Hadithi: Kesi ya Mzee Mnyoka

Hadithi: Kesi ya Mzee Mnyoka

KESI YA MZEE MNYOKA- MWISHO WA MWISHO (
Kwa udhamini wa mkuu Gily )

Baada ya wiki moja
Oscar alikua amejilaza kwenye sofa huku akiangalia vipindi mbali mbali kwenye televisheni yalikua ni matangazo ya moja kwa moja kutoka chuo kikuu cha dar es salaam ambapo waziri mkuu alikua akiwatunukia shahada ya uzamivu wanafunzi waliohitimu mafunzo maalum ya mifumo ya komputa , hawakuwa wengi sana, na kutokana na kozi yenyewe,
Na wanafunzi hao kuitwa mmoja mmoja,
‘Na huyu ni mwanafunzi aliyefanya vizuri zaidi na kupata GPA 4.9 anaitwa JOYCE TITUS KILIBIKA!
Alisema mc wa shughuli hiyo
“whaaaaat!” alisema oscar akiruka pale kwenye kochi na kuvaa haraka haraka kisha akawasha gari na kuwahi mwenge. Mlimani..

Kama bahati alikuta sherehe bado hazijakamilika na wahitimu bado walikua ndani

Ndugu jamaa na marafiki walikua wamezunguuka nje na zawadi zao huku wakisubiri kwa hamu wapendwa wao watoke nje!

Naam hatimaye walianza kutoka mmoja baada ya mwingine wakiwa na majoho yao,

Oscar alijitahidi kujipenyeza hadi akafanikiwa kuwa karibu na mlangoni kabisa, kwanza hakua na zawadi yoyote! Hivyo ilikua ni rahisi kufika mbele kabisa,

Hatimaye mtu wake alitoka! Oscar kama mshale alichomoka na kwenda kumkumbatia Joyce! Joyce nae hakuamini macho yake, machozi yalimtoka kwa furaha,

Bila kujali macho ya watu oscar alimbeba Joyce na kutokomea nae kwenye gari…..

‘oscar tunaenda wapi? Ujue ndugu zangu nimewaacha na mshangao wa haja” alisema Joyce huku akivua joho la kubaki na suruali na tisheti nyepesi , oscar hakujibu chochote alizidi kukanyaga mafuta kuelekea Tegeta,

Baada ya safari ya kutokuamini hatimaye walifika , oscar alishuka na kwenda kufungua geti na kuingiza gari ndani kisha akafunga tena geti na kumbeba tena joyce hadi ndani na kumtua kwenye sofa!

“oscar. Oscar..”
“shhhhh!” oscar aliweka kidole mdomoni kumuashiria asiseme kitu Joyce kisha akamsogeza karibu na kuanza kumtomasa na kumvua nguo moja baada ya nyingine mwishowe walijikuta katika mapenzi mazito hapo hapo sebuleni, na hivyo kuamua kuhamia chumbani na shughuli ikaanza upya,


Saa mbili Usiku walirudi sebuleni na joyce alikimbilia simu yake,
“yaani wamepiga mpaka wamekoma, nimetafutwa sana!’ alisema Joyce
“vipi nikupeleke !” aliluliza Oscar
“ah keshoo njaa inauma hatari’ alisema Joyce akitafuta jiko lilipo oscar nae alimfuata akiwa na bukta .

Kesho yake walienda hadi gereza la keko kumtembelea mzee Tito,

oscar alibeba kitabu cha hadithi kilichoitwa “MPANGAJI” ili kumpa mzee Tito asome akiwa lupango..

“hakika maisha ni hadithi ndefu sana” alisema Joyce wakiwa njiani kurudi,


“nakuachia binti yangu, muangalie, nakuamini Oscar, asije kulia machozi yanayotokana na wewe!” oscar alikumbuka maneno ya mzee Tito muda mfupi uliopita na kujikuta machozi yakimtoka,
Hakupendezwa na hali hii ya kuishi na Joyce wakti baba yake akiwa gerezani lakini hakuwa na namna yoyote,
Maisha lazima yaendelee

Aliwaza akikanyaga mafuta kurudi tegeta.

MWISHO.

Namba zangu ni 0746 mia mbili sitini na sita mia mbili sitini na Saba


Niwashukuru sana wadau,
Asanteni kwa support yenu!
Mpaka wakati mwingine kwenye "MPANGAJI AU MZAHA WA DAMU"
Asamte sana mkuu, you're very smart, appreciate you
 
KESI YA MZEE MNYOKA- MWISHO WA MWISHO (
Kwa udhamini wa mkuu Gily )

Baada ya wiki moja
Oscar alikua amejilaza kwenye sofa huku akiangalia vipindi mbali mbali kwenye televisheni yalikua ni matangazo ya moja kwa moja kutoka chuo kikuu cha dar es salaam ambapo waziri mkuu alikua akiwatunukia shahada ya uzamivu wanafunzi waliohitimu mafunzo maalum ya mifumo ya komputa , hawakuwa wengi sana, na kutokana na kozi yenyewe,
Na wanafunzi hao kuitwa mmoja mmoja,
‘Na huyu ni mwanafunzi aliyefanya vizuri zaidi na kupata GPA 4.9 anaitwa JOYCE TITUS KILIBIKA!
Alisema mc wa shughuli hiyo
“whaaaaat!” alisema oscar akiruka pale kwenye kochi na kuvaa haraka haraka kisha akawasha gari na kuwahi mwenge. Mlimani..

