Hadi wewe Ali Kiba hii ni aibu na fedha

Hadi wewe Ali Kiba hii ni aibu na fedha

Status
Not open for further replies.
Wewe mleta uzi huyo kiba yupo wapi? Acha uzushi kuwa mtu mzima mfyuuuuuuuu
 
jamni mi naomba niwaombee msamaha wapenzi wa kiba endeleeni kumpenda kiba wenu na sisi wa diamond tuendelee kumpenda wa kwetu, hawa vijana bado wadogo jamani wanahitaji pesa nyingi kumudu mikikimikiki ya maisha kama wameona ccm inawapa wanachotaka let them be, after all huu ni upepo wa muda tu utapita, october tu hapo hizi vurugu za siasa zita cease, lakini miziki mitamu kutoka kwao tutaendelea kuipata. so plzzz dont be mad at they they just lookin for opportunities.

Msamaha kwa kipiii?
 
Asante sana Ali Kiba. Umenipa sababu 100000 za kukupenda.
Soon nakuja na uzi wa shukrani zangu kwako.

Wajinga wazushi wakukurupuka walianza fyongo na akati kiba wetu hana upuuuzi...
Hebu kalete uzi tumpongezee
 
Watu wanakwenda na fursa, acha watu wapige hela ya nini kuendekeza umaskini na wakati neema imekufikia miguuni?
 
ama kweli njaa mwana malegeza,imelegeza hadi akili ya kiba mpaka kashindwa kujiongeza...oh!! tc shame
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom