Hadi Sasa play off JKT ana goli mbili za clear offside mpira unaumiza sana

Hadi Sasa play off JKT ana goli mbili za clear offside mpira unaumiza sana

Magoli ya off side ya wazi yamewatoa Tabora mchezoni. Lakini kuna kitu kama hakipo sawa hivi. Either kuna mchezo umechezwa ama nini maana JKT ni yimu ya jeshi na Hali kama hii iliwakuta Mbeya city na Mbeya city wakalalamika hawa wa leo wala hawalalamiki baada ya mechi kuisha.
 
Kilaza Tatu, naona aibu!

Goli la 1 ni offside


Goli la 2 nalo ni offside
 
Magoli ya off side ya wazi yamewatoa Tabora mchezoni. Lakini kuna kitu kama hakipo sawa hivi. Either kuna mchezo umechezwa ama nini maana JKT ni yimu ya jeshi na Hali kama hii iliwakuta Mbeya city na Mbeya city wakalalamika hawa wa leo wala hawalalamiki baada ya mechi kuisha.
Kuna kitu hakiko sawa ndio maana hata ma official wa mkoa wa Tabora hawakuwepo kabisa uwanjani japo siku Moja nyuma waliahidi 50 ml endapo team itashinda ila zile offside zilikuwa wazi sana hata asie jua angepuliza maana ni full body
 
Back
Top Bottom