Thanks rafiki.Kitu kipya kimeanza
Analyse
Half american
Watu8
Dr Restart
baby zu
Depal
Antonnia
Kalpana
Lovelovie
Glenn
Mamaya
Binadamu Mtakatifu
leadermoe
Darlin
Lloyd
munroe
mshamba_hachekwi
moneytalk
Dahan
Johnnie Walker
Leejay49
Amehlo
Palina am 4 real
Shunie Numbisa
Bantu Lady charlote
Luv
masai dada
Tayukwa
Kelsea
Antennah
Cee
Litro
Missy Gf
[emoji3059] santee mamiiBantu Lady sijakusahau love.
Nuzulati
Kelsea
To yeye cocastic na ww uwe unasoma stry[emoji2955]
Dejane Intelligent businessman babeeeeeeeeee.
Sawa
Mkuu uko vizuri mwennyewe kwa stori kali kali, hongera sana.Kuhusu kujua mambo ya kisheria nilifuatilia sana
Kipindi kile Cha "kesi ya mbowe" na wenzake
Nilijua sana mambo mengi kupitia ule Uzi!!
Kwahiyo mtakuta episodes za mahakamani utadhani ni kibatala!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu uwe unanitag
Nimecheka Sana hapa aiseee" Kwa mara nyingingine umalaya umeniponza" tuendelee tuu
Asante sana mkuu kwa kuutoa muda wako ili kutupa burudani hii, binafsi nilitingwa na majukumu ndio maana kwa muda sikuwa nafuatilia ila nashukuru mara zote ulikuwa unanitag.Niwashukuru wote watu wa nguvu Gily Kacheda mjasiliamali Analyse Shunie Mcheza Viduku Antonnia holy holm Clement Edward Daudi1 TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Kalpana etc
Kwaherini wakuu mpaka wakati mwingine [emoji120]
Asante,Nimefurahia sana hii story. Naomba Asalaam Alaikum. Naombaunitag kwa story zako zote tafadhali.
Siku soma zilizotangulia Naomba msaada nizisome.
Kitu kipya kimeanza
Analyse
Half american
Watu8
Dr Restart
baby zu
Depal
Antonnia
Kalpana
Lovelovie
Glenn
Mamaya
Binadamu Mtakatifu
leadermoe
Darlin
Lloyd
munroe
mshamba_hachekwi
moneytalk
Dahan
Johnnie Walker
Leejay49
Amehlo
Palina am 4 real
Shunie Numbisa
Bantu Lady charlote
Luv
masai dada
Tayukwa
Kelsea
Antennah
Cee
Litro
Missy Gf
Asante mama,hii tag niliiachaga kiporo hadi niwe na muda wa kutosha,..na Leo natiririka nayo kama sina akili nzur 😂,"MPANGAJI 01
Hakuna mpangaji yoyote ambaye alikuwa anafahamu asili ya Yule mpangaji mwenzao, hata jina lake la ‘sele’ wapo waliosema halikua jina lake halisi, lakini yote kwa yote Sele kama unavyoweza kusema alikua mpangaji wa kudumu wa mzee Mhina, miaka ilikatika na sio mzee Mhina wala wapangaji ama watoto wake walijua kazi halisi ya Sele,
Wapo waliosema sele alijihusisha na kazi ya kuzibua vyoo huko mjini mbali na hapo, wengine walisema sele Alikuwa mtu wa ‘kitengo” na kama ilivyo kawaida ya wabongo basi wengine walizua kuwa sele ni jahili mzoefu,
Kwanza Sele asingetoka nje ya chumba chake bila kuitwa, na kwakuwa chumba chake kilikua ni selfu basi huwezi kujua kama sele yupo ndani au ametoka,"
Nimekumbuka Mwanzo wa story ya Bigi ya Steve.....
Naweka kambi rasmi hapaa!!
Wapii Tayukwa Lovelovie Bantu Lady Kalpana baby zu Kigi Makasi Tyrone Kaijage mmash Restless Hustler Unforgettable Mafian cartel mtzmweusi mshaisoma hii storee???