Hadi Sasa, zaidi ya vijiji 12 vimeteketezwa kusini mwa Lebanon.

Hadi Sasa, zaidi ya vijiji 12 vimeteketezwa kusini mwa Lebanon.

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Source: Al Jazeera
Screenshot_20241103-183443.jpg


KUTOKA 7:3

"Mungu akamwambia Musa, nami nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, na nitazifanya ishara za ajabu katika Nchi ya Misri"
 
Ndimo walimokuwa wanajificha hao magaidi na walikuja kusini mwa Lebanon kwa makusudi tu ili mradi wawe karibu na Israel.
Jana nilikuwa naangalia kuna tunnels zinaunganisha Nyumba hadi Nyumba Kijiji hadi Kijiji kwahiyo IDF ikilipua tunnel moja unaona mlipuko unavyosafiri kuanzia upande mmoja hadi mwingine Daah...!!
 
Hao wajinga Israel imewaonya karibia mwaka mzima kwamba

"jamani hatutaki vita na nyinyi tunaomba muache kurusha rockets zenu ndani ya nchi yetu" Nasraillah akajiona kidume Leo Yuko zake kuzimu huko na nchi inaenda kuwa Gaza kama walivyoahidiwa.

Mimi ningekuwa Halevi nisingeingiza wanajeshi Lebanon ingekuwa mwendo wa banker booster mwanzo mwisho.
 
Jana nilikuwa naangalia kuna tunnels zinaunganisha Nyumba hadi Nyumba Kijiji kwahiyo IDF ikilipua tunnel moja unaona mlipuko unavyosafiri kuanzia upande mmoja hadi mwingine Daah...!!
Hiyo yote ni pesa ya waajemi huku wananchi wengi wa Iran wakihangaika kuweka mlo mezani na huku vijana wao wengi wakiwa hawana ajira.
 
Hiyo yote ni pesa ya waajemi huku wananchi wengi wa Iran wakihangaika kuweka mlo mezani na huku vijana wao wengi wakiwa hawana ajira.
Chuki dhidi ya Waisrael ni real juzi kati Turkey imeshambulia Miji ya Wakurdi lakini husikii Watu kutokwa na Povu wala Maandamano.

Wakati Wakurdi ndio wenye haki ya kuwa na Nchi yao. Kurdistan
 
Source: Al Jazeera
View attachment 3142746

KUTOKA 7:3

"Mungu akamwambia Musa, nami nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, na nitazifanya ishara za ajabu katika Nchi ya Misri"
We sikiliza propoganda za wavunja majumba, huwa tunawambia vita sio kuvunja majumba na kuwauwa watu wasio na hatia Mnakumbuka ile Amad 4? Sa Hezbullah anawaonyesha Amad 5 hapo mchezo bado mbichi israel yuko hoi kwa Amad 4 tu. Afu anawambia kavunja silaha za Hezbullah 😄

Tazama vitu hivyo karibu vitanza kuelekea Israel


View: https://youtu.be/TZwxfiZry1o?si=I5IQPO8FoopRIK73
 
IDF wako Deep inside Lebanon.
Leo hizbollah wameonyesha base yao IMAD 5 sasa huko deep Lebanon wanazurura tu na kurusha mabomu maeneo gani kama sio kuua watu hovyo hizbollah kila siku wanaingiza silaha na mahitaji kutokea Syria
 
Leo hizbollah wameonyesha base yao IMAD 5 sasa huko deep Lebanon wanazurura tu na kurusha mabomu maeneo gani kama sio kuua watu hovyo hizbollah kila siku wanaingiza silaha na mahitaji kutokea Syria
Lengo la IDF ni kusafisha Hezbola Kusini ya Mto Litani ili Hezbola wasiweze kushambulia Kaskazini mwa Israel na Raia waweze kurejea, hilo ndio LENGO la Vita
 
Lengo la IDF ni kusafisha Hezbola Kusini ya Mto Litani ili Hezbola wasiweze kushambulia Kaskazini mwa Israel na Raia waweze kurejea, hilo ndio LENGO la Vita
Ni ngumu kitendo cha hizbollah kuwepo Lebanon tayari nitatizo kwakua wao wanaweza kushambulia popote pale kutokea Lebanon wana silaha hizo drones ni nightmare kwa IDF
 
Ni ngumu kitendo cha hizbollah kuwepo Lebanon tayari nitatizo kwakua wao wanaweza kushambulia popote pale kutokea Lebanon wana silaha hizo drones ni nightmare kwa IDF
Kama Hezbola haitaruhusu Israel waishi kwa Amani ninachokiona Israel hataruhusu Walebanon waishi kwa Amani sasa ninyi muache kulalamika acheni Mziki uendelee.
 
Sawa tumewasikia WaIsrael wa msanga tunawakumbusha IRAN na PROMIS 3 wkt wowote vitu vinanza kupepea kutandika taifa lenu teule akuna kulala kwenye ardhi ya kupola motoo tu motoo adi watafute njia waliokujia wazee wao,
 
Back
Top Bottom