Nimekuambia hivyo nikimaanisha kama unadhani kusimama kusalimia ni mikitano wote wana fanya hivyo.Hhahahahhaaa Mbowe Anagombea Mini Ivi
Mkubali yaishe.Kwa hiyo?
HaaahaaaaaKwanza JPM ilikua si lazima afanye kampeni kazi za serikali zina lala, Yeye ilitakiwa ahutubie wananchi akiwa kama mgombea wa CCM siku moja kabla ya uchaguzi. Kazi nzuri alizofanya zimesha mrudisha tena ikulu.
Baada ya kufunga shule na kulazimisha walimu na wanafunzi kwenda Kirumba? Baada ya kusambaza mabasi mliyoyahonga mji mzima kubeba watu? Mbinu hizo hutumiwa na madikteta tu kupindisha sheria na kudhulumu haki za watu wengine kama vile watoto wa shule Mwanza nzima kukoseshwa masomo kisa kampeni za ccmHivi nyie bado mna mawazo ya kushindanisha na ccm.CCM wamemaliza kampeni leo pale Mwanza mnazoleta humu ni porojo tu.Fuatilia channel ten saa hivi Magufuli yuko zake Mwanza anapunga upepo na punde kapiga simu kwenye mkutano wa kampeni kule Rombo kaongea na wananchi na kuomba kura kwake kwa mbunge na madiwani. Chadema achaneni na Magufuli mtatapika damu
NIMEKUJA KUGUNDUA HUMU JF KUWA LOWASSA ALIWAVURUGA SANA WANACHADEMA SASA WANAWEWESEKA BADO IVI KWELI KWA HALI NA MWENDO ANAOENDA NAO MAGU KUNA MTU ANAPINGA KUWA MAGU ANASUBIRI KUAPISHWA AAAH JAMANI ACHENI KUJIFARIJI HALAFU KUMBEKENI HIZI NYOMI NI MAPENZI TU KWA MZEE BABACCM walifikiri watakubalika mbele ya wapigakura, kwa kutumia mali zitokanazo na wananchi wenyewe, bali bila hata ya aibu yoyote ile waliziiba na kuzihodhi, na kudhani ya kuwa zitawasaidia pale endapo unapotokea uchaguzi wa viongozi. Wametambua ya kwamba wananchi wameyatambua matendo yao ya kifedhuli ya kuhujumu na kufisidi rasilimali za nchi.
Wanatambua ya kwamba wamekataliwa na hawakubaliki tena. Hawana tena hoja wala sera zenye kuaminika ama kushawishi wapigakura. Sasa kilichobakia ni matisho na kulazimisha kwa nguvu mambo. Lakini ukweli ni ya kwamba, wananchi wamemkataa shetani na kazi zake zote, ushawishi wake wote, tunguli zake zote za mbio za mwenge, na ulozi wa ndege tausi ambao masharti ya kishirikina yamekiukwa.
Wananchi waoga wa tanzania hawana uwezo wa kuwadhibitiDuuu watashinda kwa wizi wa KURA,,, KWANI HAWAWEZI KUDHIBITIWA,,
Hii inaitwa za usoPamoja na CCM kuwa na kila kitu kinachotakiwa kwenye kampeni, magari, viwanja, pesa you name it, lkn haina tofauti kubwa na Chadema inayotumia resources chache ilizonazo kwa makini.
Hadi sasa CHADEMA imezindua kampeni katika Kanda kuu zote za Tanzania bara na Zanzibar, huku CCM mgombea wao akizunguka kwenye mikoa michache ya kanda ya kati na Ziwa Victoria tu.
Chama cha Mapinduzi kimehodhi vyombo vyote vya habari TV zote, redio zote, magazeti yote lkn habari zinazo trend zaidi ni za mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu.
Katika kuuza sera CCM wamekuwa wakijitetea zaidi kuliko kutangaza sera zao, mfano juzi mgombea wa CHADEMA alihoji ajira leo serikali imetangaza ajira 13,000 za walimu.
CCM imetandaza mabango ya picha kubwa kubwa za mgombea wao nchi nzima karibu kila ukuta huku Chadema ikionekana kutokuwa na mabango lkn mwitikio wa wahudhuriaji hauna tofauti yoyote.
Pamoja na CCM kuwa tumia wasanii wote wa Tanzania na wa nchi jirani ya Kenya bado haijawasaidia kuonyesha nguvu ya chama tawala na kikongwe kwenye kampeni yao.
CCM pesa wanayo vyombo vyote vya dola ni vyao, nini tatizo, inawezekana ni kampeni meneja na timu yake ya kampeni, ni wazito au wamefungwa kutoa maamuzi ya haraka.
Katika tathimini yangu kwa siku hizi za mwanzo wa kampeni CHADEMA imewazidi CCM kwa pointi ingawa siyo nyingi sana.
Hawa jamaa wanafurahisha sana, kwani hawawezi kupiga kampeni kwa kunadi sera zao bila kuihusisha CCM?Kwa hiyo?
Napenda sana chadema mnavyojipa moyo,
kwa taarifa yako kampeni ya mkoa mmoja aliyofanya magufuri ni sawa na mikutano yenu yote chadema iliyofanya katika kanda zote mpaka sasa. CCM ni chama kubwa nadhani leo umeiona vizuri mwanza. CCM KIRUMBA hakukuwa na sehemu ya kutema mate ndani na nje acha kule gola milimani.
Kwa hiyo wewe unapima kura kwa kuangalia nyomi.NIMEKUJA KUGUNDUA HUMU JF KUWA LOWASSA ALIWAVURUGA SANA WANACHADEMA SASA WANAWEWESEKA BADO IVI KWELI KWA HALI NA MWENDO ANAOENDA NAO MAGU KUNA MTU ANAPINGA KUWA MAGU ANASUBIRI KUAPISHWA AAAH JAMANI ACHENI KUJIFARIJI HALAFU KUMBEKENI HIZI NYOMI NI MAPENZI TU KWA MZEE BABA
Unataka waihusishe KANU.Hawa jamaa wanafurahisha sana, kwani hawawezi kupiga kampeni kwa kunadi sera zao bila kuihusisha CCM?
ccm ndo ivo inaishia shimoni 2020Kwa hiyo?
Hivyo.View attachment 1562180Hivi nyie bado mna mawazo ya kushindanisha na ccm.CCM wamemaliza kampeni leo pale Mwanza mnazoleta humu ni porojo tu.Fuatilia channel ten saa hivi Magufuli yuko zake Mwanza anapunga upepo na punde kapiga simu kwenye mkutano wa kampeni kule Rombo kaongea na wananchi na kuomba kura kwake kwa mbunge na madiwani. Chadema achaneni na Magufuli mtatapika damu