Hadi wanawake wenzake nao wamemdharau? Imenikwaza sana

Hadi wanawake wenzake nao wamemdharau? Imenikwaza sana

Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
Muuza Chipsi nisaidie na mimi nimununulie mke wangu ka IST mama kwa kipato hiki duh!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]very soon tutasikia Bugghatty vitz tako la mende [emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli humu jf kuna vituko sana
 
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
Wako sahihi kutembelea Dualis ni roho mkononi make sure fire ext ulionunua haijaexpire siku zile nyaya kule chini zikigusana mtaisoma namba [emoji28][emoji28]
 
Niliposoma tuu uzi nikapanda juu kucheki ni nani kaandika nilivyojua ni wewe nikapita kushoto fasta.
 
Sijaelewa hapo mke ni yupi kati ya saloon au gari.kama ni huyo "my wife" aachane nae aoe iyo gari au hao wanaomsema
 
Wife karudi analalamika kuwa salon aliyokuwepo kuna mwanamke kaongea shit. Na kaongea shit mbele yake pasipo kujua.

Mwaka juzi mwezi May nlimwagizia wife Nissan Dualis baada ya kuwa analalamika kuwa amechoshwa na Harrier tako la Nyani. Hii gari nilimnunulia ni dualis ya mwaka 2010 achana na zile zenu nyingi za miaka ya nyuma kidogo.

Sasa akiwa salon akawa anahudumiwa na baadaye kuna mdada mmoja akawa amemaliza huduma akaondoka. Wanawake kama kawaida yao wakaanza msema.

"Anaringa sana na dualis yake. Gari yenyewe bora hata IST Dualis gari unaendesha una wasiwasi itashika moto. Hamna kitu pale. Bora angekuwa hata na IST"

Muda wote wanaongea hayo wife kanyamaza. Maana naye ana Dualis. Anasema waliponda sana. Na wengi wao hawakuwa hata na vitz old model wanatembea tu kwa miguu. Alishangaa wanapata wap guts za kuponda Dualis. Wife karudi amenyong'onyea sana. Na anataka iuza hii gari. Nikamwambia aongee na vijana wake. Madalali. Gari nzuri kama hii wanamwambia wampe mil 14.

Nimemwambia aachane nao. Abaki nayo imfie mikononi huo ujinga sitaki usikia. Tumenunua fire extinguisher mtungi wa kilo 2 na mwingine kilo 1 imekaa nyuma. Nlishampelekea kupata mafunzo ya kuzima moto. Maisha yanaendelea. Sitaki shida mimi.

Waswahili wanadharau vitu ambavyo hawawezi hata kumiliki. Ubwa kabisa hawa. Wamempa stress my wife wangu kipuuzi kabisa.
Hivi shule mnafungua lini?.
 
Back
Top Bottom