Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia , Naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
Sijui lkn wacha nisikomment chochotee maana niko nchi hiii.
Na uchung wa haya mimi zimenigusa moja kwa moja.
 
Uleta uzi ungekua unatumia akili yako hata robo tu ungejua Tanzania tatizo sio mapato ila tatizo ni matumizi ie 80% ya matumizi ya mapato serikalini yanaenda kwenye matumizi ya kawaida mfano kugharamia misafara ya maviete, kulipa posho na per diem,mbio za mwenge nk alafu 20% ndio zinaenda kwenye maendeleo.
Ukitaka kuona Hilo angalia maisha ya wenye vyeo vya uteuzi na wanasiasa ndio wenye matumizi makubwa ya Kodi za nchi hii ndio maana wanakomalia hizo tozo na Kodi kwa sababu wao haziwapi shida ila ndio zina gharamia maisha yao na familia zao.
Hizo huduma wanazosema wanajenga kwanza hazina ubora, zingine zinajegwa na wahisani pamoja na wadau wa maendeleo ndio maana hata kabla ya wao kuleta hizo tozo na Kodi zilijengwa ie wakati wa Kikwete alijenga shule za kata nchi nzima, aliunganisha mikoa kwa lami nchi nzima vituo vya afya na taasisi za elimu bila Kodi kandamizi
Kiujumla tatizo lilianza kwa jiwe kuanzisha miradi isiyo na tija za moja kwa moja kwa wananchi ie uwanja wa chato, kununua mindenge cash pesa ambayo ingeweza kutumika kuboresha huduma kama hizo. Miaka 60 ya uhuru Tanzania bado tunazungumzia kujenga barabara,shule, vituo vya afya na maji ni aibu Sana ukilinganisha na rasilimali chungunzima tulizonazo ingekua wenzetu wanazungumzia diffusion ya sayansi na tekinaolojia, kuongeza uwekezaji na kukuza uchumi ambao ingeongeza ajira ambapo tungeongeza mapato zaidi bila kumuumiza mwananchi. Shame on you serikali ya CCM miaka yote ya utawala mmeifanya Tanzania a failure state.
 
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia , Naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
Tunaunga mkono,moja kwa moja.Asante kwa kutufahamisha,tunazidi kuelewa.Bila kodi na tozo,maendeleo tutayaona wapi.Kuna sehemu nilipita jana,kwa jinsi barabara ya kisasa ilivyojengwa,na hospital iliyokaribu ilivyokarabatiwa,na kuwa na vifaa vya kisasa,kweli maendeleo yapo,mwenye macho,haambiwi tizama.
 
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya

View attachment 1901606
Rubbish
 
Kila siku wafanyakazi ndo wamekuwa wakikamuliwa katika kuiendesha hii nchi. Wengine walikuwa wanaona sawa tu. Ni wakati sasa kila mtu achangie kwa maendeleo ya Mama Tanzania
Umesema kweli tupu,wapo wasiofanyakazi rasmi,ilikuwa hawalipi kodi yoyote,na walitumia huduma za jamii,kama hospital,barabara,shule nk,sasa ndio wanalipa tozo,kodi,kwao ni jambo geni,ndio wanaopiga kelele.
 
Huko hospital hizo huduma wanapata bure? Lakini mbona maraisi wengine hawakufanya hayo?
Barabara,shule,matibabu,taa za barabarani,usalama,unalindwa wewe na familia yako na ndugu na jamaa zako nk,vyote kupitia kodi.,unavipata bure.,hasa kwa wewe usiyelipa kodi.Lipa kodi.kwa maendeleo ya nchi yako na wewe mwenyewe.
 
Zinawahusu Ila zinawashirikisha wananchi wote kwa pamoja
Lord nakujua kuwa wewe ni mmoja wa washauri wa karibu wa mama. Umechangia sana kumpotosha. Umeshiriki kumpotosha kwa mradi wa Bandari ya Bagamoyo kwa kuwa una masilahi binafsi kule. Kwa mwananchi wa kawaida tozo ni mzigo mkubwa usiobebeka!
 