Kama bahati alikuta sherehe bado hazijakamilika na wahitimu bado walikua ndani

Ndugu jamaa na marafiki walikua wamezunguuka nje na zawadi zao huku wakisubiri kwa hamu wapendwa wao watoke nje!

Naam hatimaye walianza kutoka mmoja baada ya mwingine wakiwa na majoho yao,

Oscar alijitahidi kujipenyeza hadi akafanikiwa kuwa karibu na mlangoni kabisa, kwanza hakua na zawadi yoyote! Hivyo ilikua ni rahisi kufika mbele kabisa,

Hatimaye mtu wake alitoka! Oscar kama mshale alichomoka na kwenda kumkumbatia Joyce! Joyce nae hakuamini macho yake, machozi yalimtoka kwa furaha,

Bila kujali macho ya watu oscar alimbeba Joyce na kutokomea nae kwenye gari…..

‘oscar tunaenda wapi? Ujue ndugu zangu nimewaacha na mshangao wa haja” alisema Joyce huku akivua joho la kubaki na suruali na tisheti nyepesi , oscar hakujibu chochote alizidi kukanyaga mafuta kuelekea Tegeta,

Baada ya safari ya kutokuamini hatimaye walifika , oscar alishuka na kwenda kufungua geti na kuingiza gari ndani kisha akafunga tena geti na kumbeba tena joyce hadi ndani na kumtua kwenye sofa!

“oscar. Oscar..”
“shhhhh!” oscar aliweka kidole mdomoni kumuashiria asiseme kitu Joyce kisha akamsogeza karibu na kuanza kumtomasa na kumvua nguo moja baada ya nyingine mwishowe walijikuta katika mapenzi mazito hapo hapo sebuleni, na hivyo kuamua kuhamia chumbani na shughuli ikaanza upya,


Saa mbili Usiku walirudi sebuleni na joyce alikimbilia simu yake,
“yaani wamepiga mpaka wamekoma, nimetafutwa sana!’ alisema Joyce
“vipi nikupeleke !” aliluliza Oscar
“ah keshoo njaa inauma hatari’ alisema Joyce akitafuta jiko lilipo oscar nae alimfuata akiwa na bukta .

Kesho yake walienda hadi gereza la keko kumtembelea mzee Tito,

oscar alibeba kitabu cha hadithi kilichoitwa “MPANGAJI” ili kumpa mzee Tito asome akiwa lupango..

“hakika maisha ni hadithi ndefu sana” alisema Joyce wakiwa njiani kurudi,


“nakuachia binti yangu, muangalie, nakuamini Oscar, asije kulia machozi yanayotokana na wewe!” oscar alikumbuka maneno ya mzee Tito muda mfupi uliopita na kujikuta machozi yakimtoka,
Hakupendezwa na hali hii ya kuishi na Joyce wakti baba yake akiwa gerezani lakini hakuwa na namna yoyote,
Maisha lazima yaendelee

Aliwaza akikanyaga mafuta kurudi tegeta.

MWISHO.

Namba zangu ni 0746 mia mbili sitini na sita mia mbili sitini na Saba


Niwashukuru sana wadau,
Asanteni kwa support yenu!
Mpaka wakati mwingine kwenye "MPANGAJI AU MZAHA WA DAMU"
Kazi safi sana mkuu!
 
KESI YA MZEE MNYOKA 16

SAA 9:14 usiku


Oscar akiwa pale juu alimuona Askofu Majimbi na Tito Kimbikile, ilikua Ni ngumu kuendelea kushikilia pale juu, na hivyo aliomba waondoke Haraka pale chini ili aweze kuondoka, aliendelea kushikilia pale huku akiomba Mungu Mlinzi yoyote asipige jicho pale juu,


"Nilishauri tuweke kamera huku chini mkanipinga, oneni Sasa tunavyotolewa jasho"

Alisema Majimbi,

"Acha ubishi Askofu, kumbuka kamera zinatumia mfumo wa komputa kujiendesha, na kama ujuavyo kutokana na teknolojia Sasa hivi mtu anaweza kuingilia mfumo huu na kuona kila kitu, believe me tungekuwa na camera huku chini tusingefik.......

"

Tito alikatishwa maongezi ghafla,

"Mkuu tuondokeni Sasa juu kuko clear"

Alisema Sasa jamaa mwingine ambapo walianza kupanda ngazi kurudi juu huku Tito akisisitiza Bili afanye kazi ya kumkamata huyo mtu kabla ya usiku kwisha,

Oscar Sasa alitambaa taratibu kupanda akiacha hatua kadhaa baina yao,.


