Hadi sasa waislamu ndio wanaoongoza kwa waumini wengi wenye imani moja Tanzania. Wakristo wamegawanyika madhehebu mengi yasiyo na ushirikiano

...

Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuja kujua kumbe hata wao wanayo mengi na wanapingana sana. Nina rafiki toka Pakistan ni muislam sikumbuki dhehebu lake ila amekuwa mkimbizi sasa kwa imani yake hiyo, kule kwao wanauawa wakisema tu kuwa wao ni wa hilo dhehebu.
Sawa, ndugu.
 
Sunni, Ahmadiyya, Shia
 
Na sisi wauslamu ni hivyohivyo tumeganyika,fanya utafiti kwa makini
 
Kanisa katoliki sio wajinga kutoruhusu mapadri kuoa, waliona shida kuu iliyopo. Hivi unajua shida ya wachungaji wenye wake walioa wanayopitia, ukidhani shetani ameacha kumdanganya Hawa hadi kesho ujui maandiko. Katoliki wangeruhusu mapadri waoe kitambo Sana lingeshasambaratika. Pamoja na madhebu yote ya Kikristo duniani idadi ya waumini wao kwa ujumla haiwezi fikia idadi ya wakatoliki duniani.
 
Mwamposa sio dhehebu ile ni huduma ya kiroho amekusanya madhebu yote kuanzia waislamu, wakristo wapagani nk
 
hapa kuna ukweli ndani yake. Nakumbuka Masanja alikuwa anasali mito ya Baraka baada ya kuoa kafungua kanisa lake.
 
Natak nianzishe kanisa langu na mm nijipigie pesa
 
Wewe hujielewi.Mbona kuna washia,wasuni,alkaida nk hata cku ya kufungua hutofautiana.
 
bila shaka kwa sasa waislamu ismailia wanakubali waislamu weusi waswahili mkasali kwenye msikiti wao. mmekuwa kitu kimoja. Hapo sijagusia bohoras, snashiri's etc......

theory yako mbovu ingekuwa sahihi tungeona wasuni na washia mmekuwa kitu kimoja. Bila kuwasahau hao ismailia, ahmadiya etc
 
Unajua kuna madhehebu mangapi ya kiislamu?

Je unajua Quran inayotumika Egypt ni tofauti na inayotumika Sudan ya kusini?

Unajua kuwa Quran inayotumiwa na waislam wa Sweden ni tofauti na ya Saudi Arabia?
Acha UONGO. Leta ushahidi mm nimefika nchi zote hizo na kitabu ni hiko hiko Dunia nzima. QURAN haina utofauti wowote popote uendapo Dunia hii.
 
watu wanaojitia wana dini ndio wanaosababisha matatizo duniani kuna nchi hazina dini wanaamini miungu yao ya kienyeji wana maendeleo sana , huku kwetu kwa ukiristu na uislam ndio matatizo kibaaaaao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…