Pre GE2025 Hadi wazee sasa nao wamekuwa chawa, waunga mkono 'mitano tena' kwa Rais Samia

Pre GE2025 Hadi wazee sasa nao wamekuwa chawa, waunga mkono 'mitano tena' kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Baraza la Wazee wa Jiji la Arusha limeunga mkono uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kumteua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kugombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ujao.

Wazee hao walionyesha uungwaji mkono wao kwa kauli ya “Mitano tena” mbele ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Mrisho Gambo, wakati wa hafla ya uhamasishaji wa elimu ya nishati safi kwa viongozi wa baraza hilo.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo hilo Mrisho Gambo amesema nia ya Wazee kuunga mkono inaonesha dhamira na kiu yao kwa Rais Samia kuendelea kusalia madarakani ili kuendeleza kazi ya maendeleo Jijini humo
 
Baraza la Wazee wa Jiji la Arusha limeunga mkono uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kumteua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kugombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ujao.

Wazee hao walionyesha uungwaji mkono wao kwa kauli ya “Mitano tena” mbele ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mhe. Mrisho Gambo, wakati wa hafla ya uhamasishaji wa elimu ya nishati safi kwa viongozi wa baraza hilo.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo hilo Mrisho Gambo amesema nia ya Wazee kuunga mkono inaonesha dhamira na kiu yao kwa Rais Samia kuendelea kusalia madarakani ili kuendeleza kazi ya maendeleo Jijini humo
View attachment 3241814
Arusha hatuwatambui hawa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni aibu sana kwa Taifa Wazee kuwa Chawa wakati tunategemea busara zao ili tupate Katiba mpya.
 
Back
Top Bottom