zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
Usitumie nguvu kubwa sana tunaona mambo yanavyoenda ......
Ila Anamwenendo wake wa tofauti
Ila Anamwenendo wake wa tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kupinga vitu kwa mkumbo.sahihi mkuu, Samia sio msemaji sana, ila idea zake ni nzuri sema wabongo ndio kujitia ujuaji na kulalamika ujinga tu, imagine unakuta jengo lina wapangaji sita ila wote wanalalamika kulipia buku kwa mwezi, muda huo huo wanataka wakienda hosppitali wapate huduma nzuri
Utailipa kodi tu, Andika neno lolote linalokupendeza ila kodi utailipa mpaka pale mbadala utakapopatikana. Ukitandikwa fimbo hukatazwi kulia.Hizo tozo zote kwa mtu mmoja ndio kuchangia kidogo? stupid.
Ni bahati mbaya kama ujumbe huu umeandikwa na mtu anayetegemewa na familia au jamii. Very childish.Samia hadi sasa anaongoza kwa kudanga tu, kila mwezi lazima akadange,
Mwezi ujao naskia anaenda kutafta danga jipya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi mada zako ndio zinazidi kuonyesha kwamba ulikuwa na chuki binafsi na hayati, hukuwahi kuona Jema kwake, pia hutaki kuona baya kutoka kwa SSH .Haongei sana bali Anatekeleza sana!
Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya
Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali
Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.
Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.
Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.
Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu
Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya
View attachment 1901606
We kweli msengeTaratibu tutafika huko unakokusema. Acha tujenge hii miundombinu kwa kasi na kufanikisha haya
Fisadi hiloHizi mada zako ndio zinazidi kuonyesha kwamba ulikuwa na chuki binafsi na hayati, hukuwahi kuona Jema kwake, pia hutaki kuona baya kutoka kwa SSH .
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Umeniwahi mkuuLengo la media ya Jana ya Mwigulu na Mawaziri wenzake lilikuwa hilo kuwaamanisha wajinga kama nyie kuwa hizo tozo ni muhimu zaidi ziendelee kuwepo.
Yaweza kuwa kweli, itakuwa karudishwa kwenye kiyoyozi sasa ni mwendo wa mapambio.Fisadi hilo
Ulichokisema kina reflect reality kwa 100%, kuna watu wana-entertain mambo ya udini na uzanzibari sana-kuna watu wanamsifia samia kwa sababu ni mzanzibari mwenzao na pia ni muislam mwenzao na hawataki mtu wa aina yeyote whether ni member wa CCM,opposition,au bara amkosoe kitu ambacho ni very wrong.Japo mimi ni mwanaccm, ila we jamaa ni mpumabvu na mdini sana!
Nasema hivyo kwa sababu kwenye uchaguzi uliopita ukijiapiza utaingia barabarani na kuua mtu kama Lisu na chadema hawatatangazwa kushinda,.
Inavyoonekana kinachokufanya umsifie huyu mama ni kwasababu ni mwenzako katika imani basi.
Hivi huyu jamaa amekuwaje?UPUUZI MTUPU!!!!
Hata mimi nimejiuliza hii U-turn imetoka wapi?Japo mimi ni mwanaccm, ila we jamaa ni mpumabvu na mdini sana!
Nasema hivyo kwa sababu kwenye uchaguzi uliopita ukijiapiza utaingia barabarani na kuua mtu kama Lisu na chadema hawatatangazwa kushinda,.
Inavyoonekana kinachokufanya umsifie huyu mama ni kwasababu ni mwenzako katika imani basi.
Hauna haja ya kumshangaa huyu jamaa watu ni wabinafsi sana, yaweza kuwa aliyepita alimgusa vibaya wa sasa yupo naye vizuri .Hivi huyu jamaa amekuwaje?
😬 😬 😂Lengo la media ya Jana ya Mwigulu na Mawaziri wenzake lilikuwa hilo kuwaamanisha wajinga kama nyie kuwa hizo tozo ni muhimu zaidi ziendelee kuwepo.
Keep in mind, she is the president of United Republic of Tanzania.Samia hadi sasa anaongoza kwa kudanga tu, kila mwezi lazima akadange,
Mwezi ujao naskia anaenda kutafta danga jipya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu uhuru tumekua tunakopa na sasa deni la taifa linaelekea kutohimilika. Je tuendelee kukopa mpaka tukose sifa ya kukopesheka? Dah nchi ngumu hii.Huko hospital hizo huduma wanapata bure? Lakini mbona maraisi wengine hawakufanya hayo?