Hadi Sasa, zaidi ya vijiji 12 vimeteketezwa kusini mwa Lebanon.

Hadi Sasa, zaidi ya vijiji 12 vimeteketezwa kusini mwa Lebanon.

We sikiliza propoganda za wavunja majumba, huwa tunawambia vita sio kuvunja majumba na kuwauwa watu wasio na hatia Mnakumbuka ile Amad 4? Sa Hezbullah anawaonyesha Amad 5 hapo mchezo bado mbichi israel yuko hoi kwa Amad 4 tu. Afu anawambia kavunja silaha za Hezbullah 😄

Tazama vitu hivyo karibu vitanza kuelekea Israel


View: https://youtu.be/TZwxfiZry1o?si=I5IQPO8FoopRIK73

Yatachomwa tu hayo mahandaki.
 
Back
Top Bottom