mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,136
- 4,271
Hahaha povuuuu...swali rahisi tuHaikuhusu
Tafuta kwanza maji uwapelekee wakenya wenzie
Waache kunawa mkojo wa ng'ombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha povuuuu...swali rahisi tuHaikuhusu
Tafuta kwanza maji uwapelekee wakenya wenzie
Waache kunawa mkojo wa ng'ombe
Watz tumeshakuwa sugu wa ugonjwa wa korona hao madereva mnaowaita wagonjwa ,huku kwetu wala hatuwataki maoslitalini maana awaumwi chochote hata kama wana korona wanapona bila kuumwaYaani hapa tumejinasua kutoka kwenye kinywa cha mamba, wote hao 78 walikua wanang'ang'ania kuingia Kenya na kirusi, kisha wajichanganye humu, kila mmoja wa hao angeambukiza Wakenya kama watano hivi, hao watano waambukize mbele na mtandao uendelee kuzagaa na kutamalaki.
Tunashukuru sana serikali kwa kuwa wakali, japo kiaina kuna taarifa za Watanzania wengine kuingia ingia Kenya bila taratibu za kupimwa, maafisa wetu wa usalama wanaoruhusu hili wajue wanarubuni maisha ya Wakenya.
Kwa sasa Tanzania kwao huko walishafanya maamuzi ya kujichokea na kukata tamaa kwenye hivi vita vya dhidi ya corona, nahisi ni kwa sababu wanaelekea kwenye uchaguzi na chama tawala aidha kinahisi kitakosa ajenda za kujitetea kwa wananchi, kikijaribu kufungia wananchi wasisongamane kwenye vilabu vya pombe ni kujiponza na kujinyima kura.
Ndio maana wameamua yote ruksa...labda baada ya uchaguzi ndio wataanza kuchukua maamuzi magumu maana hawatakua na cha kupoteza tena, ila kwa sasa hata hotuba za mkulu wao zinaonyesha hasira balaa akiwa huko kijijini alikokwenda miezi kadhaa sasa.
========================
Kenya has closed its borders with Somalia and Tanzania as the country strives to stem further spread of the coronavirus.
In a televised address to the nation on Saturday, President Uhuru Kenyatta said he was imposing more measures after it emerged that some of the cases had crossed the border from Tanzania and Somalia.
"If we do not take additional precautionary measures and get even more serious in implementing existing guidelines, the number of people who will get sick and die is going to rise sharply,” said President Kenyatta.
The decree, effective Saturday midnight, does not affect cargo vehicles.
The move, unprecedented in the history of the East African Community's 20-year existence, came as Kenya said it had blocked 78 truck drivers from Tanzania from entering the country.
The President also announced that the number of Covid-19 cases in the country had risen to 830 after 49 more people tested positive.
Kenya shuts Somalia, Tanzania borders over virus
Nimekuambia sisi tunapiga kazi
Hawa jamaa wapuuzi kweli
Yao yamewashinda
Yaani wanafanya kuwafurahisha Wazungu ili wakope
Wapige pesa
Ila uwezo wakuhimili Hawana kabisa
Tafuta data za UG za wiki hii nzima uone namna wanavyo usambaza.Jumlisha hiyo idadi hapo
Kati ya Kenya na Tanzania wawapi wengi unakurupuka
Wapo mitaani wanachapa kazi sisi tumesha achana na mbinu za kuweka karantini watu wasiougua korona hata kama wanayo ila awaumwi wanaenda kujenga taifa korona imesha zoea damu zetu soon dunia itakuja kujifunza Tanzania kwanini korona ikikupata INA shindwa kutuathiri
Hatuja waweka karantini umefurahi
Hawa jamaa wapuuzi kweli
Yao yamewashinda
Yaani wanafanya kuwafurahisha Wazungu ili wakope
Wapige pesa
Ila uwezo wakuhimili Hawana kabisa
Mbona sijasikia Shangaziyo Hajazikwa🤣🤣🤣 Mataga unajifurahisha na clips za Kenya while ndugu zako tz wanazikwa kama panya usiku.
Mama yako amezikwa lini?🤣🤣🤣 Mataga unajifurahisha na clips za Kenya while ndugu zako tz wanazikwa kama panya usiku.