Mleta huu uzi kutoka nchi ya Tozonia🐒🐒🐒
605758310.jpg
 
Unaposema mradi wa Magufuli unamaanisha nini???
Mradi ni wa Serikali ya CCM iliyoshinda uchaguzi na ilani yake ndo inafanyiwa kazi kwa sasa???

Kibachoangaliwa ni serikali ya nani inatoa hela kutekeleza.

Ukisema hayo basi hata SGR sio mradi wa Magufuli Kwa sababu mipango ilifanywa na JK, Terminal 3 na ndege za ATCL itakuwa sio miradi ya Magufuli maana mipango ilifanywa na JK. Pia Mloganzila na Daraja la kigamboni haitakuwa miradi ya Magufuli maana ilipangwa na kuanza kutekelezwa na JK
Kwa muandiko huu nishakujua, swali ni kwamba kwnn unabadili badili Id kila kukicha? Hujiamini au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wacha kuhangaika kumpigia promo mtu ambae dalili zote zinaonesha hajui anachofanya, nchi iko kwenye auto pilot hii, hope now yupo angani, hayo mapesa anayokusanya kila mahali kwa masikini hakuna ambae angeshindwa kujenga hivyo vituo.

Kuchukua tozo kwenye saluni ya kijana anayejiajiri toka chuo, bado ukamkamue mtu huyo tozo kwenye mafuta ya kupikia, akimtumia mama yake pesa kijijini umkate, bado akinunua luku umkate tozo ya jengo ambalo sio lake, hakuna anachofanya ni unyonyaji mtupu, nyie vibaraka mnatumwa kumsifia.
Fanya tukio la kihalifu uthibitishe kuwa nchi haina kiongozi hii ipo kwenye autopilot.

Unataka nani alipe kodi?

Hii nchi tuliziua biashara za kati ambazo ndizo zinazoajiri na kulipa kodi, tuliwakamua kodi bila kujali na wanyonge kushangilia ili wote wawe mashetani.

wafanyakazi waliopo ni wachache, biashara ni chache ni wakati sasa kila mnyonge achangie kidogo tu ili serikali ikisema tunataka kodi basi kila mmoja aelewe serikali inamaanisha nini. TULIPE KODI hali ikitengamaa biashara zikarudi wanyonge mtaachwa.
 
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya

View attachment 1901606
Kamzidi mwendazake eee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti SGR ni ya Kikwete [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ana IDs nyingi humu JF kupita mfano, mda wote yeye na Kikwete tu, atakuwa Riz huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fanya tukio la kihalifu uthibitishe kuwa nchi haina kiongozi hii ipo kwenye autopilot.

Unataka nani alipe kodi?

Hii nchi tuliziua biashara za kati ambazo ndizo zinazoajiri na kulipa kodi, tuliwakamua kodi bila kujali na wanyonge kushangilia ili wote wawe mashetani.

wafanyakazi waliopo ni wachache, biashara ni chache ni wakati sasa kila mnyonge achangie kidogo tu ili serikali ikisema tunataka kodi basi kila mmoja aelewe serikali inamaanisha nini. TULIPE KODI hali ikitengamaa biashara zikarudi wanyonge mtaachwa.
Hizo tozo zote kwa mtu mmoja ndio kuchangia kidogo? stupid.
 
Japo mimi ni mwanaccm, ila we jamaa ni mpumabvu na mdini sana!
Nasema hivyo kwa sababu kwenye uchaguzi uliopita ukijiapiza utaingia barabarani na kuua mtu kama Lisu na chadema hawatatangazwa kushinda,.

Inavyoonekana kinachokufanya umsifie huyu mama ni kwasababu ni mwenzako katika imani basi.
denooJ 🤣 🤣 🤣
 
sahihi mkuu, Samia sio msemaji sana, ila idea zake ni nzuri sema wabongo ndio kujitia ujuaji na kulalamika ujinga tu, imagine unakuta jengo lina wapangaji sita ila wote wanalalamika kulipia buku kwa mwezi, muda huo huo wanataka wakienda hosppitali wapate huduma nzuri
Kwani huduma nzuri napata bure ?

Natumia ela yangu au kodi yangu kupata hyo huduma..
 
Back
Top Bottom