Hadithi ya Ndoa yangu

Hadithi ya Ndoa yangu

Mwali huyu mtata sana Ila Mimi alinifungulia uzi na kibaya zaidi ninachompendea huyu mtoto hajaniignore pamoja na kwamba Mods waliingilia kati wakamwambia muignore huyo muignore Nyamwi255 akasema hapana huyu Baba Jr wa baadae huyu siwezi kumignore kabisa full makopakopa leo kanionyesha vikumakuma ana hatari huyu mwali

Aiseee ila na ww una replys za kiwaki...🙃😃😃😃
 
Nyamwi255 so mwanangu saivi ni mwendo wa mikono juu mwendo wa mateka😋😋😋😋 kula Bata mpaka kuku waone wivu
 
Back
Top Bottom