Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Hadi sasa Rais Samia ndiye bora zaidi, anafanya kila kitu kwa ustadi mkubwa

Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya

View attachment 1901606
Umelogwa kijinga sana !
 
Umesema kweli tupu.Wengi wanaolalamika,walikuwa hawalipi kodi ,ndio hao wanaolalamika.Wapo watu,wanaojifanya hawana kipato,kumbe biashara zao ndogo ndogo,zinaingiza kuliko mwenye biashara kubwa,ambaye ana madeni ,na mikopo mingi ya Benki.
Upo sahihi kabisa.
 
Siku 100. Zilimtosha sana huyu bibi. Huku anakotupeleka sasa si salama. Yani hata miezi6 hana ashapoteza mvuto
 
Kwa hiyo lile agizo la mawaziri wanaohusika na tozo ya Miamala kukaa na kuliangalia suala hilo na kuliangalia utaratibu ilikuwa geresha tuu? By the way, ni lini wananchi walikubaliana na tozo hizo? Sisi Wana CCM tunaumia kwa yanayoendelea, ninyi mnaofaidika na mfumo mnafanya Kampeni ya 2025 iwe ngumu kwa chama Cha Mapinduzi. Mshaurini vizur mama.
 
Hilo jamaa nyumbu mno.

Ndio maana mimi huwa niko makini sana na watu wanaoikosoa serikali. Mara nyingi huwa wana ajenda zao binafsi.

Unaweza kufikiri mtu anaikosoa serikali kwa maslahi mapana ya umma, kumbe ni wakala wa mabeberu au pengine amekosa tu ulaji.

Wengine wanakosoa serikali kwa sababu genge lao limekosa madaraka ndani ya serikali. Wengine ni insurgents tu na wahaini.

Kama huyu nyumbu alikuwa anamkosoa Magufuli kweli kweli, halali usiku kucha ni kumtukana mzee.

Mara ghafla anasifia tozo za mia mia kwenye miamala. Ati zinajenga sipitali!

Eboooo!!!???
Uko sahihi tunakosa agenda ndio maana si rahisi kusimamia mtu alichosema jana.
Leo tupige nyungu kisa boss wako hataki chanjo akija boss mwingine unabadilika badal ya kujiuzulu.
Tunaongozwa na maslahi tu bila kuwa na nia ya dhati ya kupigania nchi.
 
Haongei sana bali Anatekeleza sana!

Hana papara Ila anafanya kila kitu Kwa ustadi mkubwa. Sio mtu wa kupanic Ila anaamini kwenye anachofanya

Amewekeza sana kwenye kupanga mikakati kabambe na kuhakikisha inatekelezwa ipasavyo Kwa utekelezaji madhubuti wa Serikali

Nimefuatilia katika hili suala la Tozo. Wakati limeanza wananchi waligawanyika, Baadhi tuliunga mkono kwa maendeleo ya haraka ya nchi yetu na wengine walipinga.

Sasa Naona baada ya serikali kuanza kutoa mrejesho wa kiasi gani wamekusanya na kinaenda kufanya kazi gani? Wananchi Kwa uwingi zaidi wameanza kuunga mkono Tozo mbalimbali zilizoanza kutozwa na serikali.

Tuliounga mkono suala la Tozo tulijua Tax base na nchi yetu ni ndogo sana na ni wananchi wachache sana wanaoumizwa ili kuiendesha nchi hasa daraja la wafanyakazi. Kilio chetu sasa kimesikika, Tozo zimeanza na Miradi kabambe ya maendeleo imeanza kupelekwa Kwa kasi.

Hongera Sana Rais Samia, naona unatumia zaidi Logic kuliko propaganda katika kubadili akili za watu

Hongereni serikali Kwa utaratibu huu mpya Kwa kuonesha fedha zilizokusanywa na kazi zinazoenda kufanya

View attachment 1901606
Suala la kumsifia mtu linategemea.
" Aisifuye mvua imemnyea"
Kizuri kwako kibaya kwa mwenzako.
 
Wanaomshuku na kumponda Rais Samia ni jamaa zangu wale waumini kindakindaki wa mfumo dume.

Anafanya kazi kistaarabu bila ya kupaniki.
 
Sio tu dawa, wanalalamika ubovu wa miundombinu, ukosefu wa Zahanati na Hospitali alafu hawataki kulipa kodi. Wanataka kodi walipe wafanyakazi na wafanyabiashara wachache wenye biashara rasmi.
Tunapenda sana vitu vya dezo. Hao wafadhili wa uchumi inafika mahali wanatuchoka.
 