Alipita kwenye njia yake ya mwanzo na kutokea kule store Kisha akatoka nje ,


Kwa tahadhari kubwa alitambaa chini kwa chini, huku akizidi kuliacha jengo, na baadae akasimama na kupotelea msituni....


Alifika mafichoni mwake na kuchukua vifaa vyake vyote Kisha akapotea,


"Imeisha hii!"


Oscar alijisemea huku akikiacha Kijiji cha Kinjeki, alifurahi kuona amemaliza kazi yake salama kabisa.


***************


Dokta Kimei alimueleza mama Monica kuwa Mzee Mnyoka alipata mstuko mfadhaiko na akajikuta ametoka nje ya hospitali Ila yupo mahali salama, Mama Monica alilazimisha kumuona mumuwe usiku ule ule, dokta Kimei hakuwa na kipingamizi alienda nae

*************

Dar es salaam


Oscar alifika kwa bosi wake Mr Allan, ambapo alitoa taarifa zote ikiwemo wahusikia aliofanikiwa kuwaona pamoja na ramani ya pale,


"Kazi nzuri Oscar, hatukutegemea ungefanya kwa wepesi kiasi hiki,..

Kwasasa unaweza kwenda kupumzika na wakati wowote kutoka Sasa hivi utakwenda rasmi kwa ajili ya kazi,..

Tunasubiri activation kutoka kwa mkuu, akitoka kwenye mkutano, kwasasa tutakuwa tunaangalia nyendo za Tito, na Majimbi kwa karibu,...

Tunaamini hawawezi kufanya chochote ndani ya muda mfupi, hivyo mheshimiwa akitoka tu kazi itaanza ndani ya siku tatu au nne zijazo,.

Sasa unaweza kwenda"


Mr Allan alimalizia huku akimpa mkono Oscar,

************

Dar es salaam saa 9 alasiri

Oscar alikua nyumbani kwake amejipumzisha wakati alipopigiwa simu hii

"Ndio, nimekuelewa"

Alisema baada ya kuongea kwa dakika kadhaa na upande wa pili ,


Sasa baada ya simu hii alijisikia kuchangamka, mwenyewe alishachoka kukaa kaa tu Bila kazi,

Simu hii aliitegemea , ingawa ni Kama iliwahi hivi, hata hivyo tofauti na matarajio yake mpango kidogo ulibadilika, na Sasa alitakiwa kukutana na Mr Allan, jioni Ile saa moja ili apewe mpango mzima,

Na hatimaye safari hii aliambiwa atafute mwenza katika kazi hii, hivyo alijishauri, na hatimaye akaona amchukue jamaa yake wa siku zote,

Baada ya kuweka vitu vyake sawa Oscar alitoka nje ya nyumba yake Kisha akachukua boda boda,


"Twende mpaka Banana"


Oscar alisema huku akiweka sawa jacket lake...

**********

Kijijini Kinjeki siku hiyo hiyo

Frank aliegesha Gari lake huku akivuta pumzi ndefu,

Hakujua amuambie Nini Mr Bill,


Ni kweli alijitahidi kumuua Mzee Mnyoka Ila Sasa Mzee Alitoweka hospitali, pamoja na kufanya jitihada zake kwa siku mbili hakufanikiwa kumuona,


"Asipoelewa Basi"
Alipiga usukani wa Gari yake Kisha akafungua mlango na kutoka nje,


Alipita vibarua wakiendelea na kazi zao moja kwa moja Hadi kwa Bosi wake,


"Sema, naona unakodoa macho tuu"

Mr Bill aliongea huku akipanga mafaili yake mezani,


"Mkuu, nimemkosa yule Mzee"
Frank aliongea,


"Kwahiyo unataka Sasa nikupigie makofi nikupongeze kwa kumkosa au?"

Mr Bill aliongea kwa jazba,


"Sikiliza nashindwa kuwavumilia, juzi mpuuzi mmoja katuvamia hapa, Tena mbele ya wageni, na ameua Mlinzi mmoja na hajakamatwa, wewe nawe kwenda kumaliza kazi ya dakika mbili tu unanijia hapa baada ya siku 4 Tena ukiwa umeshindwa, task ndogo tu, una akili kweli? Hebu toka mbele yangu,..


Mfuate mpuuzi mwenzako huko mkaendelee kujaza vifua vyenu"

Mr Bill aliongea,


Frank alitoka zake na kurudi juu,

Alienda moja kwa moja kwa Tony ambaye alikua anapanga mizigo,


"Oya man vip"

Oscar alimstua Tony,

"Dah we boya umenistua kinyama"

Tony aliongea Sasa akisalimiana na swahiba wake huyo,

Baada ya story mbili tatu, Frank alimueleza kuhusu kushindwa kwa zoezi zima la kummaliza Mzee Mnyoka,


"Pole jamaa yangu, Ni Kama mkosi juu ya mkosi juzi Kuna boya katuvamia hapa Basi ndio Kama ulivyoona Carlos haelewi chochote humu ndani, "

Tony aliongea...
Hapo mwisho bilashaka frank ndo alimshtua tonny na sio oscar
 
Back
Top Bottom