Unajua shida haipo kwao most likely hao watapona bila hata kutumia madawa ila tatizo linakuja pale watawaambukiza watu wenye underlying conditions kama kisukari na cancer.ninavyojua kwenye hizi nchi zetu tuna wagonjwa wengi sana wenye wanaugua hizi magonjwa sasa inakua expected tutapoteza wananchi wengi sana kutokana na corona. Hivi mko tyari kuwazika maelfu kwa kisingizio tunajenga taifa???hivi hatuezi endelea kujenga taifa huku tukichukua tahadhari?Wapo mitaani wanachapa kazi sisi tumesha achana na mbinu za kuweka karantini watu wasiougua korona hata kama wanayo ila awaumwi wanaenda kujenga taifa korona imesha zoea damu zetu soon dunia itakuja kujifunza Tanzania kwanini korona ikikupata INA shindwa kutuathiri
Send by APOLO 1
Kwani umezuiwa kuchukua tahadhari? Mbona serikali imeshatoa mwongozo wa kufanya mapema kabisa!Unajua shida haipo kwao most likely hao watapona bila hata kutumia madawa ila tatizo linakuja pale watawaambukiza watu wenye underlying conditions kama kisukari na cancer.ninavyojua kwenye hizi nchi zetu tuna wagonjwa wengi sana wenye wanaugua hizi magonjwa sasa inakua expected tutapoteza wananchi wengi sana kutokana na corona. Hivi mko tyari kuwazika maelfu kwa kisingizio tunajenga taifa???hivi hatuezi endelea kujenga taifa huku tukichukua tahadhari?
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 hapa tayari umeshapanicMama yako amezikwa lini?
Mnachapia kazi chato😁😁Mnajitekenya na Kucheka wenyewe
Wajinga kweli
Hata mkisema Watanzania 30000
Sisi hatuna time
Tunapiga kazi
Ongezeni juhudi muongezwe mkopo!Yaani hapa tumejinasua kutoka kwenye kinywa cha mamba, wote hao 78 walikua wanang'ang'ania kuingia Kenya na kirusi, kisha wajichanganye humu, kila mmoja wa hao angeambukiza Wakenya kama watano hivi, hao watano waambukize mbele na mtandao uendelee kuzagaa na kutamalaki.
Tunashukuru sana serikali kwa kuwa wakali, japo kiaina kuna taarifa za Watanzania wengine kuingia ingia Kenya bila taratibu za kupimwa, maafisa wetu wa usalama wanaoruhusu hili wajue wanarubuni maisha ya Wakenya.
Kwa sasa Tanzania kwao huko walishafanya maamuzi ya kujichokea na kukata tamaa kwenye hivi vita vya dhidi ya corona, nahisi ni kwa sababu wanaelekea kwenye uchaguzi na chama tawala aidha kinahisi kitakosa ajenda za kujitetea kwa wananchi, kikijaribu kufungia wananchi wasisongamane kwenye vilabu vya pombe ni kujiponza na kujinyima kura.
Ndio maana wameamua yote ruksa...labda baada ya uchaguzi ndio wataanza kuchukua maamuzi magumu maana hawatakua na cha kupoteza tena, ila kwa sasa hata hotuba za mkulu wao zinaonyesha hasira balaa akiwa huko kijijini alikokwenda miezi kadhaa sasa.
========================
Kenya has closed its borders with Somalia and Tanzania as the country strives to stem further spread of the coronavirus.
In a televised address to the nation on Saturday, President Uhuru Kenyatta said he was imposing more measures after it emerged that some of the cases had crossed the border from Tanzania and Somalia.
"If we do not take additional precautionary measures and get even more serious in implementing existing guidelines, the number of people who will get sick and die is going to rise sharply,” said President Kenyatta.
The decree, effective Saturday midnight, does not affect cargo vehicles.
The move, unprecedented in the history of the East African Community's 20-year existence, came as Kenya said it had blocked 78 truck drivers from Tanzania from entering the country.
The President also announced that the number of Covid-19 cases in the country had risen to 830 after 49 more people tested positive.
Kenya shuts Somalia, Tanzania borders over virus
Nyie mnakufa kikondoo
Ila ikiwa hao madereva 78 mtawaachilia huoni hii ni hatari?Kwani umezuiwa kuchukua tahadhari? Mbona serikali imeshatoa mwongozo wa kufanya mapema kabisa!
hii video imenishtua sana..ndani ya kenya kumbe hali ndo ipo hivi.MK254 njoo ujibu hii wakenya njaa inawauwa kuliko corona. Nyingine hii hapa chini
View attachment 1452409View attachment 1452410View attachment 1452421