Nani amesema ilikuwa geresha?
Kampeni za 2025 zitakuwaje ngumu wakati wananchi watakuwa wanaona zahanati, shule bora, barabara Nzuri na miradi mikubwa ya kuwapelekea mahitaji ya msingi?
Kwa hiyo lile agizo la mawaziri wanaohusika na tozo ya Miamala kukaa na kuliangalia suala hilo na kuliangalia utaratibu ilikuwa geresha tuu? By the way, ni lini wananchi walikubaliana na tozo hizo? Sisi Wana CCM tunaumia kwa yanayoendelea, ninyi mnaofaidika na mfumo mnafanya Kampeni ya 2025 iwe ngumu kwa chama Cha Mapinduzi. Mshaurini vizur mama.
 
Kwa nini muda wote unawaza kuibiwa tu? Kwani wapi imeandikwa lazima hela ziibwe?
Bado hawajaweka wazi zilizopigwa na wajanja kama kawaida. Watuambie pia wajanja wamepiga ngapi so far kutoka kwenye makato ya wanyonge?
 
Wewe kama humpendi na kumkubali Samia basi Kama mtu anampenda na kumkubali kwako unamuita nyumbu???

Hilo ni Tatizo lako binafsi! Kwani Hospitali , barabara na miradi mingine inayofanywa kwa hela za tozo sio kwa maslahi mapana ya umma???

Kwako maslahi ya umma ni nini?? Ni kina mdude kutukana wazi au kuwa na maandamo kila siku???

Una shida sana! Kumchukia kwako Samia kutakupa msongo wa mawazo
Hilo jamaa nyumbu mno.

Ndio maana mimi huwa niko makini sana na watu wanaoikosoa serikali. Mara nyingi huwa wana ajenda zao binafsi.

Unaweza kufikiri mtu anaikosoa serikali kwa maslahi mapana ya umma, kumbe ni wakala wa mabeberu au pengine amekosa tu ulaji.

Wengine wanakosoa serikali kwa sababu genge lao limekosa madaraka ndani ya serikali. Wengine ni insurgents tu na wahaini.

Kama huyu nyumbu alikuwa anamkosoa Magufuli kweli kweli, halali usiku kucha ni kumtukana mzee.

Mara ghafla anasifia tozo za mia mia kwenye miamala. Ati zinajenga sipitali!

Eboooo!!!???
 
Wewe kama humpendi na kumkubali Samia basi Kama mtu anampenda na kumkubali kwako unamuita nyumbu???

Hilo ni Tatizo lako binafsi! Kwani Hospitali , barabara na miradi mingine inayofanywa kwa hela za tozo sio kwa maslahi mapana ya umma???

Kwako maslahi ya umma ni nini?? Ni kina mdude kutukana wazi au kuwa na maandamo kila siku???

Una shida sana! Kumchukia kwako Samia kutakupa msongo wa mawazo
Hilo jamaa nyumbu mno.

Ndio maana mimi huwa niko makini sana na watu wanaoikosoa serikali. Mara nyingi huwa wana ajenda zao binafsi.

Unaweza kufikiri mtu anaikosoa serikali kwa maslahi mapana ya umma, kumbe ni wakala wa mabeberu au pengine amekosa tu ulaji.

Wengine wanakosoa serikali kwa sababu genge lao limekosa madaraka ndani ya serikali. Wengine ni insurgents tu na wahaini.

Kama huyu nyumbu alikuwa anamkosoa Magufuli kweli kweli, halali usiku kucha ni kumtukana mzee.

Mara ghafla anasifia tozo za mia mia kwenye miamala. Ati zinajenga sipitali!

Eboooo!!!???
 
Nani amesema ilikuwa geresha?
Kampeni za 2025 zitakuwaje ngumu wakati wananchi watakuwa wanaona zahanati, shule bora, barabara Nzuri na miradi mikubwa ya kuwapelekea mahitaji ya msingi?
Kuna somo la nidhamu ya matumizi tunapewa kupitia hizi kodi tunazotozwa. Somo hili wazungu wanalijua miaka mingi iliyopita, linawafanya waishi kwa ratiba ndefu.
 
Kuna somo la nidhamu ya matumizi tunapewa kupitia hizi kodi tunazotozwa. Somo hili wazungu wanalijua miaka mingi iliyopita, linawafanya waishi kwa ratiba ndefu.
Watu wanajitoa ufahamu Au hawajui tu! Hakuna nchi zenye kodi kama nchi za Ulaya na Marekani. Na wako very serious kwenye matumizi ya kodi husika na Ndo mana leo tunaziona zina maendeleo makubwa sana.

Huku kwetu kila siku wanabanwa wafanyakazi na wafanyabiashara wachache alafu watu wanataka maendeleo ya haraka.

Lazima tujifunze
 
Back
Top Bottom