Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nisingefanya hivyo tusingefika hiyo 2yrs ni kwa sababu tu shetani alimpitia dakika za mwisho ila kile kichwa nilijua kukituliza mkuu... Me kiumri nilikuwa mdogo ila anaelewa moto wangu... Nilishawahi mfurumua usiku wa manane kudai nitamchinja akaenda kulala kwa best ake akidai nataka kumuua kumbe mkwara tu😁Nenda kamuoe, wanawake Huwa hatujiamini Kwa wanaume tunaowazidi umri, Huwa tunaona tunapoteza muda.....huyo alikuwa anatafuta security na ikibidi ndoa. Kama unampenda nenda kajitambulishe umuoe....
kingine kuwa mwanaume kamili, sio unamuogopa kisa kakuzidi umri, siku Moja Moja unafoka mwanaume, na akikukalia vizuri unamzabua vibao....sio dada Yako huyo🤣
Kama hapo unasimulia kabisa eti umefumania msg halafu unalia wewe, Khhhaaaaa.....alitakiwa Alie yeye Kwa kichapo ulichomshushia, Kwa hili nashauri uwaombe radhi wanaume wenzako mara Moja.....sijapentaaaaa
Udhaifu kumsifia mtu mkuu? haha, hujanijua bado mkuu... ningekua dhaifu lazima angerudi, ananijua.Mkuu wewe ni mdhaifu , nasema wewe ni mdhaifu kwasababu bado unamuwazia sana huyo mwanamke
Na unamuweka kwenye sifa bora yaani mtu kakusaliti hadi kufanya mapenz na njemba nyengine ndo unamuweka namba moja??
Huyo hakukupenda kabisa , girl akikupenda ningumu sna kukicheat kiasi hicho
Anyway alikuona wewe dhaifu sana
Na kwa namna hio yakumsifia sifia hutakaa umsahau
Tafuta sabbu moja mbaya sna kwake yakumdharau na kumtoa kabisa moyoni
Life goes on brother
Nilishapia hayo yote uliopitia ila now nimesahau kabisa about that bitch
sure mkuuBado una safari ndefu ya mapenzi ndo kwanza una 23 .
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
#KATAANDOA #NDOANIUTAPELI 😂Tatzo la huyu demu wangu alikuwa na visafari vya ghafula ghafla na alikuwa hazuiliki akitaka kuondoka lazima aondoke hapo nilianza kupata wasiwasi ila kwa vile mwanzo nilikuwa namuamin sikushituka baadae nilkuja kugundua kumbe alikuwa anaenda kwa bwana ake kugegendwa na kupewa hela ya matumiz
Jamaa alikua ni KING'ASTI kwa hio manzi yeye akaona amepata DEMU wa kujenga nae maishaHela alizo kua anapata zilizo fanya akatangulie kimaisha alizipata kutokana na mbunye yake jiulize ilikuaje akampa mchizi tunda kirahisi ivo dem huyo n bitch hukuweza kugundua tu
King'asti ni zaidi ya MarioNilishapia hayo yote uliopitia ila now nimesahau kabisa about that bitch
Mkifokewa nyinyi siku hizi mnaanza kuzunguka kila Kona kudai kuivunja Ndoa alafu unamshauri nini huyu, kwanza kamzidi umri maana yake ni Shangazi yake unataka amzabue makofi akilianzisha akamkunja yeye na kumtembezea kichapo utakuepo kuamua ugomvi? Usimtie mwenzio matatizoni wanawake wa siku hizi sio wale wa 1947 hii ni 2023siku Moja Moja unafoka mwanaume, na akikukalia vizuri unamzabua vibao....sio dada Yako huyo🤣
Kampenda Shangazi yake unategemea nini? Kuna makabila nasikia kabla ya kuondoka na mke unalala na Shangazi kwanza kuthibitisha kwamba upo vizuri kwenye kuhondomora mbungi unacheza na Shangazi baada ya hapo Shangazi akisema Yes unapewa mke Ila akisema No hupewi mkealitakiwa Alie yeye Kwa kichapo ulichomshushia, Kwa hili nashauri uwaombe radhi wanaume wenzako mara Moja
🤣🤣🤣 Ndio maana nikamwambia akimkalia vizuri🤣, anaweza kukaa karibu na mlango, anampa mbao halafu anakimbia🤣🤣Mkifokewa nyinyi siku hizi mnaanza kuzunguka kila Kona kudai kuivunja Ndoa alafu unamshauri nini huyu, kwanza kamzidi umri maana yake ni Shangazi yake unataka amzabue makofi akilianzisha akamkunja yeye na kumtembezea kichapo utakuepo kuamua ugomvi? Usimtie mwenzio matatizoni wanawake wa siku hizi sio wale wa 1947 hii ni 2023