Yan hapo best ushaihamisha akili kuwanza yajayo,π"Sele alikua anakutana na wasichana wengi kila siku, na hata hapo walikuja wapangaji wengi tu wa kike na kuondoka lakini haijawahi kutokea msichana aliyeubamba moyo wake kama ilivyokuwa kwa Ester,"
Kumekuchaaaaaaaaaaa hapaaaa!!
Ngoja niendelee kusoma kwanza π
Hahahaaa!!Yan hapo best ushaihamisha akili kuwanza yajayo,π
Nakubali mkuuπMkuu Mimi sio vegetarian, napenda sana nyama nyama π π π
Ni ipi hiyo best?Wee acha utani story ya cousin ishaisha kumbe lol ngoja nikitulia nikaimalizie asee!
insha'Allah tutaisubir mzaha wa damu,.....Basi niseme Tena nawashukuru sana na in shall Allah tutaonana Tena kwenye MZAHA WA DAMU, Huko mbeleni , panapo majaaliwa
Wabilah towfiq
CK Allan
0746 266 267
InnalillahπππYa leadermoe inaitwa Wema ni akiba ; Usiache kutenda wema best mbona mtoa uzi ana mwezi mmoja tangu afariki !!