Uchaguzi 2020 Hadi sasa kimkakati CHADEMA wameizidi CCM

Uchaguzi 2020 Hadi sasa kimkakati CHADEMA wameizidi CCM

Kwanza JPM ilikua si lazima afanye kampeni kazi za serikali zina lala, Yeye ilitakiwa ahutubie wananchi akiwa kama mgombea wa CCM siku moja kabla ya uchaguzi. Kazi nzuri alizofanya zimesha mrudisha tena ikulu.
Haaahaaaaa
 
Hivi nyie bado mna mawazo ya kushindanisha na ccm.CCM wamemaliza kampeni leo pale Mwanza mnazoleta humu ni porojo tu.Fuatilia channel ten saa hivi Magufuli yuko zake Mwanza anapunga upepo na punde kapiga simu kwenye mkutano wa kampeni kule Rombo kaongea na wananchi na kuomba kura kwake kwa mbunge na madiwani. Chadema achaneni na Magufuli mtatapika damu
Baada ya kufunga shule na kulazimisha walimu na wanafunzi kwenda Kirumba? Baada ya kusambaza mabasi mliyoyahonga mji mzima kubeba watu? Mbinu hizo hutumiwa na madikteta tu kupindisha sheria na kudhulumu haki za watu wengine kama vile watoto wa shule Mwanza nzima kukoseshwa masomo kisa kampeni za ccm
 
Ccm makao makuu wanaona hali ni tete ww unaona ipo sawa? Kumbuka wote wapo kwenye kampen kwa sasa majaliwa, samia, maguful kina nape wameambiwa warud haraka lindi hali ni tete we upo chumbani unaangalia cartoon
 
CCM walifikiri watakubalika mbele ya wapigakura, kwa kutumia mali zitokanazo na wananchi wenyewe, bali bila hata ya aibu yoyote ile waliziiba na kuzihodhi, na kudhani ya kuwa zitawasaidia pale endapo unapotokea uchaguzi wa viongozi. Wametambua ya kwamba wananchi wameyatambua matendo yao ya kifedhuli ya kuhujumu na kufisidi rasilimali za nchi.

Wanatambua ya kwamba wamekataliwa na hawakubaliki tena. Hawana tena hoja wala sera zenye kuaminika ama kushawishi wapigakura. Sasa kilichobakia ni matisho na kulazimisha kwa nguvu mambo. Lakini ukweli ni ya kwamba, wananchi wamemkataa shetani na kazi zake zote, ushawishi wake wote, tunguli zake zote za mbio za mwenge, na ulozi wa ndege tausi ambao masharti ya kishirikina yamekiukwa.
 
CCM walifikiri watakubalika mbele ya wapigakura, kwa kutumia mali zitokanazo na wananchi wenyewe, bali bila hata ya aibu yoyote ile waliziiba na kuzihodhi, na kudhani ya kuwa zitawasaidia pale endapo unapotokea uchaguzi wa viongozi. Wametambua ya kwamba wananchi wameyatambua matendo yao ya kifedhuli ya kuhujumu na kufisidi rasilimali za nchi.

Wanatambua ya kwamba wamekataliwa na hawakubaliki tena. Hawana tena hoja wala sera zenye kuaminika ama kushawishi wapigakura. Sasa kilichobakia ni matisho na kulazimisha kwa nguvu mambo. Lakini ukweli ni ya kwamba, wananchi wamemkataa shetani na kazi zake zote, ushawishi wake wote, tunguli zake zote za mbio za mwenge, na ulozi wa ndege tausi ambao masharti ya kishirikina yamekiukwa.
NIMEKUJA KUGUNDUA HUMU JF KUWA LOWASSA ALIWAVURUGA SANA WANACHADEMA SASA WANAWEWESEKA BADO IVI KWELI KWA HALI NA MWENDO ANAOENDA NAO MAGU KUNA MTU ANAPINGA KUWA MAGU ANASUBIRI KUAPISHWA AAAH JAMANI ACHENI KUJIFARIJI HALAFU KUMBEKENI HIZI NYOMI NI MAPENZI TU KWA MZEE BABA
 
Pamoja na CCM kuwa na kila kitu kinachotakiwa kwenye kampeni, magari, viwanja, pesa you name it, lkn haina tofauti kubwa na Chadema inayotumia resources chache ilizonazo kwa makini.

