#COVID19 Hadi sasa hakuna mkakati wa matumizi ya bima ya afya na mpango kuwasaidia wagonjwa wa Corona kupunguza gharama za matibabu

Nina siku 5 sasa, changamoto ni maumivu mwili mzima, mafua, kikohozi, kifua kuuma/kubana, kuchoka, mdomo kupoteza test yani hauhisi ladha wala harufu!
Pole sana. Utapona tu
 
Chukua tahadhari mkuu. Japo huwezi kujua mlango wa bahati/balaa. Mwenyezi MUNGU awalinde.
Hizo dalili ulizonazo sasahivi nilizipata mwanzoni mwa mwaka 2020 lakini nikavuka na sasahivi niko fiti tu. Ondoa shaka utapona tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…