Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Mradi upi mpya wa Samia? yote mikubwa ameirithi kwa Magufuli.
Unaposema mradi wa Magufuli unamaanisha nini???
Mradi ni wa Serikali ya CCM iliyoshinda uchaguzi na ilani yake ndo inafanyiwa kazi kwa sasa???

Kibachoangaliwa ni serikali ya nani inatoa hela kutekeleza.

Ukisema hayo basi hata SGR sio mradi wa Magufuli Kwa sababu mipango ilifanywa na JK, Terminal 3 na ndege za ATCL itakuwa sio miradi ya Magufuli maana mipango ilifanywa na JK. Pia Mloganzila na Daraja la kigamboni haitakuwa miradi ya Magufuli maana ilipangwa na kuanza kutekelezwa na JK
 
nakubaliana na wewe mtoa mada.they have expanding the base of tax paying wider range.hii .inamaana kubwa sana
 
Unaposema mradi wa Magufuli unamaanisha nini???
Mradi ni wa Serikali ya CCM iliyoshinda uchaguzi na ilani yake ndo inafanyiwa kazi kwa sasa???

Kibachoangaliwa ni serikali ya nani inatoa hela kutekeleza.

Ukisema hayo basi hata SGR sio mradi wa Magufuli Kwa sababu mipango ilifanywa na JK, Terminal 3 na ndege za ATCL itakuwa sio miradi ya Magufuli maana mipango ilifanywa na JK. Pia Mloganzila na Daraja la kigamboni haitakuwa miradi ya Magufuli maana ilipangwa na kuanza kutekelezwa na JK
Mradi mpya wa Samia ni kukusanya tozo tu, hiyo miradi nimesema ni ya Magufuli kwasababu Samia ameirithi na Magufuli alikuwa akiiendesha bila kukusanya hizi tozo, sijui unasifia kitu gani hapo.
 
UPUUZI MTUPU!!!!
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia , Naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
 
Wacha kuhangaika kumpigia promo mtu ambae dalili zote zinaonesha hajui anachofanya, nchi iko kwenye auto pilot hii, hope now yupo angani, hayo mapesa anayokusanya kila mahali kwa masikini hakuna ambae angeshindwa kujenga hivyo vituo.

Kuchukua tozo kwenye saluni ya kijana anayejiajiri toka chuo, bado ukamkamue mtu huyo tozo kwenye mafuta ya kupikia, bado akimtumia mama yake pesa kijijini umkate, bado akinunua luku umkate tozo ya jengo ambalo sio lake, hakuna anachofanya ni unyonyaji mtupu, nyie vibaraka mnatumwa kumsifia.
Uwe unataka au hutaki tozo au useme vyovyote unavyojiskia ni kwamba tozo utatoa na zitaleta tija kama unavyoona hapo juu.

Mwisho wa siku credit zitarudi kwa mh.Rais ..kwa akili zako za kipumbavu unadhani wananchi kwenye hizo kata wanakojenga vituo vya afya Wana mawazo ya kipumbavu kama yako?
 
Kwa miradi hii Kama ndo inamaanisha nchi iko kwenye auto pilot basi ni sawa iwe kwenye auto pilot hata kwa miaka 300 zaidi
Achana na mpumbavu huyo,hao walisema watu wameacha kutuma miamala sijui nn lakini wapi lengo linatimia
 
Ameamua tu kujitoa ufahamu
Uwe unataka au hutaki tozo au useme vyovyote unavyojiskia ni kwamba tozo utatoa na zitaleta tija kama unavyoona hapo juu.

Mwisho wa siku credit zitarudi kwa mh.Rais ..kwa akili zako za kipumbavu unadhani wananchi kwenye hizo kata wanakojenga vituo vya afya Wana mawazo ya kipumbavu kama yako?
 
Mradi mpya wa Samia ni kukusanya tozo tu, hiyo miradi nimesema ni ya Magufuli kwasababu Samia ameirithi na Magufuli alikuwa akiiendesha bila kukusanya hizi tozo, sijui unasifia kitu gani hapo.
Unajua takwimu za deni la Taifa kipindi cha awamu ya Tano?
 
Huko hospital hizo huduma wanapata bure? Lakini mbona maraisi wengine hawakufanya hayo?
Hawakufanya sawa wewe kwa akili yako unaona ni sawa kujenga vituo vya afya 460 kwa miaka 6? Na je population iko static?
 
Back
Top Bottom