Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna binti namfukuzia humu ndani jirani, acha kuni chafulia name...🤣Jirani acha uhuni 😂
Ngoja nikushike kichwa uende na amani ya bwana na ukafanikishe jambo.Kuna binti namfukuzia humu ndani jirani, acha kuni chafulia name...🤣
🤣🤣🤣🤣DahBantu Lady Panua tayari...🤣
Joannah Panua tayari...😝
masai dada panua tayari...😊
Antonnia panua tayari...😋
Paula Paul panua tayari...🤗
binti kiziwi njoo panua tayari jirani....😝
To yeye njoo panua panua huku...☺
mama D panua tayari...🙈
Dada....🤣🤣🤣🤣Dah
tusonge nayo hii hii na hiki kibarid 🔥Kila simulizi weka uzi wake hapa utatuvuruga panua sijui Dr wa kansa etc, na comment zitakuwa nyingi sana sio rahisi watu kuona vipande vyote weka kila simulizi na uzi wake ujitegemee.
Hii imenishinda walai sio kwa 🔞🔞🔞🔞🔞hizoooo😁😁!Karibu manyweleusome stori ya xXx 😜
Mm nikajuaga na wewe unaishi mjini daresalam kumbe upo mkoani[emoji3][emoji23]Naharee ya hewa ya huko mjini Daslam kwenyu nasikia Siku mbiltatu hizi Ninoumaaaaa [emoji4]!!
Mie wa Nyakibimbirii mkuu Dar sijawahi fika Kabesaaa!!😉Mm nikajuaga na wewe unaishi mjini daresalam kumbe upo mkoani[emoji3][emoji23]
Tumeanza na mpya inaitwa Panua
Mbona kama vile hujamaliza ile nyingine halafu unaanza mpya?Kuanzia leo ni MALIPO KITANDANI na PANUA zitaruka na zitafika mpka mwisho...Tukutane hapa hapa MWITIKO WA WASOMAJI KWA KULIKE NA KUCOMMENT NDIO KUTAMbona FANYA STORI ZIRUKE KWA HARAKA NA KUISHA MAPEMA
Zimeisha mzee wangu fuatilia vzrMbona kama vile hujamaliza ile nyingine halafu unaanza mpya?
UongoMie wa Nyakibimbirii mkuu Dar sijawahi fika Kabesaaa!!😉