Hadithi ya mashimo ya mfalme Sulemani

Aiseee" finally "nimeimaliza"... bonge si la Theory


Ahsante Mkuu
 
Hii kitu kuna mtu aliiniibia, aisee namlaani sana maana nilikipata kiajabuajabu kabla sijamaliza kukisoma akapita nacho
 
Asante mkuu. Avatar yako inanitisha balaa naona kama namjibu Kabila vile [emoji3][emoji3]
Hahahaha, usiogope Mkuu avatar tu ila namkubali sana Kabila Jr ,Mkuu shukrani sana,nimesoma yote kuanzia SAA 12 asubuhi mpk sasa, nasubiri ile nyingine sijui unatupia lini?
 
Ni simulizi nzuri ila pia inatuonesha ni kiasi ndovu walivyo dhulumiwa maisha yao maana wakati huyo walikuwa wanatembea kundi hadi ndovu thelathini lakini sasa hawazidi nusu yake
 
Ni simulizi nzuri ila pia inatuonesha ni kiasi ndovu walivyo dhulumiwa maisha yao maana wakati huyo walikuwa wanatembea kundi hadi ndovu thelathini lakini sasa hawazidi nusu yake
Ila Mkuu ukifuatiliana wazungu walituzidi ujanja kitambo sana

Yaani waafrika tulikua na makosa mengi mno madogo madogo
 
Ni simulizi nzuri ila pia inatuonesha ni kiasi ndovu walivyo dhulumiwa maisha yao maana wakati huyo walikuwa wanatembea kundi hadi ndovu thelathini lakini sasa hawazidi nusu yake
Mkuu ni kweli kabisa, na pia hii biashara ya pembe za ndovu ilianza kitambo sana wajanja walipiga hela sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…