Hadithi: Ulimwengu wa Watu Wabaya

Febian baba weekend hii jana tumelala njaa
 
Kasisi chacha kitu gani unafanya vijana wako Wataisha wote Acha dogo alipe kisasi then mchukue awe kwny kikosi chako .
 
Asante sana Mzee Baba Febian tupe kipande Cha pili Sasa, naona vijana wa Mzee Kasisi wamepigwaa na kitu kizito
 
Mmh nimesoma huku nakodoa macho na koo imenikauka kama vile ndo naangalia mapigano
 
Tumeshadondosha wanaume wawili na vibaraka wao, lakini walijifanya kuingilia hii mbilinge mbilinge wamepata Chao naomba mwanadada Lucy asiingilie asije akapoteza viungo vitamu na muhimu katika mwili wake
 
Mimi kama Calvin naposema kitu naomba nielewke jamani siongei mara x 2
 
Mimi kama Calvin naposema kitu naomba nielewke jamani siongei mara x 2
Ongea na Febian Kwa mara ya mwisho kama ameshindwa kuelewa unajua Nini Cha kufanya kama nilivyokupa mafunzo japani usiniangushe
 
Ongea na Febian Kwa mara ya mwisho kama ameshindwa kuelewa unajua Nini Cha kufanya kama nilivyokupa mafunzo japani usiniangushe
Huyu namla nyama Fabian kwa sabb nataka nirudishe mali zote za mzee
 
Febian tuwezeshe Leo tuhesabiwe Kwa Amani, umetulaza njaa siku mbili etii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…