Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamni mi naomba niwaombee msamaha wapenzi wa kiba endeleeni kumpenda kiba wenu na sisi wa diamond tuendelee kumpenda wa kwetu, hawa vijana bado wadogo jamani wanahitaji pesa nyingi kumudu mikikimikiki ya maisha kama wameona ccm inawapa wanachotaka let them be, after all huu ni upepo wa muda tu utapita, october tu hapo hizi vurugu za siasa zita cease, lakini miziki mitamu kutoka kwao tutaendelea kuipata. so plzzz dont be mad at they they just lookin for opportunities.
Msamaha kwa kipiii?
Asante sana Ali Kiba. Umenipa sababu 100000 za kukupenda.
Soon nakuja na uzi wa shukrani zangu kwako.
mbona upo mkali hivyo?
ama kweli njaa mwana malegeza,imelegeza hadi akili ya kiba mpaka kashindwa kujiongeza...oh!! tc shame