Hadi sasa EX wangu ndo namba moja yangu

Hadi sasa EX wangu ndo namba moja yangu

Nenda kamuoe, wanawake Huwa hatujiamini Kwa wanaume tunaowazidi umri, Huwa tunaona tunapoteza muda.....huyo alikuwa anatafuta security na ikibidi ndoa. Kama unampenda nenda kajitambulishe umuoe....
kingine kuwa mwanaume kamili, sio unamuogopa kisa kakuzidi umri, siku Moja Moja unafoka mwanaume, na akikukalia vizuri unamzabua vibao....sio dada Yako huyo🤣

Kama hapo unasimulia kabisa eti umefumania msg halafu unalia wewe, Khhhaaaaa.....alitakiwa Alie yeye Kwa kichapo ulichomshushia, Kwa hili nashauri uwaombe radhi wanaume wenzako mara Moja.....sijapentaaaaa
nisingefanya hivyo tusingefika hiyo 2yrs ni kwa sababu tu shetani alimpitia dakika za mwisho ila kile kichwa nilijua kukituliza mkuu... Me kiumri nilikuwa mdogo ila anaelewa moto wangu... Nilishawahi mfurumua usiku wa manane kudai nitamchinja akaenda kulala kwa best ake akidai nataka kumuua kumbe mkwara tu😁
 
Mkuu wewe ni mdhaifu , nasema wewe ni mdhaifu kwasababu bado unamuwazia sana huyo mwanamke

Na unamuweka kwenye sifa bora yaani mtu kakusaliti hadi kufanya mapenz na njemba nyengine ndo unamuweka namba moja??

Huyo hakukupenda kabisa , girl akikupenda ningumu sna kukicheat kiasi hicho

Anyway alikuona wewe dhaifu sana

Na kwa namna hio yakumsifia sifia hutakaa umsahau

Tafuta sabbu moja mbaya sna kwake yakumdharau na kumtoa kabisa moyoni

Life goes on brother

Nilishapia hayo yote uliopitia ila now nimesahau kabisa about that bitch
Udhaifu kumsifia mtu mkuu? haha, hujanijua bado mkuu... ningekua dhaifu lazima angerudi, ananijua.
 
Unaonekana upo mature kuliko umri wako. Kwa kujitambua huko una nafasi kubwa ya kupata mwenza mwenye kujielewa zaidi hata ya yule. Vuta tu subira.
 
Ukiona mahusiano mwanaume ndio umri mdogo...jua wazi huyo mwanamke ni mzinzi!

Trust me.. Hao wako vizuri kwenye flirting...na kujirahisi kwa mwanaume mwenye shida nae kwa wakati huo.

Shukuru...tena shukuru kuacha nae.
 
Unaonekana upo mature kuliko umri wako. Kwa kujitambua huko una nafasi kubwa ya kupata mwenza mwenye kujielewa zaidi hata ya yule. Vuta tu subira.
Amin🤲
 
Ukiona mahusiano mwanaume ndio umri mdogo...jua wazi huyo mwanamke ni mzinzi!

Trust me.. Hao wako vizuri kwenye flirting...na kujirahisi kwa mwanaume mwenye shida nae kwa wakati huo.

Shukuru...tena shukuru kuacha nae.
Shukran mkuu
 
Bado unampenda
Bado anaishi kwako..
Wakati mwingine makosa yanapotokea hua inakua tu ngumu kusahau
Ila Matendo yao hubak kwetu sikuzote
Aishi sana..
 
Bado unampenda
Bado anaishi kwako..
Wakati mwingine makosa yanapotokea hua inakua tu ngumu kusahau
Ila Matendo yao hubak kwetu sikuzote
Aishi sana..
aishi tu
 
Hela alizo kua anapata zilizo fanya akatangulie kimaisha alizipata kutokana na mbunye yake jiulize ilikuaje akampa mchizi tunda kirahisi ivo dem huyo n bitch hukuweza kugundua tu
 
Tatzo la huyu demu wangu alikuwa na visafari vya ghafula ghafla na alikuwa hazuiliki akitaka kuondoka lazima aondoke hapo nilianza kupata wasiwasi ila kwa vile mwanzo nilikuwa namuamin sikushituka baadae nilkuja kugundua kumbe alikuwa anaenda kwa bwana ake kugegendwa na kupewa hela ya matumiz
#KATAANDOA #NDOANIUTAPELI 😂
 
Hela alizo kua anapata zilizo fanya akatangulie kimaisha alizipata kutokana na mbunye yake jiulize ilikuaje akampa mchizi tunda kirahisi ivo dem huyo n bitch hukuweza kugundua tu
Jamaa alikua ni KING'ASTI kwa hio manzi yeye akaona amepata DEMU wa kujenga nae maisha

DEMU anaachia papa anakupa pesa ukapange unaona huyu si ndio DEMU
 
siku Moja Moja unafoka mwanaume, na akikukalia vizuri unamzabua vibao....sio dada Yako huyo🤣
Mkifokewa nyinyi siku hizi mnaanza kuzunguka kila Kona kudai kuivunja Ndoa alafu unamshauri nini huyu, kwanza kamzidi umri maana yake ni Shangazi yake unataka amzabue makofi akilianzisha akamkunja yeye na kumtembezea kichapo utakuepo kuamua ugomvi? Usimtie mwenzio matatizoni wanawake wa siku hizi sio wale wa 1947 hii ni 2023
 
alitakiwa Alie yeye Kwa kichapo ulichomshushia, Kwa hili nashauri uwaombe radhi wanaume wenzako mara Moja
Kampenda Shangazi yake unategemea nini? Kuna makabila nasikia kabla ya kuondoka na mke unalala na Shangazi kwanza kuthibitisha kwamba upo vizuri kwenye kuhondomora mbungi unacheza na Shangazi baada ya hapo Shangazi akisema Yes unapewa mke Ila akisema No hupewi mke
 
Mkifokewa nyinyi siku hizi mnaanza kuzunguka kila Kona kudai kuivunja Ndoa alafu unamshauri nini huyu, kwanza kamzidi umri maana yake ni Shangazi yake unataka amzabue makofi akilianzisha akamkunja yeye na kumtembezea kichapo utakuepo kuamua ugomvi? Usimtie mwenzio matatizoni wanawake wa siku hizi sio wale wa 1947 hii ni 2023
🤣🤣🤣 Ndio maana nikamwambia akimkalia vizuri🤣, anaweza kukaa karibu na mlango, anampa mbao halafu anakimbia🤣🤣
 
Back
Top Bottom