Hadi wanawake wenzake nao wamemdharau? Imenikwaza sana

Hadi wanawake wenzake nao wamemdharau? Imenikwaza sana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
 
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Toyota Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
Wewe na mkeo wote hamna akili, yani umefanya research yako ukaona gari ya kumpa mkeo ukanunua safi kabisa, ukampa kipenzi chako, anatokea mwanamke wa Saloon tu ambae hana hata vits kama ulivyosema na story alizozisikia facebook kakuvuruga mpaka ukatafta dalali, daah
 
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Toyota Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
Mwambie aache kuchukulia vitu personal
 
KWell wewe chizi maarifa
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
 
Mnunulie hii naamini ataenjoy sana hapo kuna kila gari anayo taka.
20230607_161716.jpg
 
Wewe na mkeo wote hamna akili, yani umefanya research yako ukaona gari ya kumpa mkeo ukanunua safi kabisa, ukampa kipenzi chako, anatokea mwanamke wa Saloon tu ambae hana hata vits kama ulivyosema na story alizozisikia facebook kakuvuruga mpaka ukatafta dalali, daah
Wewe huna akili kabisa. Nani kakwambia mwanamke wa saloon? Kuna sehemu umeona nimetaja saloon hapo?
 
Back
Top Bottom