Hadi sasa hivi Wapalestina wanaendela kufa kwa mamia kwa siku, idadi sasa 27,365

Hadi sasa hivi Wapalestina wanaendela kufa kwa mamia kwa siku, idadi sasa 27,365

Waendelee kuchakazwa tu,yaani wabondwe hadi mwisho.
Mmeenda kukurupua watu wakijilia bata zao sasa mtasafishwa tu
 
Kwetu Palestine uhai hauna thamani ikiwa ardhi yetu imekaliwa,tutapanda damu yetu mpaka mtu wa mwisho ili ardhi hii iwe huru nikueleze sasa ni mwisho na Palestine itatambulika kama nchi.
 
Watu wanabondwabondwa huko km wanyama alafu kuna mijinga humu km rajabu utamu na aliwazi na bikira wao faidhafoxy ndala ndefu wanasema kobazi wameshinda vita.
Hawa watu wakishiba biriani akili zao zinaenda matakoni kabisa.
Mbona Unateseka kijana kunywa maji mengi upunguze muhaho
Au ulitaka wawe vitani halafu wasibondwe toka mubarikiwe mmekua kama mnafikiria kwa kutumia maskio
 
Kwetu Palestine uhai hauna thamani ikiwa ardhi yetu imekaliwa,tutapanda damu yetu mpaka mtu wa mwisho ili ardhi hii iwe huru nikueleze sasa ni mwisho na Palestine itatambulika kama nchi.
Nandio ukweli wenyewe huuu yaani uhuru wa Palestine umeishapatikana rasmi sasa yaani
Nisuala la muda kidogo tu
 
Hichi Kipigo Hakijawahi Kutokea walizoea kuguswa guswa sa hivi wanaitika Wanatakiwa wakimbie Wote Pumbavu Sanaaa
 
Yaani Israel imedhamiria, sio mchezo....HAMAS waligusa pabaya.

GAZA, Feb. 4 (Xinhua) -- The Palestinian death toll from the ongoing Israeli attacks in the Gaza Strip has risen to 27,365, while 66,630 others were wounded, the Hamas-run Health Ministry said Sunday.

During the past 24 hours, the Israeli army killed 127 Palestinians and wounded 178 others in Gaza, the ministry spokesperson Ashraf Al-Qedra said in a press statement.

According to Palestinian security sources, Israel's air and artillery strikes continued in most parts of the strip, with its aircraft targeting dozens of homes in Khan Younis and a vehicle in Rafah in the south of the enclave.

Eyewitnesses said clashes between the Palestinian armed factions and the Israeli forces continued, especially in Gaza City and areas of northern Gaza.

Since Oct. 7, 2023, Israel has been launching a large-scale military campaign against Hamas in Gaza to retaliate against a surprise Hamas attack on southern Israel, which claimed the lives of about 1,200 Israelis, according to the Israeli authorities.
Al jazeera huwa wanapika data wao wanasema. 30k
 
Watu wanabondwabondwa huko km wanyama alafu kuna mijinga humu km rajabu utamu na aliwazi na bikira wao faidhafoxy ndala ndefu wanasema kobazi wameshinda vita.
Hawa watu wakishiba biriani akili zao zinaenda matakoni kabisa.
Ali wazi kichwa ki wazi
 
Back
Top Bottom