Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

sahihi mkuu, Samia sio msemaji sana, ila idea zake ni nzuri sema wabongo ndio kujitia ujuaji na kulalamika ujinga tu, imagine unakuta jengo lina wapangaji sita ila wote wanalalamika kulipia buku kwa mwezi, muda huo huo wanataka wakienda hosppitali wapate huduma nzuri
Ni kupinga vitu kwa mkumbo.
 
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya

View attachment 1901606
Hizi mada zako ndio zinazidi kuonyesha kwamba ulikuwa na chuki binafsi na hayati, hukuwahi kuona Jema kwake, pia hutaki kuona baya kutoka kwa SSH .

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hata mm napenda nchi iweze kujitegemea yenyewe kwa kiasi fulan, syo kila kitu kiandikwe donated by...nchi hujengwa na wananchi wenyewe, naunga mkono serikali swala la tozo. Outcomes tumeziona Ni very positive.
 
Mleta uzi ni Pimbi kutokea nchi ya Tozonia🐒🐒🐒
605758310.jpg
 
Upigaji tu ngoja tuone kama kweli hivyo vituo vitakamilika sasa Tanzania hela ipo nyingi tu hata bila tozo tatizo ni ufisadi ndo mwingi na sheria mbovu hakuna wa kufuatilia, kusimamia na pia hakuna uwajibishwaji katika Mali za umma
 
Japo mimi ni mwanaccm, ila we jamaa ni mpumabvu na mdini sana!
Nasema hivyo kwa sababu kwenye uchaguzi uliopita ukijiapiza utaingia barabarani na kuua mtu kama Lisu na chadema hawatatangazwa kushinda,.

Inavyoonekana kinachokufanya umsifie huyu mama ni kwasababu ni mwenzako katika imani basi.
Ulichokisema kina reflect reality kwa 100%, kuna watu wana-entertain mambo ya udini na uzanzibari sana-kuna watu wanamsifia samia kwa sababu ni mzanzibari mwenzao na pia ni muislam mwenzao na hawataki mtu wa aina yeyote whether ni member wa CCM,opposition,au bara amkosoe kitu ambacho ni very wrong.
 
Japo mimi ni mwanaccm, ila we jamaa ni mpumabvu na mdini sana!
Nasema hivyo kwa sababu kwenye uchaguzi uliopita ukijiapiza utaingia barabarani na kuua mtu kama Lisu na chadema hawatatangazwa kushinda,.

Inavyoonekana kinachokufanya umsifie huyu mama ni kwasababu ni mwenzako katika imani basi.
Hata mimi nimejiuliza hii U-turn imetoka wapi?
Kuumbee
 
Huko hospital hizo huduma wanapata bure? Lakini mbona maraisi wengine hawakufanya hayo?
Tangu uhuru tumekua tunakopa na sasa deni la taifa linaelekea kutohimilika. Je tuendelee kukopa mpaka tukose sifa ya kukopesheka? Dah nchi ngumu hii.
 
Back
Top Bottom