Hadi sasa CHADEMA imezindua kampeni katika Kanda kuu zote za Tanzania bara na Zanzibar, huku CCM mgombea wao akizunguka kwenye mikoa michache ya kanda ya kati na Ziwa Victoria tu.

Chama cha Mapinduzi kimehodhi vyombo vyote vya habari TV zote, redio zote, magazeti yote lkn habari zinazo trend zaidi ni za mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu.

Katika kuuza sera CCM wamekuwa wakijitetea zaidi kuliko kutangaza sera zao, mfano juzi mgombea wa CHADEMA alihoji ajira leo serikali imetangaza ajira 13,000 za walimu.

CCM imetandaza mabango ya picha kubwa kubwa za mgombea wao nchi nzima karibu kila ukuta huku Chadema ikionekana kutokuwa na mabango lkn mwitikio wa wahudhuriaji hauna tofauti yoyote.

Pamoja na CCM kuwa tumia wasanii wote wa Tanzania na wa nchi jirani ya Kenya bado haijawasaidia kuonyesha nguvu ya chama tawala na kikongwe kwenye kampeni yao.

CCM pesa wanayo vyombo vyote vya dola ni vyao, nini tatizo, inawezekana ni kampeni meneja na timu yake ya kampeni, ni wazito au wamefungwa kutoa maamuzi ya haraka.

Katika tathimini yangu kwa siku hizi za mwanzo wa kampeni CHADEMA imewazidi CCM kwa pointi ingawa siyo nyingi sana.
Hii inaitwa za uso
 
Ulichoandika kingekuwa ni kweli Chakubanga asingesema haya.



Napenda sana chadema mnavyojipa moyo,
kwa taarifa yako kampeni ya mkoa mmoja aliyofanya magufuri ni sawa na mikutano yenu yote chadema iliyofanya katika kanda zote mpaka sasa. CCM ni chama kubwa nadhani leo umeiona vizuri mwanza. CCM KIRUMBA hakukuwa na sehemu ya kutema mate ndani na nje acha kule gola milimani.
 
NIMEKUJA KUGUNDUA HUMU JF KUWA LOWASSA ALIWAVURUGA SANA WANACHADEMA SASA WANAWEWESEKA BADO IVI KWELI KWA HALI NA MWENDO ANAOENDA NAO MAGU KUNA MTU ANAPINGA KUWA MAGU ANASUBIRI KUAPISHWA AAAH JAMANI ACHENI KUJIFARIJI HALAFU KUMBEKENI HIZI NYOMI NI MAPENZI TU KWA MZEE BABA
Kwa hiyo wewe unapima kura kwa kuangalia nyomi.
 
Wamechanyikiwa balaa , Mara wasombe watu , watoto , wanafunzi , wanavyuo ,walazimishe watumishi na wanafunzi kwfnda mikutanoni Mpaka aibu .
IMG_20200907_190746.jpg
IMG_20200907_165823.jpg
IMG_20200907_165816.jpg
Screenshot_20200907-135855.png
Screenshot_20200907-135929.png
 
CCM bila wasanii ingekuwa ni aibu tupu, hiyo ndiyo faida ya kuongea peke yako miaka 5 mizima...sasa leo utaongea lipi jipya ili wananchi wavutiwe kukusikiliza?. Kama si kuja kuwashangaa wasanii
 
Mbeya wapo kumtangaza tulia hapa anazindua kampeni jtano na dulla makabila plus wasanii wengine watakuwepo
 
Hivi nyie bado mna mawazo ya kushindanisha na ccm.CCM wamemaliza kampeni leo pale Mwanza mnazoleta humu ni porojo tu.Fuatilia channel ten saa hivi Magufuli yuko zake Mwanza anapunga upepo na punde kapiga simu kwenye mkutano wa kampeni kule Rombo kaongea na wananchi na kuomba kura kwake kwa mbunge na madiwani. Chadema achaneni na Magufuli mtatapika damu
Hivyo.View attachment 1562180
IMG_20200907_193039.jpg
 
Back
Top Bottom