FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ofisi zao hawa Facebook kwa hapa Dar ziko wapi? Na kwa mabilioni yote haya wanayochuma kama faida toka nchi Tanzania, wanalipa kodi ya mapato (income tax)? Na wanailipaje?
Maana itakuwa sio fair makampuni mengine kama Wasafi Media, Clouds Media, IPP media na wengine walipe kodi ya mapato na zingine kibao, halafu mshindani wao wa moja kwa moja katika kugombania matangazo hayo hayo yeye halipi kodi, FCC wanalipi la kusema?
==================================
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili
www.jamiiforums.com
=================================
Update: 22/04/2022
www.jamiiforums.com
Maana itakuwa sio fair makampuni mengine kama Wasafi Media, Clouds Media, IPP media na wengine walipe kodi ya mapato na zingine kibao, halafu mshindani wao wa moja kwa moja katika kugombania matangazo hayo hayo yeye halipi kodi, FCC wanalipi la kusema?
==================================
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili
Mwigulu: Tunaangalia namna ya kutoza Kodi kwenye Huduma za Mtandaoni
Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye na Timu yake ya Wataalamu wanaendelea kujadiliana kuhusu namna ya kuweka Kodi kwenye Application za Mitandao ya Kijamii. Amesema Ofisi za Mitandao hiyo hazipo hapa nchini lakini zinapata Hela nyingi sana kila unapoingia kwenye Mitandao hiyo wao...
=================================
Update: 22/04/2022
TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp
TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi. ===== DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21...