati inahudumia nchi za Congo, Burundi na Zambia kupitia Bandari ya Kigoma, fatilia vzr utajua namna reli ya kati inavyoliingizia taifa mapato mengi kuliko reli ya Tazara. Kama tunajenga reli kibiashara basi reli ya kati ndiyo sehemu sahihi ya kuwekeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…